Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Pika pika tu mkuu.hahaha nashukuru mkuu
One day yes utapata vinyama vya kuringia hapa mjini.
Hasa kwenye mbavu.ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pika pika tu mkuu.hahaha nashukuru mkuu
kichwa au mdomo wa chini?Niache kwanza saa hizi natumia kichwa kidogo
pole kwa masaibuKassie please leave me alone
Mimi sii mnywaji mpenziShosti nilipiga ukunga sema hukusikia eehehehehheee. Karibuu Savana bado zipo, ila msosi wamemalizia majirani asubuhi.
Karibu tuleKila la kheri ndugu, mlo mwema kikiiva.
Wallah kwa maelezo yako, lazima hilo penzi ni jipya ama la vimbibi vilivyokula jubilei ya kuishi miaka 50 ya ndoa na sasa vimekuza, watoto walishasambaa kwa kujitegemea, vimebaki vyenyewe home vinajipikilisha, havina mtu wa kutuma.We just cook together teasing and fucking till the food is ready.
Bado hujabahatika kukutana na mimi tu,ungeinjoiSaanaa (ila sio akiwa kazini aka Chief, sexy akiwa anapika nyumbani..) yaani hadi huwa naona aibu kwa jinsi Mahaba yanavonifunika.... heheheheheee.
Nna bahati ya kufahamiana na wanaume wajuzi wa mapishi sijui kwa nini....
Lord have mercy!We just cook together teasing and fucking till the food is ready.
Kwahiyo mimi babu ODM bado nanyonya?Aaahahhahahahaaa looh
Asante doctor, imebidi nirudi kukiangalia hicho kipunje cha kidole nilichokiweka....
Nisikubishie sana maana ndicho ulichoona, isitoshe kunyonya ni kitu wanaume huwa hawaachi eehehehehheehheeee
Thank you Doctor.
Wanaume huwa sexy sana wakipika
Siku nikajifanya mzungu nikaingia jikoni bhana... hili toto langu linaitwa Matesha.. lishikaji langu kweli yani. ..Likasema "Baba leo unapika? Ngoja nikameze flagyl kabisa" .. nikaenda kugugo kumbe flagyl sijui ni dawa ya tumbo... mzee mzima nikarudi sebuleni kugida K Vant yangu taratiibu. Ila kosa langu la kufumaniwa lilisamehewa wallah na bibi yenuWallah kwa maelezo yako, lazima hilo penzi ni jipya ama la vimbibi vilivyokula jubilei ya kuishi miaka 50 ya ndoa na sasa vimekuza, watoto walishasambaa kwa kujitegemea, vimebaki vyenyewe home vinajipikilisha, havina mtu wa kutuma.
Vinginevyo ni wapenzi mnaokula ujana, ndiyo mnaweza kuigiza uzungu jikoni.
Ugoro tena!! Bwia mwenyewe mi bado kijana barobaro handsome.. bado naangaika na Hawa vimwali wa sasa Si unajua vijana tuna mengi..Kenzy nashangaa quote yako sikuiona...
Mie sijambo buheri wa afya, karibu tubwie ugoro eeheheheeer.
Likijeba lipi hilo? lina mapengo ???
Siku nikajifanya mzungu nikaingia jikoni bhana... hili toto langu linaitwa Matesha.. lishikaji langu kweli yani. ..Likasema "Baba leo unapika? Ngoja nikameze flagyl kabisa" .. nikaenda kugugo kumbe flagyl sijui ni dawa ya tumbo... mzee mzima nikarudi sebuleni kugida K Vant yangu taratiibu. Ila kosa langu la kufumaniwa lilisamehewa wallah na bibi yenu
Kasie na Karucee msisome hii post tafazali... just joking... khee
Kasinde nakusubiri PM ujue