This is for you Ticha Jael...


Hahhaaaa mwanaume akipika na vest na short ni kama vile

Unavyomuona mkeo anadeki na kipande cha mtandio wa dera
 
Wakipika na vivest ama kifua wazi na shorts ndo wananoga.

Tena wawe na vibody vyao.

Sio wawe malnourished vimbavu nje afu wanajifanya kukarangiza
Ngoja niende kupika mimi saiv

Ni mwendo wa pensi na vest [emoji23][emoji23]
 
Kasie platinum uko na vidole vizuri vya kunyonya...


Aaahahhahahahaaa looh
Asante doctor, imebidi nirudi kukiangalia hicho kipunje cha kidole nilichokiweka....
Nisikubishie sana maana ndicho ulichoona, isitoshe kunyonya ni kitu wanaume huwa hawaachi eehehehehheehheeee
Thank you Doctor.
 
Hahhaaaa mwanaume akipika na vest na short ni kama vile

Unavyomuona mkeo anadeki na kipande cha mtandio wa dera

So horny and lovely.... Basi tuu baadhi ya wanaume hawajui wanaishia kusema sifanyi ujinga huu ili wasionekane wamekaliwa, wakati ikifika usiku kitandani wanakuwa wapoleeee aahahahhahahabaaaaa
 
So horny and lovely.... Basi tuu baadhi ya wanaume hawajui wanaishia kusema sifanyi ujinga huu ili wasionekane wamekaliwa, wakati ikifika usiku kitandani wanakuwa wapoleeee aahahahhahahabaaaaa
Kwa mfano mwanaume anapika mkewe anafanya nini? Anaangalia tamthilia? Bachelors kama sisi ndio ukija siku ya kwanza, narudia siku ya kwanza nitapika msosi wangu wewe utakaribishwa kula(sikupikii) ukija mara ya pili utapika tu.
 
Tuacheni utani huyu bishosti ni mtundu.

Heeey Darmiii mambooz

Jamaniii,mwenzio nnavyojitahidi kuwa mpole kumbe bado naonekana mtundu looh aahahahhahaaaaa.

Natabasamu tuu hapaa...
 
So horny and lovely.... Basi tuu baadhi ya wanaume hawajui wanaishia kusema sifanyi ujinga huu ili wasionekane wamekaliwa, wakati ikifika usiku kitandani wanakuwa wapoleeee aahahahhahahabaaaaa

Usiku wanapiga mpaka magoti

Wakati jion angekata japo kitunguu tu angeishia kuombwa yeye
 
Hahhaaaa mwanaume akipika na vest na short ni kama vile
Unavyomuona mkeo anadeki na kipande cha mtandio wa dera
Msije Fanya vijana wa dar wakaanza kuwa wakina kaka lishe na sasa wana vibukta vyao sijui viboksa au lah maana vinavaliwa kweli ndio nyie mmesababisha wavae hivyo vibukt
 
Msije Fanya vijana wa dar wakaanza kuwa wakina kaka lishe na sasa wana vibukta vyao sijui viboksa au lah maana vinavaliwa kweli ndio nyie mmesababisha wavae hivyo vibukt

Vile vinavyokusanya mzigo pale mbele?
 
Vile vinavyokusanya mzigo pale mbele?
Kuna hivi vinahasili ya nylon vifupi kama vya beach vinaishia mapajani vinavaliwa sana town yaani majuzi kuna mshkaji wangu ikabidi nimuulize mzee vipi mbona hivyo napewa fashion mademu wanazimika kweli na vibukta anaonekana sex mnadhambi sana nyie kutesa watoto wa wanawake wezenu
 

Hahahaaa wanakwenda na upepo wa fashion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…