This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

Watekenywa vya kwao wanavyopenda ni vitatu
1. UKABILA
2. BOKO HARAM
3. NO MORE
 
yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi? washamba wa East Africa
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
soooo stupid
 

hata huyu mtanzania hapa chini hajui kingereza lakini siku si nyingi mtaanza kupanga foleni katika fuel station zake ili mjaze mafuta katika matatu na bodaboda "zenyu".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
d6ae59445c38d2bf4dcb6f120768cb57.jpg
e8b3fb8f7aad1207849a5d8c39fbac8b.jpg
4e4b108df9370961e5f86840088efa06.jpg
 
Du,wa Kenya hili tu ndio linawafanya muwe mwezi,Mara nyingi huwa hamnaga chenu mkono bize kuvitangaza vya watu,sasa hivi utada kiingereza kilianzia kwenu lol wabovu nyie
 
Mimi watu wa Kenya hawaniumizi kichwa kwa sababu wao kujitapa kwa vitu visivyo vyao Ndo zao,walianza Mlima Kilimanjaro upo kwao wakishirikiana na huyo raisi wao uchwara Anae jua kingereza, wakaja kuanza kujitangaza kuwa daraja la Kigamboni lipo kwao, Leo kingereza wanakijua Sanaaaaa wakati sio lugha yao
Kweliiiii wakenya wako nyuma Sana kifikraaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakenya mnapenda league,English ni lugha tu sio measure ya intelligence au maendeleo...sometimes you have to shut your mouth so people wont know your stupidity level. When saying something like this think of China or NK
Watanzania mnapenda ligi, Kiswahili ni lugha tu wala sio measure ya inteligence au maendeleo. Look at yourself and people of your ilk! you also ought to shuuuut uuuup! You'd rather keep mum to conceal your in efficiences than shout to confirm the obvious. Where were you when Geza was trolling Kenyans on how the Chinese swahili speaker was better than all of us. Now that he's been given a taste of his own medicine, you are coming here crying wolf on his behalf. Ya mshale mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchunguuuuu!
 
Kwa hili la lugha ya kiingereza, siwezi kataa ati wakenya are not the best in east africa. It is very true that Kenyans are good at communicating in English.

Unapikuwa hujui kitu, admit that you don't know and begin to learn. Apart from that you can remain foolish forever.

Even Nyerere said that Tanzanians should learn English because English is an International Swahili. Sasa kama muasisi wa lugha yenyewe anaona kiingereza ni muhimu, nawashangaa mnaojisifu kwa kutokujua kiingereza.

Unasema kwamba muhimu ni knowledge? How can you transfer knowledge or share what you know if you can not express yourself in proper English?
Dear Tanzanians, it is too late to compare yourself with China, Japan, Russia, Turkey or Korea, ati mbona wanatumia their language and not English!

Just go outside your borders and see the value of your Swahili. I am sure you wont open your brain again in this platform to proud yourself about the same.
 
Tatizo WABONGO wanakalili kwa nia ya kujibu MITIHANI....
linapokuja swala la mawasiliano MUBASHARA ndio hapo utakapo shangaa MIUJIZA..

unaweza ukashangaa hata profesa anapatwa na KIGUGUMIZI......
Ajabu nyingine ni mtu huyohuyo akinywa BIA mbili tu anazungumza lugha hiyo as if ni lugha yake halisi...!!
 
Hata hapa Tz Street kids wanaongea kiswahili kizuri kushinda walioko ikulu ya Nbi + wagombea wote wa uraisi mwezi August Kenya, rudisha uelewa wako kuwa lugha ni mazingira na si big deal unavyotaka ionekane!
 
English ni lugha tu kama lugha zingne, hutakiwi kujua kiingereza ili kufanikiwa, kuna jamaa anajua lugha 15 lakini ameishia kuwa mkalimani wa tajiri mmoja hivi. So watch it with your good English
 
Back
Top Bottom