Thiery Henry ukocha si kama ulivyokuwa unauza sura SKY SPORTS , hii ni kazi ngumu hasa .

Thiery Henry ukocha si kama ulivyokuwa unauza sura SKY SPORTS , hii ni kazi ngumu hasa .

Ikiwa nyumbani Monaco imepigwa bao 4 kwa nunge na timu mbovu ya Club Brugge ya Belgium , Kipigo hiki kinamaanisha kwamba Henry hajawahi kuonja ushindi tangu ateuliwe kufundisha Monaco , ameanza na gundu la mguu wa kushoto , ukocha si lelemama.

Namtabiria kutimuliwa kwa aibu .
Monaco Wamchukue Nsajigwa aka scania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom