Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
What do the simple minds discuss? People
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni aibu kuona nyani anacheka kundule la mwenzakepunguza povu isije ikakunyonga....ama pelekea nyanyako ule mashambani LDC...
Oya na ww pia ni haga sanaWakenya mnapenda league,English ni lugha tu sio measure ya intelligence au maendeleo...sometimes you have to shut your mouth so people wont know your stupidity level. When saying something like this think of China or NK
acha ushamba, acha kutukuza vya wageni na kudharau tamaduni zako nzuri, mkataa kwake ni mtumwa! WATANZANIA NI WASWAHILI NA TUNAZUNGUMZA KISWAHILI KWA UFASAHA!Hahah ngoja nilete clips za wale wanasiasa wenyu na Kiingereza Chao kibovu
hatujui kiingereza ila mengine yote tuko fiti.yaani mnamwaga povu kwel kwel...yaani yule ni chkora ana koroga Kiingereza utafikiri amesoma mpaka chuo kikuu kule Uingereza...lakini njoo kwa mtanzania ndio utaona mazingaombwe....hata sentensi moja tu taabu...![]()
hata rais mwenyewe nilishtuka jamaa haelewi...hivi niwaulize mnafunzwa Kemia yaani Chemistry na lugha ipi? washamba wa East Africa![]()
![]()
![]()
![]()
punguza povu isije ikakunyonga....ama pelekea nyanyako ule mashambani LDC...
Hahah ngoja nilete clips za wale wanasiasa wenyu na Kiingereza Chao kibovu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Hamjui Kiingereza wala Kiswahili
Platnumz is selfmade bruv, from the slums...unamtambua Jaguar na Prezzo ama unaropokwa tu hapa...yaani Platnumz ni kama chokora tu kwa hawa majamaa
punguza povu isije ikakunyonga....ama pelekea nyanyako ule mashambani LDC...
Kwa mawazo yako cyo yetuWatanzania sisi ni wanafika sana...ukisema leo kuna course ya Kifrance inatolewa bure utaona foleni ya watu wanavyojiandikisha kwenda kusoma!
Kiingereza muhimu kujua kwa taaifa linaloendekea kama Tz kwani mifumo mingi inatumia kiingereza kwahiyo tusiwe wepesi kukataa kiingereza Rais
wangu nampenda sana coz anaendelea kutufuta machozi sisi watanzania,Magu piga kazi whether kiingereza or not u deserve to be president of our Nation!