Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]huyu ni mhubiri hajazoe maswaliduh amwachie tuu???mkuu huyu hayupo fit yani mzee mchovu kama huyo anamtoa jasho kwenye meno kweri akiingia mjengoni atatusaidia wana kawe kweri??? Mimi Gwajima kuniachia dakika mbiri tuu kwa hoja anaweza kuzimia.....Swali moja tuu kwa mzee kofia hapohapo ina rotate ......ngoja...ngoja...ngoja...ngoja...ngoja...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapo shida kwanza kanisani hakuna demokrasia kila kitu ndi ndiyoooooo na kugonga meza kama wabunge wakijani amekuja uraini amepata challenge hatari mno.[emoji23][emoji23][emoji23]huyu ni mhubiri hajazoe maswali
This is delayed truth.......GWAJIBOY AKIMKARIBISHA JPM: Mheshimiwa Rais karibu sana jimbo la Kawe. Watu wa Kawe wamekusanyika hapa kwa wingi kukupongeza kwa kazi kubwa uliyowafanyia. Kwa miaka mitano ya uongozi wako umetatua kero ya muda mrefu ya maji maeneo mengi ya jimbo letu.
Umepeleka umeme kata nyingi, umejenga vyumba vya madarasa kwenye kata karibu zote, umetanua barabara ya Bagamoyo kutoka Morocco hadi Mwenge ili kupunguza msongamano, umejenga barabara nyingi za mitaa kwa kiwango cha lami na zinapitika muda wote. Mheshimiwa Rais tunakushukuru sana.
GWAJIBOY AKIMZUNGUMZIA MDEE: Mheshimiwa Rais jimbo hili ni kama halina mbunge. Kwa miaka mitano ya viti maalumu na 10 ya ubunge huyu mama hajali shida za wananchi kabisa. Maeneo mengi ya jimbo letu yana shida ya maji. Kata ya Mabwepande, Madale na Goba maji yanatoka mara moja tu kwa wiki na wakati mwingine hadi wiki mbili hayatoki.
Baadhi ya maeneo mtandao wa umeme haujafika kama kule Kisauke na Mbopo. Maeneo ya Mabwepande kuna uhaba wa vyumba vya madarasa watoto wanasongamana darasani na wengine wanakaa chini. Barabara nyingi za mitaa hazijakarabatiwa na hazipitiki. Mbunge yupo tu hakuna anachofanya. Kazi yake ni kuchochea migomo na kutoka bungeni.
Kuna nyakati na watu ...by that time hakuongea haya anayoongea sasaThis is delayed truth.......
We would have known anything from Gwajima Five years back
Mbona wakati yupo kwenye majukwaa ya pipooooooooz mliufyata kimya hamkutaka hata kuskiliza skandali zake alizokua anatupiwa
Politikis everi hwea.....
Kila binadamu ana mapungufu yakeKuna nyakati na watu ...by that time hakuongea haya anayoongea sasa
Mhh ni maumivu gani hayo? Wameondoka wangapi? Tena high profile figures?Kila binadamu ana mapungufu yake
Ana mazuri na mabaya yake
Ni vema kwenye kipindi hiki kigumu esp kuelekea uchaguzi tuzungumzie mazuri yake, hasa yale aliyokua anayaongea majukwaani 2015 hukuumati ukimshangilia
Kinyume na hapo ni kwamba kuna uchungu flani watu flani wameupata baada ya mwamba huyu kuondoka ufipa
Mimi sizungumzii mapungufu ya kibinadamu ya Gwajima. Kila mtu ana mapungufu yake; hili liko wazi.Tukisema hapa kila mwenye ID JF ajiweke wazi kuna uwezekano wengine hapa tukawa na 'Mapungufu' kuliko ya Gwajima na hata Shetani hayajui.
Dah Gwajinga bwanaGWAJIBOY AKIMKARIBISHA JPM: Mheshimiwa Rais karibu sana jimbo la Kawe. Watu wa Kawe wamekusanyika hapa kwa wingi kukupongeza kwa kazi kubwa uliyowafanyia. Kwa miaka mitano ya uongozi wako umetatua kero ya muda mrefu ya maji maeneo mengi ya jimbo letu.
Umepeleka umeme kata nyingi, umejenga vyumba vya madarasa kwenye kata karibu zote, umetanua barabara ya Bagamoyo kutoka Morocco hadi Mwenge ili kupunguza msongamano, umejenga barabara nyingi za mitaa kwa kiwango cha lami na zinapitika muda wote. Mheshimiwa Rais tunakushukuru sana.
GWAJIBOY AKIMZUNGUMZIA MDEE: Mheshimiwa Rais jimbo hili ni kama halina Mbunge. Kwa miaka mitano ya viti maalumu na 10 ya ubunge huyu mama hajali shida za wananchi kabisa. Maeneo mengi ya jimbo letu yana shida ya maji. Kata ya Mabwepande, Madale na Goba maji yanatoka mara moja tu kwa wiki na wakati mwingine hadi wiki mbili hayatoki.
Baadhi ya maeneo mtandao wa umeme haujafika kama kule Kisauke na Mbopo. Maeneo ya Mabwepande kuna uhaba wa vyumba vya madarasa watoto wanasongamana darasani na wengine wanakaa chini. Barabara nyingi za mitaa hazijakarabatiwa na hazipitiki. Mbunge yupo tu hakuna anachofanya. Kazi yake ni kuchochea migomo na kutoka bungeni.
Naona unanichosha tu Mkuu. Hebu niache Kwanza tafadhali kwani nawawazia 'Wabongo' wenzangu wanaopata Shida na Al Shabaab huko Mtwara.Mimi sizungumzii mapungufu ya kibinadamu ya Gwajima. Kila mtu ana mapungufu yake; hili liko wazi.
Ninachozungumzia ni kuhusu kuhusu kauli zake kinzani kuhusu maendeleo ya Jimbo la kawe kipindi cha miaka mitano iliyopita.
Mfano ni alipo pongeza kero ya maji kutatuliwa maeneo mengi ya Kawe, baadaye kidogo akasema maeneo mengi chini ya mbunge Mdee yana kero kubwa ya maji. Huyu ni mtu ambaye yuko sawa kichwani?!
Hivi embe dodo na furu ni sawa?Halima ni mwanafamilia lakini ubunge umetosha sasa, hakuna analofanya jipya Kawe
Unafukuriwa mtaro wa majitaka kwa finga?Popoma Shangazi yako / Mjomba wako 'Pimbi' Wewe. Ndiyo kuhusu hizo 'Dhambi' zingine nazifanya tena huenda hata pia Kumzidi huyo Gwajima.
Mbona kama umekata tamaa kwa asilimia zote mkuu?Bora gharika lije kila mtu apewe haki yake
Ha ha ha ha ha haaaaaa ... ni pale unapojaribu sumu kama inauaNitampima 'Mbunge' wangu mtarajiwa Gwajima baada ya miaka yake Mitano na kuhusu 'Mapungufu' yake ya Kibinadamu hata Sisi pia tunayo sana.