This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

Colonial Effects zina mletea matatizo kijana mleta mada .

His slavery mode activated .

Ni mpumbavu tu.
 
Kujivunia kujua lugha ya watu wengine ni utumwa na ulimbukeni.

Kiingereza ni lugha isiyo na mantiki katika sarufi na matamshi kikilinganishwa na Kiswahili.

Hakina matamshi yaliyorandana kwa karibu na maandishi, kanuni zake za sarufi ni kama nusu tu, nusu nyingine ikiachwa bila kufuata kanuni.

Kwa hiyo Watanzaniatusipojua Kiingereza, si kwa sababu si wajuzi, ni kwa sababu lugha yenyewe ni mbovu.

Muandishi wa michezo ya kuigiza maarufu George Bernard Shaw aliandika yote haya

Ghoti - Wikipedia

George Bernard Shaw: Excerpt from Essay on Spelling and the English Language - Digital Composition and Rhetoric

Hata hivyo, Kiingereza ni lugha muhimu na si kweli kwamba Watanzania wote hatujui Kiingereza.

Wengine tunashangaa huu ulimbukeni wa kuringishia Kiingereza wakati tukiwa Geneva tunabadili Kiingereza, Kifaransa na Kijerumani na binamu zetu wa pande hizo tangu kabla Nyayo haijaondolewa kutawala kwenu. Bila kujisifia kwa hilo.
 
Sio watanzania wote alfu kingereza nilugha hivyo kujua au kutojua sio ugonjwa kwani ulizaliwa uongee lugha zote angekuwa hawezi kiswahili hapo sawa..kingereza nilugha ya waingereza ...
 
Kama vile ndiyo kipimo cha elimu?! Labda kiingereza chake kizuri kuliko mbelgiji, mfaransa, mchina, mjerumani, mdachi n.k. n.k.
 
Basi nikwamba tu Wakenya hamna akili kama mnaona kujua Kiingereza ndio kila kitu. Hiyo ni lugha tu ya mawasiliano kama kikikuyu au kikamba. Acheni huo ushamba mnajiaibisha mno
 
wakenya wanapenda kujisifu.kama treni na mbwembwe zote kumbe inatumia dizeli.mi nilijua inatumia umeme
 
watanzania wanafiki wakubwa sana...mnamwaga povu kwa huu uzi mbona ule wa Giza akisema mkalimani anaongea kiswahili kizuri zaidi ya Uhuru na wakenya wote hamkuongea...tokeni apa
Hayakuhusu nyamaza[emoji57]
 
Kiingereza kingekuwa ni moja ya fursa za Maendeleo basi nadhani wanaokijua wangekuwa mbali sana.
 
We jamaa hujielewi;
English is not our 1st nor 2nd Language;
so let us speak it with all the imperfections that are there...
as is swahili to you people; not one laughs at your swahili coz sio language yenu.

eg. "ikakunyonga" "nyanyako""pelekea" WTF do those words even mean.
that's f***d up swahili eish.

nyanyako means "your tomato" in swahili fasaha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
KWANI KIINGEREZA NDIO NINI KAMA KIMESHINDWA KUONDOA UKABILA UNAOITAFUNA KENYA? KISWAHILI NDIO LUGHA YA KWETU
Kwani Kiswahili ndio kimeondoa ukabila? Unaweza sema tz ukabila hakuna? Lugha ya kwenu ni mother tongue na sio swahili.
Swahili ni lugha ya nchi.
Kama mnaona Kiingereza sio lugha muhimu, why do you use it as medium of instruction at schools? Why don't you use Swahili. Swahili will remain your traditional language and you can not go with it on international levels to even tell about what you have.
 
Utumwa uliokithiri mwafrika kujisifia kuongea kingereza kuliko kibantu ni kama laana fulani hivi imewakaa. Poor Kenyans
 
Kwani Kiswahili ndio kimeondoa ukabila? Unaweza sema tz ukabila hakuna? Lugha ya kwenu ni mother tongue na sio swahili.
Swahili ni lugha ya nchi.
Kama mnaona Kiingereza sio lugha muhimu, why do you use it as medium of instruction at schools? Why don't you use Swahili. Swahili will remain your traditional language and you can not go with it on international levels to even tell about what you have.
NA KWAMBA HAKUNA ATAKAYETULAUMU KWA KUTOJUA KIINGERZA KWAKUWA WANAJUA KUWA SI LUGHA YETU. TENA TANZANIA UKABILA UPO KWA MAANA YA KWAMBA WATU WANAMAKABILA YAO LAKINI HATUBAGUANI TU. LAKINI KWENU KENYA HATA KIRANJA WA DARASA KATIKA ELIMU YA MSINGI NANCHAGULIWA KWA KABILA LAKE. ANGALIA UCHAGUZI WA MWAKA HUU, WATU WANATANGAZA KUJIHAKIKISHIA USHINDI KUTOKANA NA HESABA ZA MAKABILA YAO. SHAME ON YOU
 
Kwa hili la lugha ya kiingereza, siwezi kataa ati wakenya are not the best in east africa. It is very true that Kenyans are good at communicating in English.

Unapikuwa hujui kitu, admit that you don't know and begin to learn. Apart from that you can remain foolish forever.

Even Nyerere said that Tanzanians should learn English because English is an International Swahili. Sasa kama muasisi wa lugha yenyewe anaona kiingereza ni muhimu, nawashangaa mnaojisifu kwa kutokujua kiingereza.

Unasema kwamba muhimu ni knowledge? How can you transfer knowledge or share what you know if you can not express yourself in proper English?
Dear Tanzanians, it is too late to compare yourself with China, Japan, Russia, Turkey or Korea, ati mbona wanatumia their language and not English!

Just go outside your borders and see the value of your Swahili. I am sure you wont open your brain again in this platform to proud yourself about the same.
We are not denying the use of ENGLISH or its importance;
The little English we know allows us to express ourselves and to strike even good international deals.
So don't flood us with your fluency.
Every country that's not English_dominion have their flaws in the Language.
We have survived the past 56 years after colonization with the broken Swahili and we have managed to develop to a good level and we will survive 56 more at a lightning development speed.
 
Yuko Sizonje yeye hajui Kiswahili, Kiingereza wala Kisukuma yeye yupo yupo tu hata hajulikani kama popo
 
Oh my! Oh my!

Hapa naona Jay ameguza pabaya mno.

Kumbe watanzania hawapendi kuambiwa ati hawajui English!

Yani thread ilifunguliwa saa moja, by saa 9.40 iko na more than 100 comments, na karibu zote bi za watanzania kujitetea ati Kiingereza si lugha yao, ni utumwa.

Kama ni hivyo, mimi kama si mswahili ni sababu gani nijue Kiswahili, manake sio lugha yangu na huenda hiyo pia ikawa ni utumwa wa kimawazo.

Lakn kwa wakenya kujua kingereza hakumanishi wanetelekeza lugha na tamaduni zao za kiafrika. Kizungu ni lugha yetu ya kimasomo na pia ya kutangamana na watu kutoka mataifa ya nje.

Tukiamua sote kujikita kwenye hili lugha moja ya Kiswahili, na wale waafrika wengine kwa luhga zao na kutupilia mbali kizungu ati ni utumwa ( na mwenye maoni kama haya ni mpumbavu balaa), basi ni vipi tutaweza kuwasiliana na watu kutoka mataifa mengine ya kiafrika kama Nigeria, SA, Ghana nk, ukiachilia mbali mataifa ya kizungu?
Tutawezaje kutangamana, kufanya biashara, kujitetea dhidi ya dhulma kutoka mataifa ya nje?

Mchina hajui kiswahili, nami mkenya sijui kichina, lakini.kuna uwezekano mkubwa sana ya kwamba sote tunajua kizungu.

Kwa hivyo, acheni kujidanganya watanzania. Kweli, ni vyema sote kama wana East Afrika kulitukuza lugha ya kiswahili, lakn ukweli ni kwamba bado sana kupata hadhi ya kimataifa.

For the sake of our development, for the sake of trade and political and technological and cultural intercourse with the rest of the world, we need to master at least one of these global languages.
 
hata huyu mtanzania hapa chini hajui kingereza lakini siku si nyingi mtaanza kupanga foleni katika fuel station zake ili mjaze mafuta katika matatu na bodaboda "zenyu".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
d6ae59445c38d2bf4dcb6f120768cb57.jpg
e8b3fb8f7aad1207849a5d8c39fbac8b.jpg
4e4b108df9370961e5f86840088efa06.jpg
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Back
Top Bottom