This is for you Ticha Jael...

This is for you Ticha Jael...

We just cook together teasing and fucking till the food is ready.
Wallah kwa maelezo yako, lazima hilo penzi ni jipya ama la vimbibi vilivyokula jubilei ya kuishi miaka 50 ya ndoa na sasa vimekuza, watoto walishasambaa kwa kujitegemea, vimebaki vyenyewe home vinajipikilisha, havina mtu wa kutuma.
Vinginevyo ni wapenzi mnaokula ujana, ndiyo mnaweza kuigiza uzungu jikoni.
 
Saanaa (ila sio akiwa kazini aka Chief, sexy akiwa anapika nyumbani..) yaani hadi huwa naona aibu kwa jinsi Mahaba yanavonifunika.... heheheheheee.
Nna bahati ya kufahamiana na wanaume wajuzi wa mapishi sijui kwa nini....
Bado hujabahatika kukutana na mimi tu,ungeinjoi
 
Kasie Bibi wa watu haujambo..? Lile likijeba mapengo limeacha kukusumbua..?
Kenzy nashangaa quote yako sikuiona...
Mie sijambo buheri wa afya, karibu tubwie ugoro eeheheheeer.

Likijeba lipi hilo? lina mapengo ???
 
Aaahahhahahahaaa looh
Asante doctor, imebidi nirudi kukiangalia hicho kipunje cha kidole nilichokiweka....
Nisikubishie sana maana ndicho ulichoona, isitoshe kunyonya ni kitu wanaume huwa hawaachi eehehehehheehheeee
Thank you Doctor.
Kwahiyo mimi babu ODM bado nanyonya?
 
Wallah kwa maelezo yako, lazima hilo penzi ni jipya ama la vimbibi vilivyokula jubilei ya kuishi miaka 50 ya ndoa na sasa vimekuza, watoto walishasambaa kwa kujitegemea, vimebaki vyenyewe home vinajipikilisha, havina mtu wa kutuma.
Vinginevyo ni wapenzi mnaokula ujana, ndiyo mnaweza kuigiza uzungu jikoni.
Siku nikajifanya mzungu nikaingia jikoni bhana... hili toto langu linaitwa Matesha.. lishikaji langu kweli yani. ..Likasema "Baba leo unapika? Ngoja nikameze flagyl kabisa" .. nikaenda kugugo kumbe flagyl sijui ni dawa ya tumbo... mzee mzima nikarudi sebuleni kugida K Vant yangu taratiibu. Ila kosa langu la kufumaniwa lilisamehewa wallah na bibi yenu

Kasie na Karucee msisome hii post tafazali... just joking... khee

Kasinde nakusubiri PM ujue
 
Kenzy nashangaa quote yako sikuiona...
Mie sijambo buheri wa afya, karibu tubwie ugoro eeheheheeer.

Likijeba lipi hilo? lina mapengo ???
Ugoro tena!! Bwia mwenyewe mi bado kijana barobaro handsome.. bado naangaika na Hawa vimwali wa sasa Si unajua vijana tuna mengi..
Hilo likijeba utakuwa umelisahau na limeacha kukusumbua Bibi yangu..
 
Kwahiyo mimi babu ODM bado nanyonya?

Unaanzaje kuacha sasa....

Aahahahahhahaaa kabla hujasip ile malabuku yako lazima unyonye...... Aahahahahhahahaaa mbiiiooo
 
Siku nikajifanya mzungu nikaingia jikoni bhana... hili toto langu linaitwa Matesha.. lishikaji langu kweli yani. ..Likasema "Baba leo unapika? Ngoja nikameze flagyl kabisa" .. nikaenda kugugo kumbe flagyl sijui ni dawa ya tumbo... mzee mzima nikarudi sebuleni kugida K Vant yangu taratiibu. Ila kosa langu la kufumaniwa lilisamehewa wallah na bibi yenu

Kasie na Karucee msisome hii post tafazali... just joking... khee

Kasinde nakusubiri PM ujue


Aahahahhahaaaa babuuu, I bet hautazeeka weeweee.....

Huko PM kuna nini???!! Maana wadada watatu wameniwahi kuniambia uki PM tuu tunasoma kila kitu.... Mmmhhh.... Kwemaaa!!??
 
Back
Top Bottom