There is something wrong with Nandy

There is something wrong with Nandy

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Hakuna utata kwa sasa Nandy is a most well paid female artist kwa bongo now , The chick makes money , plenty of it , na she is trying to live her best life ila sijui kana nini, mi naonaga hakajutulia, haka ka kamamii kako na drama mingi nowadays , yani kana kujishaua flan hvi, halafu hata mashauz hayampendez yani, yani kana kiherehere, kanajikuta kenyewe, ila kwa sura ni kazuri na kanajua kuimba kwa kweli , ila naona nyota ndo hakanaga, kanajitaidig kenyewe kuimba ila watu ni kama hawamuelewi hvi ingawa single zake zinabamba, sitaki kuamin original east pekee ndo anamuelewa maana hata mastaa wenzie naona kama wamemblock flan hvi, yan wanampotezea
IMG_0668.JPG
 
Nilikua mshabiki wake ki ndakindaki kwenye play list ya nyimbo nilizokua nacklza without siku kuisha nyimbo zake zilikuwapo na sometyz kuzirudiarudia nikimuona ni binti chipukizi anaefanya vzr na hana maswala ya kiendaazimu kama yalivyo kwa female artist wengine kwa tasnia zote huku akiwa na muonekano matratraa, eeh! Hule mchupi na yule bwana mdogo alivyo kua akimfanya kwa camera ndipo walianza kunipoteza, eeh! Wembamba wa reli nao ndio ulinistaajabisha kwa kubeba visivyo bebeka binti mdogo mrembo ila duh!![emoji849][emoji848] na kumuondoa kwa play list now nyimbo zake mpaka nilewe ndio niweze kusikiliza tofauti na hapo nop nop nop!!!
 
Hakuna utata kwa sasa Nandy is a most well paid female artist kwa bongo now , The chick makes money , plenty of it , na she is trying to live her best life ila sijui kana nini, mi naonaga hakajutulia, haka ka kamamii kako na drama mingi nowadays , yani kana kujishaua flan hvi, halafu hata mashauz hayampendez yani, yani kana kiherehere, kanajikuta kenyewe, ila kwa sura ni kazuri na kanajua kuimba kwa kweli , ila naona nyota ndo hakanaga, kanajitaidig kenyewe kuimba ila watu ni kama hawamuelewi hvi ingawa single zake zinabamba, sitaki kuamin original east pekee ndo anamuelewa maana hata mastaa wenzie naona kama wamemblock flan hvi, yan wanampotezeaView attachment 1137188
Wivu hukaa kifuani kwa mtu mjinga.
 
Back
Top Bottom