Uandishi wa habari ni professional, yenye misingi ya professionalism yake, msingi mkuu ni "tell nothing but the truth" with truthfulness, objectivity, impartiality and balance, hakuna uthibitisho wowote wa uhusika wake kwenye hayo. Waandishi ni kama police investigators, hatufanyi kazi kwa hisia, bali on facts and evidence, if you have facts and evidence za uhusika wake, bring them up, tutaandika.
P
Ushahidi wa kimazingira, yaani circumstantial evidence, hutumika tuu kama a lead, towards the real evidence, na kwa sisi waandishi wa habari, circumstantial evidence hutumika tuu kama tip ya kufanyia IJ (investigation journalism).
Ushahidi wa circumstantial evidence, hauwezi kusimama wenyewe kama ushahidi, bila kuwa collaborated na any real evidence ya ushahidi usiotia shaka.
Ndio maana katika shambulio la Lissu, kwasababu kuna mtu alisikika akisema vita vya kiuchumi ni mbaya kuliko vita vya silaha kwasababu adui yako humuoni, kisha akasema kuhusu wasaliti vitani huwa wanafanywa nini, akamsema mtu fulani kuwa ni msaliti, simu yake tume I trap, kila siku anauliza mara hili mara lile, na kusema " mtu kama huyu, hawezi kuachiwa akasurvive tuu hivi hivi". Baada ya kauli hiyo, ndipo Lissu akashambuliwa. Hivyo nikashauri uchaguzi uanzie kwa mtu aliyetoa kauli hiyo.
Ndio maana kuna mahali nimemhoji mzee mwenzangu Pascal Mayalla siku hizi amepatwa na nini?
Wakati ule wa hatari alikuwa moto sana, lakini sasa pamoja na mazingira kuwa mepesi kidogo kila upande(maana hata mzee wa Kibaigwa hatujui hata alipo) kapoa na hasemi kweli tena jee ni uzee au ukada?
Ushahidi wa kimazingira, yaani circumstantial evidence, hutumika tuu kama a lead, towards the real evidence, na kwa sisi waandishi wa habari, circumstantial evidence hutumika tuu kama tip ya kufanyia IJ (investigation journalism).
Ushahidi wa circumstantial evidence, hauwezi kusimama wenyewe kama ushahidi, bila kuwa collaborated na any real evidence ya ushahidi usiotia shaka.
Ndio maana katika shambulio la Lissu, kwasababu kuna mtu alisikika akisema vita vya kiuchumi ni mbaya kuliko vita vya silaha kwasababu adui yako humuoni, kisha akasema kuhusu wasaliti vitani huwa wanafanywa nini, akamsema mtu fulani kuwa ni msaliti, simu yake tume I trap, kila siku anauliza mara hili mara lile, na kusema " mtu kama huyu, hawezi kuachiwa akasurvive tuu hivi hivi". Baada ya kauli hiyo, ndipo Lissu akashambuliwa. Hivyo nikashauri uchaguzi uanzie kwa mtu aliyetoa kauli hiyo.
Uandishi wa habari ni professional, yenye misingi ya professionalism yake, msingi mkuu ni "tell nothing but the truth" with truthfulness, objectivity, impartiality and balance, hakuna uthibitisho wowote wa uhusika wake kwenye hayo. Waandishi ni kama police investigators, hatufanyi kazi kwa hisia, bali on facts and evidence, if you have facts and evidence za uhusika wake, bring them up, tutaandika.
P
Bro, please do not mention prifessionalism and police investigators in the same sentence. How is having a theory and pick facts to support it professional? Professionalism is getting all facts and considering ONLY those that BUILD a theory!
Unprofessional police investigators are the reason why our prisons are full of brothers and sisters serving times for petty crimes!! Kuiba kuku, kupigana, kunywa gongo, kuvuta bangi. They simply cannot investigate white-colar crimes!!!! Even when investigation petty crimes - they break codes and rights as they go, UNWITTINGLY!!
Uandishi wa habari ni professional, yenye misingi ya professionalism yake, msingi mkuu ni "tell nothing but the truth" with truthfulness, objectivity, impartiality and balance, hakuna uthibitisho wowote wa uhusika wake kwenye hayo. Waandishi ni kama police investigators, hatufanyi kazi kwa hisia, bali on facts and evidence, if you have facts and evidence za uhusika wake, bring them up, tutaandika.
P
Bro, please do not mention prifessionalism and police investigators in the same sentence. How is having a theory and pick facts to support it professional? Professionalism is getting all facts and considering ONLY those that BUILD a theory!
Unprofessional police investigators are the reason why our prisons are full of brothers and sisters serving times for petty crimes!! Kuiba kuku, kupigana, kunywa gongo, kuvuta bangi. They simply cannot investigate white-colar crimes!!!! Even when investigating petty crimes - they break codes and rights as they go, UNWITTINGLY!!
“Heshima iliyokuzwa ni ya woga
heshima inayotakiwa iwe ya moyoni.
---
Kumbe zile sifa za ooo nchi imerudisha heshima kwenye sehemu za kazi ilikuwa ni nidhamu ya uoga tu.
Magufuli alikuwa anawatishia watu na wakawa wanaonyesha heshima ya uoga.
Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", zikijikita kwenye uzalendo Kwa taifa Letu huku nikisisitiza ukweli na uwazi, ( truthfulness and transparency)
ukiwa mkweli na muwazi,
, ukweli utakuweka huru!. Hili ni swali, "Jee hizi terorizing ziara za kushtukiza, hakutajenga nidhamu ya woga?!. Jee, kutasaidia?!.
Hivyo hili la nidhamu ya woga lilikuwepo sana kwa JPM, lakini twende nyuma na kurudi mbele,
Kwa hali hii, mfano Mama naye ni binadamu, anaweza kukosea, jee akikosea kibinaadamu, kuna kiongozi yoyote ndani ya serikali anaweza kum correct, au kuna any main stream media that would dare criticize or correct her, or the epitome of cowardice inaendelea?!.
Nasisitiza Mama naye she is a human being, anahitaji kusapotiwa, kusaidiwa, kushauriwa, na akikosea akosolewe kistaarabu kwa lugha ya heshima na staha huku akishauriwa the right thing to do, ushauri wangu wa kwanza, ni Tanzania tunaweza kabisa kusonga mbele na kufanya mazuri bila kunyoosheana vidole and calling names kama "Simba wa Yuda".
Nashauri tufanye tuu mambo tofauti bila kumtaja taja Kwa ubaya!
Aachwe Apumzike!.
Wanabodi, Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", zikijikita kwenye uzalendo Kwa taifa Letu huku nikisisitiza ukweli na uwazi, ( truthfulness and transparency) ukiwa mkweli na muwazi, , ukweli utakuweka huru!. Hili ni swali, "Jee hizi terorizing ziara za kushtukiza, hakutajenga...
www.jamiiforums.com
Kwa wavivu wa kufollow links, hapo niliuliza
Hatukuishia Kwa Number 1 tuu,
ila pia niliendesha somo humu namna ya kutofautisha kuongea Kwa ukali na kufoka foka
Wanabodi Declaration of Interest. Mimi Paskali Mayalla, au kwa jina maarufu humu, Pasco wa JF ni Musukuma wa Mujini, aliyezaliwa mujini, kukulia mujini, kusomea mujini na kuishi mujini, ila nature ni ili ile ya Wasukuma, roho nzuri, kupenda sana, ukarimu mwingi, kujituma sana, uchapakazi...
www.jamiiforums.com
hata number 3, yule Kiranja Mkuu wa viranja pia tuliwahi kumshauri
Wanabodi, Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kassim Majaliwa, sio!. Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomng'oa...
www.jamiiforums.com
Hata baadhi ya Mawaziri walipokosa utu, akina sisi tuliwasema...
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali lilioandama na pongezi kwa viongozi wa awamu ya tano ya " Hapa Kazi Tuu" kwa kuchapa kazi kweli. Kiukweli kabisa hiki kikosi kazi cha serikali hii ya awamu ya 5 chini ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kinachapa kazi, kinafanya kazi nzuri, ya kutuletea...
www.jamiiforums.com
Na hatukuishia viongozi wakuu na Mawaziri pekee, hata ma RC tuliwamulika
Wanabodi, Tangu baada ya Nyerere, na mtindo ule wa vitendo bila kuchelewa na utoaji wa maamuzi magumu, Watanzania walimisi sana maamuzi ya aina hii kwenye utawala wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete, hivyo sasa wanashangilia sana kila maamuzi ya utumbuaji wa majipu wa papo kwa papo ya rais wetu, Dr...
Wanabodi, Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili. Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako...
www.jamiiforums.com
Hivyo hili la nidhamu ya woga lilikuwepo sana kwa JPM, lakini twende nyuma na kurudi mbele,
Kwa hali hii, mfano Mama naye ni binadamu, anaweza kukosea, jee akikosea kibinaadamu, kuna kiongozi yoyote ndani ya serikali anaweza kum correct, au kuna any main stream media that would dare criticize or correct her, or the epitome of cowardice inaendelea?!.
Nasisitiza Mama naye she is a human being, anahitaji kusapotiwa, kusaidiwa, kushauriwa, na akikosea akosolewe kistaarabu kwa lugha ya heshima na staha huku akishauriwa the right thing to do, ushauri wangu wa kwanza, ni Tanzania tunaweza kabisa kusonga mbele na kufanya mazuri bila kunyoosheana vidole and calling names kama "Simba wa Yuda".
Nashauri tufanye tuu mambo tofauti bila kumtaja taja Kwa ubaya!
Aachwe Apumzike!.
Wanabodi,
Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.
Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a psychopath or a sadist!.
Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza to take its toll kwa ma psychopath kama hawa kwa kumshungulikia, mkumbuke kuna watu humu tulisema kabla.
Psychoanalysis ya ma psychopath, na ma sadist, kwa kadri anavyofanya sadism na kuachwa, ndivyo blood thirsty inavyozidi, hivyo atafanya tukio kubwa zaidi na zaidi ndipo watu watashituka!.
Leo hii ni mkuu wako wa mkoa na itabidi uombe appointment ili uweze kumuona, wenzako wanacheza na sera za mkuu alie pale juu, magufuli vibaka walifuatwa usiku kimya kimya na kumalizwa hakua na muda wa kesi kesi na ndio hata chalamila akakazia hapo, leo naona jamaa ni political genius,
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a psychopath or a sadist!.
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi, hivyo nina amini kabisa alipoteuliwa, mteuzi hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.
Watu wanashangaa tukio la Gekul kwasababu mtuhumiwa lived to tell, ndio Rais Samia akashtuka na kuchukua hatua. Ma psychopath kama hawa wako wengi, mhanga wa tukio hili was not fortunate enough to live to tell!.
P
Watu wanashangaa tukio la Gekul kwasababu mtuhumiwa lived to tell, ndio Rais Samia akashtuka na kuchukua hatua. Ma psychopath kama hawa wako wengi, mhanga wa tukio hili was not fortunate enough to live to tell!.
P
Enzi za Magufuli wilaya moja kulikua na wizi wa engine za boti kilicho fanyika wezi/ majambazi wotee na umma kwa ujumla kutangaziwa kuacha Mara moja kujihusisha na uharamia huo..
Aftermath,
Walio Endelea na uharamia huo ilikua ni zawadi ya kifo TU ndipo wizi wa aina hiyo ukakoma ZIWA Victoria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.