Hakuna utata kwa sasa Nandy is a most well paid female artist kwa bongo now , The chick makes money , plenty of it , na she is trying to live her best life ila sijui kana nini, mi naonaga hakajutulia, haka ka kamamii kako na drama mingi nowadays , yani kana kujishaua flan hvi, halafu hata mashauz hayampendez yani, yani kana kiherehere, kanajikuta kenyewe, ila kwa sura ni kazuri na kanajua kuimba kwa kweli , ila naona nyota ndo hakanaga, kanajitaidig kenyewe kuimba ila watu ni kama hawamuelewi hvi ingawa single zake zinabamba, sitaki kuamin original east pekee ndo anamuelewa maana hata mastaa wenzie naona kama wamemblock flan hvi, yan wanampotezea
View attachment 1137188