Nani anayepanga bei?chi haichagui mizigo yake ipitie wapi (unless mizigo hio ni zana za kivita), kampuni za meli ndo huamua mfumo jinsi gani mzigo utafika bandarini mwenu kwa bei nafuu,salama na kwa haraka zaidi.
The profit we will make from the gas is much bigger than what you will get from Kenya. Let me assure you that Kenya will sell the gas to other countries.You are paying for it.we will also sell this gas to Uganda.
weka link hapa tuoneNiliisikia PS of petroleum wa UG akisema hivyo.
Hiyo gesi Kwani mnatuuzia tutupe😛Hiyo Gesi tutapeleka kwa Viwanda tufanye Biashara nayo,Mpaka mtastukia kwa creativeness ambayo Tuko nayoTunagesi nyingi tutauza Hadi ulaya au Asia.tunawauzia gesi tunaingiza hela.ndo maana mtaendelea kuwa tegemezi.unajua utegemezi wa gesi?
Ata sisi Kenya tunauzianga Wazungu Kahawa,Wana Process alafu wanauza kwa Nchi Zengine,Sisi hio gesi tutatumia kuendeleza Viwanda vyetu,Ni Cheap FuelMapato moja Kwa moja inaenda Kwa Watanzania.unajua mapato ya gesi wewe?
Hiyo mtajua wenyewe mnatupa mpunga wa kutosha tunawapa gesi na Uganda pia tutawauzia gesi.mkizingua tunakata supply.soon tutakuwa superpower wa East afrika mpaka kiuchumi.mnanunua gesi afrika mashariki nzima Nani hapo ananufaika.Alafu tunauzia nchi zingine[emoji23][emoji23]. Mbona usijiulize mbona pipeline inaenda Mombasa badala ya Nairobi wakati viwanda vingi viko Nairobi? Sometimes just sit down and think before you talk. The pipeline will go directly to Mombasa Port, hapo tayari tushawapiga bao.
wakifanya fyo tuna-implement gas blockade kama Russia inavyowafinya EU! 🤣 🤣 💪Hiyo mtajua wenyewe mnatupa mpunga wa kutosha tunawapa gesi na Uganda pia tutawauzia gesi.mkizingua tunakata supply.soon tutakuwa superpower wa East afrika mpaka kiuchumi.mnanunua gesi afrika mashariki nzima Nani hapo ananufaika.
Hata Mexico inauzia USA gesi lakini haijaikuwa superpower.Hiyo mtajua wenyewe mnatupa mpunga wa kutosha tunawapa gesi na Uganda pia tutawauzia gesi.mkizingua tunakata supply.soon tutakuwa superpower wa East afrika mpaka kiuchumi.mnanunua gesi afrika mashariki nzima Nani hapo ananufaika.
Mpaka sasa hivi mtwara kuna viwanda vingi vya gesi na zingine zinajengwa.kuna LPG inajengwa pia we are going to be superpower.mkizingua tunawakatia gesi.way to power.Hiyo gesi Kwani mnatuuzia tutupe[emoji14]Hiyo Gesi tutapeleka kwa Viwanda tufanye Biashara nayo,Mpaka mtastukia kwa creativeness ambayo Tuko nayo
We waache Tu.[emoji23][emoji23][emoji23]hawajui tunaenda kuwa superpower kiuchumi Kwa sababu kisiasa na kijeshi tayariwakifanya fyo tuna-implement gas blockade kama Russia inavyowafinya EU! [emoji1787] [emoji1787] [emoji123]
Hapohapo tunapata madili ya maanaHahaha mama ana roho nzuri
Sawa nimeona ni kweli.
Kwan mnathani Nyinyi Ndio Jirani ambaye wako na Gesi pekee😃Unajua pia Kenya iko na Gesi Lakini haijaanza kutolewa sjui mpango yao Ni Gani????🤔🤔😛Hiyo mtajua wenyewe mnatupa mpunga wa kutosha tunawapa gesi na Uganda pia tutawauzia gesi.mkizingua tunakata supply.soon tutakuwa superpower wa East afrika mpaka kiuchumi.mnanunua gesi afrika mashariki nzima Nani hapo ananufaika.
sasa utlie uache unazi!Sawa nimeona ni kweli.
Lakini Tanzania tunaenda kuwa superpower tuna kila resources ya kuwakolonize Nyinyi.Hata Mexico inauzia USA gesi lakini haijaikuwa superpower.
Ahahahahahaha yaani umtume waziri wako aje nchini kwetu kuleta mualiko halafu mimi nikatae? wewe ndio dhaifu mkubwa kwanini ulete mualiko kwa nchi ambayo hauna Maslahi nayo, Wakenya nakwambia ndio maana Magufuli aliwashughulikia sanaaaaaaa, halafu kwa uoga mlionao adi bungeni mnampeleka akahutubie ahahahahhahaNa si mlikuwa mmenunia Baba yenu(Kenya) si mgekataa kuja,Unanikumbusha Mtoto flani alikuwa akithrow Tuntrums Nikampa Switi😛Akaanza kujifanya hataki,Nikampa Maid ampe hio Switi Kumbe alikuwa anaitaka🤣🤣🤣🤣🤣
Hamna gesi nyingiKwan mnathani Nyinyi Ndio Jirani ambaye wako na Gesi pekee[emoji2]Unajua pia Kenya iko na Gesi Lakini haijaanza kutolewa sjui mpango yao Ni Gani????[emoji848][emoji848][emoji14]
Unataka kukolonize mwenye ameshika uchumi wa Tanzania? Are you really normal? Your economy is controlled by Kenya.Lakini Tanzania tunaenda kuwa superpower tuna kila resources ya kuwakolonize Nyinyi.
Google Lamu gas alafu urudi.Hamna gesi nyingi