This is for you Ticha Jael...

This is for you Ticha Jael...

That is possible for the woman at least knows what's meaning of love those who living in buza, kwa mtogole ,mwananyamala and like it's illusion😂😂😂😂😂😂
Aahahahahahaa hapana, hii ni hulka bila kujali anaishi wapi japo mazingira nayo yana athari zake...

Mfano mie nimekulia mbagala maji matitu na kizuiani, na hapa niko mbagala rangi tatu. Ila hulka yangu haijaathiriwa na mazingira, nimejikuta tuu nimezaliwa na hii hulka kama ya kutabasamu..... ever smiling platinum K.
 
wanawake wa dar ndio mana hamuishi kuota vitambi.... diet gani inajumuisha mihogo, magimbi, wali, ugali kwenye bakuli moja!? shubakengemiti kabisa
 
Aahahahahahaa hapana, hii ni hulka bila kujali anaishi wapi japo mazingira nayo yana athari zake...
Mfano mie nimekulia mbagala maji matitu na kizuiani, na hapa niko mbagala rangi tatu. Ila hulka yangu haijaathiriwa na mazingira, nimejikuta tuu nimezaliwa na hii hulka kama ya kutabasamu..... ever smiling platinum K.

Wapo ni wachache sana aisee nimeexperience both ushuani na huku kwetu ila huku kwetu sijawai kabisa ni maumivu tu wao wanaangali wepesi wao tu😢😢😢
 
Kunyonya muhimu sana, maana huongeza ukaribu baina ya wapendanao...

Halafu Kasie Platinum naomba urekebishe hapo am not a Doctor, bali muuza chips na vidali unakaribishwa sana wewe na dadiii mpate chips na kidali..

Msalimie dadiii 🙂

Asante ntakaribia hapo kupata chips kidari.

Kuhusu kukuita Doctor, nilitaka nitamke ID yako wakati naku quote.... nikaona ni jina linaloendana na taaluma ya kidaktari. Sina ufahamu sana kuhusu hiyo taaluma ila biology ya olevel ikanifikirisha huyu hadi kachagua hii user name, basi ana wajihi nayo.

Hapo ndo medula oblangata ya Kasie ikasema just call him doctor bila kujua wala kujali shughuli yako au taaluma yako ni ipi.

Kama nimelenga mulemule wee mute tuu, ntalifupisha jina na kukuita Cardio..... mmmhhh au ni maana gym weee eeheheheheheheee

Hii medula blangata ya Kasinde tangu ipate uplatinum ni balaa aahahahahaa

Cheers Cardio.

Platinum Matata.
 
One need to be artisan for him to be named artist....

Mapenzi ni sanaa.... na hii haimaanishi watu wa Tanga wote ni wasanii....

Yaani mapenzi yanizidi nikapike!?

Kupika ndio mapenzi?

This is new to me!

Mi najua ni ku-pull out my dick and smash that pvssy shitlessly!

Women can never be satisfied with any gentle treatment!

Smashing is what I’m after!

Jikoni mtajijua wenyewe!

Kupika?

Heri nikalime nitavuna hela!
 
wanawake wa dar ndio mana hamuishi kuota vitambi.... diet gani inajumuisha mihogo, magimbi, wali, ugali kwenye bakuli moja!? shubakengemiti kabisa

Aahahahahhahaaa tukiwa kitandani haviitwi vitambi bali sexy pillows 😂😂😂

Kula ni starehe ndugu na hiyo sio diet ni mlo wa mbagala maji matitu huu.
Shuubaamittbinmalabukua zako mara sabini eeheheheheheheeee
 
Aahahahahhahaaa tukiwa kitandani haviitwi vitambi bali sexy pillows 😂😂😂
hahahhahahahahhahahhahaha sawa boss naona ulikua unajaza upepo your SEXY PILLOW
 
Wapo ni wachache sana aisee nimeexperience both ushuani na huku kwetu ila huku kwetu sijawai kabisa ni maumivu tu wao wanaangali wepesi wao tu😢😢😢

Ni kweli usemacho ni wachache.....

Kaa na wale roho inaburudika..
 
hahahhahahahahhahahhahaha sawa boss naona ulikua unajaza upepo your SEXY PILLOW

Saanaaaa na ikifika mida ya kubeti upepo wote unatolewa, nakuwa mwepesiiii aahahahhahahaaaa

Cheers 🥂.
 
Yaani mapenzi yanizidi nikapike!?

Kupika ndio mapenzi?

This is new to me!

Mi najua ni ku-pull out my dick and smash that pvssy shitlessly!

Women can never be satisfied with any gentle treatment!

Smashing is what I’m after!

Jikoni mtajijua wenyewe!

Kupika?

Heri nikalime nitavuna hela!

Aahahahahaa looh, you need a session rather a full class, cause these quotes won’t end laaah aahahahhahaaaaaa.

Wyatt umenifanya niwakumbuke wayans brothers....

If you had time please enroll in Kasie’s class for every thing about Mahaba Matata.

Mr. Smasher, wondering the way you smash like mashed potatoes....🤩😆😆😋

Please note, it’s not all about cooking... it’s more than that.
 
Aahahahahhahaaa acha kabisa, Dadii akiwa anapika huwa namsumbua sana jikoni hadi anitulize kwanza na kamoja ndo anamalizia kupika, maana huwa situlii.

Mara namuendea, naomba nisaidie kufungua zipu imenishinda nimebanwa...
Mara, nasikia kiu ya madafu, twende tukayatafute...
Mara niimbe na kucheza cheza huku namtekenya... Basi vurugu tuu aahahahahaaa ghafla naona jiko linazimwa halafu shwaaap kamoja tuu, natuliaa na mapishi yanaendelea eeheheheheheheee.

Kasinde P Matata.
Kwanin lkn unatufanyia hivyo Kasie
 
Asante ntakaribia hapo kupata chips kidari.

Kuhusu kukuita Doctor, nilitaka nitamke ID yako wakati naku quote.... nikaona ni jina linaloendana na taaluma ya kidaktari. Sina ufahamu sana kuhusu hiyo taaluma ila biology ya olevel ikanifikirisha huyu hadi kachagua hii user name, basi ana wajihi nayo.

Hapo ndo medula oblangata ya Kasie ikasema just call him doctor bila kujua wala kujali shughuli yako au taaluma yako ni ipi.

Kama nimelenga mulemule wee mute tuu, ntalifupisha jina na kukuita Cardio..... mmmhhh au ni maana gym weee eeheheheheheheee

Hii medula blangata ya Kasinde tangu ipate uplatinum ni balaa aahahahahaa

Cheers Cardio.

Platinum Matata.
Thats great Kasie platinum, Hakika your brain iko vizuri hujakosea hata cute and great Kasie thats why dadiii alikuona akaamua akutie ndani kabisa

Cardio is okay pia, najua wengi wanaona uvivu kutamuka au kuandika user name yangu 🙂
 
Thats great Kasie platinum, Hakika your brain iko vizuri hujakosea hata cute and great Kasie thats why dadiii alikuona akaamua akutie ndani kabisa

Cardio is okay pia, najua wengi wanaona uvivu kutamuka au kuandika user name yangu 🙂

Thank you Cardio.....
 
Kasie Bibi wa watu haujambo..? Lile likijeba mapengo limeacha kukusumbua..?
 
Back
Top Bottom