sammoo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 701
- 1,604
yule mshkaji kaimba nae kwenye bongo la biashara nae namkubali sanaJua kali anangoma flan hv ya ngeli ya genge....yupo chalii mmoja aitwa major,ile ngoma ya landlord[emoji28][emoji28]looh hua nacheka kile kiswahili chake Ila ilikua bonge la idea,yote tisa kumi ngoma ya sinzia ya nameless naipenda hadi kesho
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
sichoki kusikiza "ngoma yako ya nonini