This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

Ushamba upi? Huyo ndogo hana ufasaha wa lugha hiyo maneno mengine hayasikiki na kama wewe uko hivyo. Bila shaka hii lugha ya utumwa wa kikoloni imekumbwa na majanga
wewe waweza hata kuzungumza sentnsi moja? yaani mtoto wa class 2 wa kwetu anamshinda mpaka mtoto wa form 2 wa tz
 
Hata chumba cha kuishi hawana wanakaa kwa mama zao ...
ina maana wewe ndio huwa unawalipia rent huko wanakokaa kwa mama zao..usifikiri tunazungumzia shilingi za tanzania ambazo ni kama pesa za zimbabwe
emoji28.png
emoji28.png
 
wewe waweza hata kuzungumza sentnsi moja? yaani mtoto wa class 2 wa kwetu anamshinda mpaka mtoto wa form 2 wa tz
Bado kujua kiingereza sio jambo la kujivunia maana kiingereza sio lugha yenu,ni lugha ya waingereza kwa kukomalia kiingereza mnamsaidia mwingereza kueneza utamaduni wake na kuonekana nyinyi ni watumwa kifikra.

Angalia wachina kama wanahangaika na lugha ya mtu kabla ya kuhangaika na lugha yao?

Waafrika tuna tabu sana.
 
Bado kujua kiingereza sio jambo la kujivunia maana kiingereza sio lugha yenu,ni lugha ya waingereza kwa kukomalia kiingereza mnamsaidia mwingereza kueneza utamaduni wake na kuonekana nyinyi ni watumwa kifikra.

Angalia wachina kama wanahangaika na lugha ya mtu kabla ya kuhangaika na lugha yao?

Waafrika tuna tabu sana.
kamwulize nyanyako
 
ina maana wewe ndio huwa unawalipia rent huko wanakokaa kwa mama zao..usifikiri tunaongelea shilingi za tanzania
emoji28.png
emoji28.png
Huddah huwachana live. Huyo Jaguar juzi kuchukua mkopo kugombea Ubunge starehe kashindwa akaanza kulia kwa machungu akifikiria jinsi gani atalipa deni.
 
Bado kujua kiingereza sio jambo la kujivunia maana kiingereza sio lugha yenu,ni lugha ya waingereza kwa kukomalia kiingereza mnamsaidia mwingereza kueneza utamaduni wake na kuonekana nyinyi ni watumwa kifikra.

Angalia wachina kama wanahangaika na lugha ya mtu kabla ya kuhangaika na lugha yao?

Waafrika tuna tabu sana.
Waafrika wana giza sana. Bado ukoloni mamboleo unaendelea
 
Lugha yetu ya taifa na ya ofisi ni kiswahili, English ni second language or may be third lg to some people, by the way napenda English accent yetu watanzania sio ya kenya Accent yenye vernacularz.
 
wewe waweza hata kuzungumza sentnsi moja? yaani mtoto wa class 2 wa kwetu anamshinda mpaka mtoto wa form 2 wa tz
Sasa kama siwezi kuzungumza. Iliwezekana vipi kugundua mapungufu ya huyo dogo?
 
yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi? washamba wa East Africa
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
Hiyo ni lugha tu, watoto wa standard 2 uingereza wanaongea kiingereza ambacho maprof. wa Kenyata university hawataweza kuelewa bila mkalimani.
 
Unajivunia "KIINGELEZA"!!!? sio KIKENYA wala KIAFRIKA... wewe umetawaliwa kwa kila kitu,Sioni umuhimu wa miezi 9 yako mimbani,so

Pole sana,sidhani kama KIINGELEZA chako kinakufanya uonekane bora UINGELEZA,zaidi ya unaonekana mfano bora wa WASIOJITAMBUA

Punguza SIFA
 
Kweli wabantu tumeshikwa pabaya sana.. Kutwa kushinda kwenye mitandao kusifia lugha za watu wengine.. Nadhani huko Urusi. ..ujapani .uchina.....ambako Kiingereza sio dili watakuwa mazuzu sana..
 
Tukubali yaishe tu huyu street boy kamkalisha Magu kwenye kutema kohozi la malkia.
 
Wakenya mafala sana,nilikutana na demu wa kenya mwanza,hatonisahau kwa nilivyomfanya mpk kinyesi kilimtoka
 
- Ni kweli dogo anaongea kiingereza vizuri kuliko baadhi ya watanzania.
- Ni kweli (ingawa hutaki kusema) kuwa huyo dogo anaongea kiingereza vizuri kuliko baadhi ya wakenya waliopata opportunity ya kwenda shule. Hata lafudhi yake ni better kuliko baadhi ya 'wasomi' wa Kenya
-Si kweli kwamba anazidi watanzania wote.
- Hilo la kumzidi Magufuli, "I comment my reserve"[sic] 😀😀😀
 
Back
Top Bottom