They cause it and blame you........

They cause it and blame you........

Bigirita

Platinum Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
16,039
Reaction score
7,465
Unaweza kupata kitumbua mara moja kwa wiki kutoka kwa my wife wako na mwenye kitumbua anafeel satisfied na anajua ww satisfaction nehii.

Kama ni wewe utafanyaje?
 
kaka,
fafanua basi kiduchu!mimi sijaelewa swali la msingi
 
Alikuwa na mpwa Porjie wanajadili kuhusu kula mboga moja fo ze resti of yua laifu.

Infakti Jojie leo kanitolea mpya. Hili tutalidiskasi pale CHAWOTE.
 
kaka,
fafanua basi kiduchu!mimi sijaelewa swali la msingi
Ni hivi, my wife wako kabla ya kuoana mlikuwa mnamegana swafi tu..si unajua tena kila mkiwa/ukiwa na hamu ya kumega. sasa baada ya kuhalalishwa ratiba ikaja.....ooh mimi siwezi kila wakati, mara ikishafika usiku sana mi siwezi, nk. then with time una-learn kwamba yeye anakuwa happy tu kama mkimegana once a week na usipoitaka kivile, lakini ukiitaka anatoa nje.....then ww hiyo habari ya wiki kwa wiki utaiweza????
Xpin especially utaweza? au ndo itakuwa kama title ya thread with time?
 
Hahaha! hiyo nilishaipitia sijamgongea senks wala koments sikutoa. Lol! Nimemhurumia sana.
swala lake lilikuwa gumu.sasa we wahi kaunta.mimi naenda CHAWOTE sasa!

burn anaenda MWANANYAMALA
 
swala lake lilikuwa gumu.sasa we wahi kaunta.mimi naenda CHAWOTE sasa!

burn anaenda MWANANYAMALA

Hahahaha! KWA KOPA! Full Uswazi. Kuna supu mpaka ya ngozi ya ng'ombe.
 
Ni hivi, my wife wako kabla ya kuoana mlikuwa mnamegana swafi tu..si unajua tena kila mkiwa/ukiwa na hamu ya kumega. sasa baada ya kuhalalishwa ratiba ikaja.....ooh mimi siwezi kila wakati, mara ikishafika usiku sana mi siwezi, nk. then with time una-learn kwamba yeye anakuwa happy tu kama mkimegana once a week na usipoitaka kivile, lakini ukiitaka anatoa nje.....then ww hiyo habari ya wiki kwa wiki utaiweza????
Xpin especially utaweza? au ndo itakuwa kama title ya thread with time?

hili atakuja kulijibu yeye!

mimi ningekuwa x-pin ''ningenunua simu na laini nyingine-unajua ukiwa na simu mbili hapa mjini ndo fasheni?!😀'
 
hili atakuja kulijibu yeye!

mimi ningekuwa x-pin ''ningenunua simu na laini nyingine-unajua ukiwa na simu mbili hapa mjini ndo fasheni?!😀'

Mpwa umeongea kitu! Thats me. Hivi gkundi ni he/she?
 
burn anaenda MWANANYAMALA

Masai Pub to precise na ninakiu kali sana leo, jana nililianzisha nikarudi home mapema sasa leo nimekwisha acha notice nyumbani nitarudi mida mibovu.
 
Back
Top Bottom