Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufika wapi?Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??
Tumuhoji nani?Tunatakiwa kuhoji sababu ya Ndungai kuongea aliyoyaongea akiwa nje ya Bunge.
KileleniKufika wapi?
CCM kama chama tawalaTumuhoji nani?
Job au Spika??
Jobo ni chaguo la mwendazake..Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??
Cha kitonga, oldonyo lengai, Kilimanjaro au Meru.🏃Kileleni
Hahahhaa usambara magharibi! Au vilele vya UdzungwaCha kitonga, oldonyo lengai, Kilimanjaro au Meru.
Labda kibaigwaKufika wapi?
kama itakua ya wazi ataondolewa,Jobo ni chaguo la mwendazake..
Japo alitusaliti bwagamoyo hatutamuangusha labda iwe ya wazi.
Wakiweza kumhoji itakuwa yakwanza mpya Duniani, kilasiku nasema hapa ujasiri wakuwajibishana hatunao, wala wananchi hatuna uwezo wa kuwajibisha mtawala kiongozi aliye madrakani hata abolonge vipi.Tunatakiwa kuhoji sababu ya Ndungai kuongea aliyoyaongea akiwa nje ya Bunge.
Wachaaaaaaaa[emoji847]Jobo ni chaguo la mwendazake..
Japo alitusaliti bwagamoyo hatutamuangusha labda iwe ya wazi.
Na itakua ya wazi heehee aonekane mnafiki nan [emoji2] badam batamwagikakama itakua ya wazi ataondolewa,
lakin ikiwa ya siri,
theruthi mbili haitatimia
maana wapo wengi ambao hawamuelewi huyu mzanji,
Jamaa ako anawaza ngono, siyo vilele vya milima!Cha kitonga, oldonyo lengai, Kilimanjaro au Meru.🏃
Ndungai katikisa, kumbe mhimili mkuu ndio unaendesha nchi, hiyo mihimili mingine ni gheresha tu kikatiba. Hata sufuria halijayumba, kachomoka amevimba kweli kweli, amerudi amenyooka.😡Kosa la Ndugai ni kuomba msamaha.Ndugai akiwa kama kiongozi wa mhimili huru alipaswa kusimamia msimamo wake.
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.View attachment 2069776