This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

kingereza chake kimemsaidia kutoka uchokorani??????? mpelekeni basi Uchina akafundishe Kingereza
 
Basi nikwamba tu Wakenya hamna akili kama mnaona kujua Kiingereza ndio kila kitu. Hiyo ni lugha tu ya mawasiliano kama kikikuyu au kikamba. Acheni huo ushamba mnajiaibisha mno

Mkalimani huyu anaongea Kiswahili kizuri zaidi ya Uhuru na Wakenya wote..

Mlianzisha hii thread, mkenya akawajibu na nyinyi hamjui kiingereza, tazameni jinsi mmeshika moto!
Kama lugha ni lugha tu, basi hamna makosa kwa wakenya kujua kingereza zaidi kuliko kiswahili na vv.

Mradi tu, haya lugha yanatimiza matakwa na malengo ya taifa.

Wakenya wanazungumza kizungu, kiswahili ( hata kama sio katika uhalisia wake) na pia pia lugha zao za mama.
Utumwa wetu na ujinga wetu upo wapi hapo?
 
Kingereza ni nn? si lugha tu kama kimakonde!
Acheni utumwa wa kifikra
 
OMG!

Kenya's primary language is English huku Tanzania ikiwa ni Kiswahili!

Sioni mantiki ya Kubisha katika hili hata kidogo! Kwa Mkenya kuelewa kiswahili itabidi afanye juhudi binafsi na kwa hali hiyo ni lazima tu ataongea kiswahili chenya ukakasi, kama ilivyo kwa mtanzania kuelewa kiingereza lazima afanye bidii lakini pia ataongea chenye ukakasi!

Kwa mantiki hiyo sioni hoja kubwa hapo, labda tujiulize kwa nini Tanzania tuliamua kutumia kiswahili na Kenya wakaamua kutumia English!

However, some Kenyans link English proficiency with intelligence, something which is untrue, and from my point of view, this is the reason why kuna povu mob hapa!
 
Oh my! Oh my!

Hapa naona Jay ameguza pabaya mno.

Kumbe watanzania hawapendi kuambiwa ati hawajui English!

Yani thread ilifunguliwa saa moja, by saa 9.40 iko na more than 100 comments, na karibu zote bi za watanzania kujitetea ati Kiingereza si lugha yao, ni utumwa.

Kama ni hivyo, mimi kama si mswahili ni sababu gani nijue Kiswahili, manake sio lugha yangu na huenda hiyo pia ikawa ni utumwa wa kimawazo.

Lakn kwa wakenya kujua kingereza hakumanishi wanetelekeza lugha na tamaduni zao za kiafrika. Kizungu ni lugha yetu ya kimasomo na pia ya kutangamana na watu kutoka mataifa ya nje.

Tukiamua sote kujikita kwenye hili lugha moja ya Kiswahili, na wale waafrika wengine kwa luhga zao na kutupilia mbali kizungu ati ni utumwa ( na mwenye maoni kama haya ni mpumbavu balaa), basi ni vipi tutaweza kuwasiliana na watu kutoka mataifa mengine ya kiafrika kama Nigeria, SA, Ghana nk, ukiachilia mbali mataifa ya kizungu?
Tutawezaje kutangamana, kufanya biashara, kujitetea dhidi ya dhulma kutoka mataifa ya nje?

Mchina hajui kiswahili, nami mkenya sijui kichina, lakini.kuna uwezekano mkubwa sana ya kwamba sote tunajua kizungu.

Kwa hivyo, acheni kujidanganya watanzania. Kweli, ni vyema sote kama wana East Afrika kulitukuza lugha ya kiswahili, lakn ukweli ni kwamba bado sana kupata hadhi ya kimataifa.

For the sake of our development, for the sake of trade and political and technological and cultural intercourse with the rest of the world, we need to master at least one of these global languages.
Brother i beg to differ with you, Gosh! before I do that, labda unisaidie una maana gani kusema kiswahili bado sana kupata hadhi ya kimataifa!
 
Kuliko watanzania wote, hauko serious wew
 
Kingereza ni lugha tu jamani kama kugha nyingine wala si kipimo cha maarifa aliyonayo mtu tuache kuwa watumwa jamani.
 
tatizo huwa tunabishana na wakenya wachache walioelimika ndo amabao wanasumbua mitandaoni humu, ila wale walioko kwenye slums wangekuwa na access ya kimitandao wangekuwa wanabishana wakenya kwa wakenya. ndo maana post za Kenyan forum utakuta kila siku ni walewale mada ni zile zile.
 
Yawezekana uko sahihi lakini ulifurahia kiingereza kizuri ukasahau huyo ni chokoraa,una entertain uchokoraa,kiingereza kimempa maisha mazuri?
Umeonesha how low your thinking capacity is.
 
Kitu hela elimu ni kuelimika kuvaa nguo tu na hicho kizungu chake ale sasa kama kinaliwa analalamika nn sasa
 

Ifike wakati watanzania tuwe funajielewa kidogo.. Hiyo englisb unayoitaka wewe ndo lugha ya taifa.. Maraisi wangapi duniani na watu mashuhuri wangapi hawajui english.. Au waleta unafki tu hapa.. Sidhani kama hata shule umesoma mkuu..
 
yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi? washamba wa East Africa
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hivi rais wa ufaranc, urusi, china, waziri Mkuu wa Japan na yule wa Spain wanafahamu kiingereza kweli?' kumbe na wao ni mbumbumbu kwa kutojua kuongea kingereza! aisee!
 
Oh my! Oh my!

Hapa naona Jay ameguza pabaya mno.

Kumbe watanzania hawapendi kuambiwa ati hawajui English!

Yani thread ilifunguliwa saa moja, by saa 9.40 iko na more than 100 comments, na karibu zote bi za watanzania kujitetea ati Kiingereza si lugha yao, ni utumwa.

Kama ni hivyo, mimi kama si mswahili ni sababu gani nijue Kiswahili, manake sio lugha yangu na huenda hiyo pia ikawa ni utumwa wa kimawazo.

Lakn kwa wakenya kujua kingereza hakumanishi wanetelekeza lugha na tamaduni zao za kiafrika. Kizungu ni lugha yetu ya kimasomo na pia ya kutangamana na watu kutoka mataifa ya nje.

Tukiamua sote kujikita kwenye hili lugha moja ya Kiswahili, na wale waafrika wengine kwa luhga zao na kutupilia mbali kizungu ati ni utumwa ( na mwenye maoni kama haya ni mpumbavu balaa), basi ni vipi tutaweza kuwasiliana na watu kutoka mataifa mengine ya kiafrika kama Nigeria, SA, Ghana nk, ukiachilia mbali mataifa ya kizungu?
Tutawezaje kutangamana, kufanya biashara, kujitetea dhidi ya dhulma kutoka mataifa ya nje?

Mchina hajui kiswahili, nami mkenya sijui kichina, lakini.kuna uwezekano mkubwa sana ya kwamba sote tunajua kizungu.

Kwa hivyo, acheni kujidanganya watanzania. Kweli, ni vyema sote kama wana East Afrika kulitukuza lugha ya kiswahili, lakn ukweli ni kwamba bado sana kupata hadhi ya kimataifa.

For the sake of our development, for the sake of trade and political and technological and cultural intercourse with the rest of the world, we need to master at least one of these global languages.
Hakuna lugha inayoitwa "kizungu"

Naona umejikakamua kuandika kiswahili safi(tz effect)

Hakuna mtanzania ambaye hajui kingereza kama kapita secondary school.

Wanajua kuongea but might be broken .

Hilo sio tatizo kwa sababu sio mother tongue yetu .

Kiswahilj ni identinty yetu nyie yenu ipi.

Upumbavu ni kwamba unatuponda sisi kutokujua "kabisa" kingereza. Ilhali tunajua hata cha broken .

Wakati huo huo unalazimisha tukijue kana kwamba ni lugha yetu.

Unatulete tambo za kujidai kujua lugha ya your colonial master hahaa what a non sense.

Wakenya ni Taifa la kipuuzi sio ajabu mnaongoza kwa "wizi" na ukabila

Shame on you[emoji53]
 
Brother i beg to differ with you, Gosh! before I do that, labda unisaidie una maana gani kusema kiswahili bado sana kupata hadhi ya kimataifa!
Hana akili huyo anaongea vitu vya kijingajinga utumwa Wa kimawazo umemtawala.

Hajui kwamba kwa Africa kiswahili kinashika nafasi yapili nyuma ya kiarabu kwa kuzungumzwa sana.
 
Huyu mleta maada kasumba ya uloloni haijamtoka kwenye bongo yake na sichelei kusema ni mmojawapo ya huyo mtoto anaemsifia bila bila kufikiria.
 
Kiingereza Ni Lugha Tu! Nenda China,Japan,Korea, Urusi Watu Hawajui Kiingereza Lakini Wako Mbali Sana Kwenye Maendeleo Wewe Baki Na Kiingereza Chako Watu Hawujui Kiingereza Lakini Ulaya Wanakwenda Kama Kawaida Hahahahahaaa Ukiwa Na Pesa Lugha Zote Duniani Unajua BISHA SASA!
 
Back
Top Bottom