georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 589
Warundi wamekazana na history na ndiyo nchi masikini sanaSasa wewe udipoijua asili ya mivutano Zanzibar hayo maendeleo yatatoka wapi?
Watu wenyewe huko ninmapanga shaa shaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warundi wamekazana na history na ndiyo nchi masikini sanaSasa wewe udipoijua asili ya mivutano Zanzibar hayo maendeleo yatatoka wapi?
Watu wenyewe huko ninmapanga shaa shaa!
Mkuu an un informed mind like yours is rich for manipulations.Wanyarwanda wangekuwa na akili kama zako saa hizi wangekuwa bado wanafukua mafuvu kwa kutafuta History
Huu ndiyo Udhaifu wa ccm maana ikifika mwisho wanataka kushinda kwa nguvu ikionekana hakuna namuna matusi. Haya bwana mkubwa mimi kigalagosi ila hoja zako hazina mashiko hata kama umekaa Zanzibar miaka miaSimji Trump ni mdudu gani, sasa wewe unayemsoma na huna mbeke wala nyuma ni kikaragosi tu cha kufagia upenuni mwa wazungu unaowahusudu.
Msome Mandela, Che Guavara, Samora , Mwalimu , Abeid Karume na nitakuelewa.
Saizi yako!Mbona husemi mkwere
Usijisumbue kubishana na Maso, knywa maji ya bendera huyo.Huu ndiyo Udhaifu wa ccm maana ikifika mwisho wanataka kushinda kwa nguvu ikionekana hakuna namuna matusi. Haya bwana mkubwa mimi kigalagosi ila hoja zako hazina mashiko hata kama umekaa Zanzibar miaka mia
Kaka umenena sanaUsijisumbue kubishana na Maso, knywa maji ya bendera huyo.
Mwachie mwaka huu CUF inachukua Zanzibar pamoja na historia yske ya mivutano.
Mkuu Bobwe2,Zanzibar ni koloni la tanganyika tokea mwaka 64,huu ni mwaka wa wakoloni kuicha huru zanzibar yenye mamlaka yake.
Tatizo liliopo ni ubakaji wa demokrasia unaofanywa na CCM. Utaliondoaje tatizo hili?Usipojua asili ya ugonjwa dawa utakayo toa ni pata potea.
Unafikiri Mkapa, Kikwete na Warioba kwenda Ikulu kumpongeza Magu na kumpa salamu za mwaka mpya kunakupa ishara yoyote ya ubakaji wa demokrasia Tanzania kupatiwa ufumbuzi?Hatutafuti asili ya ccm wala Cuf but aliyeshinda apewe nchi hilo ndilo la msingi
Kuna uhakika gani kuwa CCM inashinda bara?Mtaongea yote lakini muungano utadumu. CCM bara ikishinda LAZIMA CCM kisiwa ishinde pia.
Usipojua asili ya ugonjwa dawa utakayo toa ni pata potea.
Kuna aina mbalimbali za makoloni kutokana na sababu za ukoloni wenyewe!, kwenye mkutano wa Berlin wa mwaka 1884, sababu za kutafuta makoloni ilikuwa ni kupata source of raw materials na markets! kufuatia Industrial revolution, sasa tuko kwenye market economy na digital age, masoko ni popote na sio tena teritories!.
Kwenye issue ya Zanzibar, ni kama mwanamke mrembo aliyejitongozesha kwa mwanamume rijali!. Baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, ili kuizuia Zanzibar kuvamiwa na mabeberu na kuejeshwa kwa Sultani, ni Karume ndio alivuka kuja baa kumuomba Nyerere waungane!, ili Zanzibar ipate ulinzi!, huku ni kujitongozesha!. Nyerere akakubali, mwali tukamposa, na mahari tukalipa, ndoa ya muungano ikafungwa!. Mke tunampenda, tunalisha, tulinamvisha na kumgharimia kwa hali na mali ikiwepo asilimia 4.5% ya pato la taifa!.
Kama kuna mwenye mategemeo kuwa mwaka huu ni mwaka wa wakoloni kukiacha kipenzi chake hiki, kilichojitongoshesha na kujikabidhi, wasahau, kwa sababu sasa Tanganyika ameipenda kweli Zanzibar, hadi kufuta utaifa wake na jina lake kwa ajili ya mwanamwali huyu!.
Japo mwanamwali huyu alijileta mwenyewe, hata akitaka kuondoaka mwenyewe kama alivyokuja, hatarruhusiwa kwa sababu sasa anapendwa!, na ndio maana hata aliyeshinda uchaguzi kihalali hapewi, kwa sababu mwenye mke, hana uhakika na majaaliwa ya usalama wa ndoa hii!.
Pasco
Ni mtazamo hasi katika suala la muungano wa Tanganyika na Zanzibar!Kuna aina mbalimbali za makoloni kutokana na sababu za ukoloni wenyewe!, kwenye mkutano wa Berlin wa mwaka 1884, sababu za kutafuta makoloni ilikuwa ni kupata source of raw materials na markets! kufuatia Industrial revolution, sasa tuko kwenye market economy na digital age, masoko ni popote na sio tena teritories!.
Kwenye issue ya Zanzibar, ni kama mwanamke mrembo aliyejitongozesha kwa mwanamume rijali!. Baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, ili kuizuia Zanzibar kuvamiwa na mabeberu na kuejeshwa kwa Sultani, ni Karume ndio alivuka kuja baa kumuomba Nyerere waungane!, ili Zanzibar ipate ulinzi!, huku ni kujitongozesha!. Nyerere akakubali, mwali tukamposa, na mahari tukalipa, ndoa ya muungano ikafungwa!. Mke tunampenda, tunalisha, tulinamvisha na kumgharimia kwa hali na mali ikiwepo asilimia 4.5% ya pato la taifa!.
Kama kuna mwenye mategemeo kuwa mwaka huu ni mwaka wa wakoloni kukiacha kipenzi chake hiki, kilichojitongoshesha na kujikabidhi, wasahau, kwa sababu sasa Tanganyika ameipenda kweli Zanzibar, hadi kufuta utaifa wake na jina lake kwa ajili ya mwanamwali huyu!.
Japo mwanamwali huyu alijileta mwenyewe, hata akitaka kuondoaka mwenyewe kama alivyokuja, hatarruhusiwa kwa sababu sasa anapendwa!, na ndio maana hata aliyeshinda uchaguzi kihalali hapewi, kwa sababu mwenye mke, hana uhakika na majaaliwa ya usalama wa ndoa hii!.
Pasco
Demokrasia kwa Zanzibar ni kama ngoma ya kuigiza!Tatizo liliopo ni ubakaji wa demokrasia unaofanywa na CCM. Utaliondoaje tatizo hili?
Wewe ni mtaalamu wa asili na utatuzi wa matatizo,tusaidie mawazo yako.
Weka uccm wako pembeni, ukuje kama mzalendo, mdomo-krasia na mpinga demokrasia.
Unaondoaje uhuni huu wa ccm wa kubaka demokrasia?
Mazoea ni kusikia Tume za NEC na ZEC zikimtangaza Mgombea wa CCM kila linapofanyika igizo la uchaguzi mkuu kuwa ameshinda, kwa nini mara hii ZEC ilishindwa kumtangaza Shein kuwa ameshinda kura za Urais huko Zanzibar?
Asili ya ubakaji wa demokrasia unatokana na nini? Na vipi litatatuliwa tatizo hili lenye asili yake huko ccm?
Mungu hampendi mnafiki, sema kweli, msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
]
Endelea kujidanganya na kuudanganya umma.Ni mtazamo hasi katika suala la muungano wa Tanganyika na Zanzibar!
Ni kweli kabisa mojawapo ya madhumuni ya muungano ni kuiondoa Zanzibar katika lindi la machafuko na kuipa stability sehemu hii ya ufukwe wa Afrika Masgariki.
Sababu nyingine, tena mwa shinikizo la wakubwa, ni kuondoa uwezejano wa Zanzibar kuangukia mikononi mwa makomunisti ambao walikuwa wanainyemelea.
Hii ni real politik , na hizo hadithi za mapenzi ni a result of your fertile imagination.
........
Tatixo kubwa la watu wa Bara ni kutoelewa the fierce divisions in Zanzibar.
Una maswali mengi lakini nimekwambia ukweli mtupu kwasasa CCM hawana mpango wa kupoteza madaraka Zanzibar. CCM siyo wajinga kama mnavyodhani.Kuna uhakika gani kuwa CCM inashinda bara?
Au ni zisipotosha zinatoshelezwa tu?
Kwa hisani mwenyekiti wa tume au domo-krasi?
Na bado hakuna mccm anaeona umuhimu wa tume huru ya uchaguzi na Katiba ya wananchi mpaka pale mshikamano, amani na utulivu wa nchi hii utakapoazima ukurasa kutoka nchi jirani?