Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado, subiri tuchanje mbuga kuelekea mbugani ndio utazidi kujua umuhimu wa wapwa. Nimekugongea senksi mpwa, rudi kathibitishe.Sina cha kumlipa MAXENCE namuombea maisha marefu kanipa marafiki/WAPWA na sasa naona my heart will soon beat at the higher rate.
hahahaaa, mkuu umeniingiza chaka, mbona senksi sijaiona??, gonga tena hapa basi!.Mkuu you made my day,nimekugongea SENKS KATHIBITISHE.
hahahaaa, mkuu umeniingiza chaka, mbona senksi sijaiona??, gonga tena hapa basi!.
Mpwa kuna watu wachoyo wa senksi sijapata kuona. We chunguza uone. Wakiendelea na uchoyo huo sijui kama watapata watoto. Hahahaha!
wakora waitu!.thanks
Thanks
Mpwa kuna watu wachoyo wa senksi sijapata kuona. We chunguza uone. Wakiendelea na uchoyo huo sijui kama watapata watoto. Hahahaha!
hahahaaaaa, JF bana naipenda sana, niko tayari kunywa sumu kwa ajili ya JF!.Hahaha! Mpwa umeshatembelea mpaka uvunguni mwa mchuchu. Inaweza kuwa gear nzuri, hebu jaribu afu utani-PM matokeo yake.
na mimi nakuunga mkono na mguu kumgongea senks babylove, kathibitishe.
hahahaaaaa, JF bana naipenda sana, niko tayari kunywa sumu kwa ajili ya JF!.
unashangaa mpwa?, JF brings pipo tugeza.
Mpwa, nilianza kutuma salamu kule kwenye thread y a JF inafadhiliwa na nani mods wakanipiga mkwara maana nimepata msg ambayo siielewi, sijui ile thread imeshtukiwa, ikabidi nisepe, mzima lkn? missed you guys big tym!Mpwa nimekugongea senksi. Kaangalie. Hiyo nilikuwa natafuta kabatani ka hongera. Kumbe hakapo. Basi naomba hiyo senksi isomeke hongera. Yu knoo woram seyying? hahaha! Karibu nyumbani babylove! Hahahaha!
Mpwa, nilianza kutuma salamu kule kwenye thread y a JF inafadhiliwa na nani mods wakanipiga mkwara maana nimepata msg ambayo siielewi, sijui ile thread imeshtukiwa, ikabidi nisepe, mzima lkn? missed you guys big tym!
hahahaaaa SENKSI.na mimi nakuunga mkono na mguu kumgongea senks babylove, kathibitishe.
ze vakesheni was cool and relaxing, am back in full swing!Hahaha! Sana tu! Nimekugongea senksi. Kathibitishe. How woz dhe vekesheni bai dhe wei?
hahahaaa, mkuu umeniingiza chaka, mbona senksi sijaiona??, gonga tena hapa basi!.
hahahaaaaa, hili nalo neno mpwa!!.Tatizo hawaruhusu kugonga mara kibao,nimeshakugongea au sema nikugongee kila unapopita
Tatizo hawaruhusu kugonga mara kibao,nimeshakugongea au sema nikugongee kila unapopita