Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Bwana yule alikuwa akiwapenda "watu kama yeye!!"Mkuu Pascal Mayalla huyu Mtu hajaanza leo na kauli zake za ajabu ajabu..
Mimi wanaonishangaza ni hao Wanaccm wanaomshangilia kwa vigelegele.
Mwenyekiti wao alishawahi kutoa kauli "Wafungwa wafanyishwe kazi ikibidi wapigwe na Mateke "
Huyu anaendeleza tu.
Uandishi wa habari ni professional, yenye misingi ya professionalism yake, msingi mkuu ni "tell nothing but the truth" with truthfulness, objectivity, impartiality and balance, hakuna uthibitisho wowote wa uhusika wake kwenye hayo. Waandishi ni kama police investigators, hatufanyi kazi kwa hisia, bali on facts and evidence, if you have facts and evidence za uhusika wake, bring them up, tutaandika.
P
Ushahidi wa kimazingira, yaani circumstantial evidence, hutumika tuu kama a lead, towards the real evidence, na kwa sisi waandishi wa habari, circumstantial evidence hutumika tuu kama tip ya kufanyia IJ (investigation journalism).Ushahidi wa kimazingira huwa unakuwaje?
Mkuu Ralph Tyler , kiukweli watu wenye uwezo wa to read in between the lines humu ndani ni wachache, hivyo wewe ni one among the few, hongera. Nimeposti vitu vingi tuu vikubwa na kiukweli vimesaidia Sana. Mfano mzuri ni hoja za kwenye uzi huu wa 2014 Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli hivyo Ile 2015 ilipokuja kutokea kweli, nikasema humu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!Kama ulithubutu kuposti hii wakati ule akiwa kwenye peak hakika unatisha Pascal Mayalla
Ndio maana kuna mahali nimemhoji mzee mwenzangu Pascal Mayalla siku hizi amepatwa na nini?Kama ulithubutu kuposti hii wakati ule akiwa kwenye peak hakika unatisha Pascal Mayalla
Hii kazi uliyokuwa umewatwisha wanahabari wenzako ya 'kuwabaini wasiojulikana' ilikuwa ni kuwachonganisha na ule mhimili mkubwa.Ushahidi wa kimazingira, yaani circumstantial evidence, hutumika tuu kama a lead, towards the real evidence, na kwa sisi waandishi wa habari, circumstantial evidence hutumika tuu kama tip ya kufanyia IJ (investigation journalism).
Ushahidi wa circumstantial evidence, hauwezi kusimama wenyewe kama ushahidi, bila kuwa collaborated na any real evidence ya ushahidi usiotia shaka.
Ndio maana katika shambulio la Lissu, kwasababu kuna mtu alisikika akisema vita vya kiuchumi ni mbaya kuliko vita vya silaha kwasababu adui yako humuoni, kisha akasema kuhusu wasaliti vitani huwa wanafanywa nini, akamsema mtu fulani kuwa ni msaliti, simu yake tume I trap, kila siku anauliza mara hili mara lile, na kusema " mtu kama huyu, hawezi kuachiwa akasurvive tuu hivi hivi". Baada ya kauli hiyo, ndipo Lissu akashambuliwa. Hivyo nikashauri uchaguzi uanzie kwa mtu aliyetoa kauli hiyo.
Kwa vile kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mhimili, CinC, who would dare interrogate him?, hakuna, but the press is the 4th Protocol, we can!, hivyo kwanza nikaeleza humu kuwa sisi Press tunaweza kuwabaini hao wasiojulikana Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Kisha nikasema, kama serikali imeshindwa kuwabaini wasiojulikana iseme imeshindwa na kuomba msaada isaidiwe.. WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
P
Uandishi wa habari ni professional, yenye misingi ya professionalism yake, msingi mkuu ni "tell nothing but the truth" with truthfulness, objectivity, impartiality and balance, hakuna uthibitisho wowote wa uhusika wake kwenye hayo. Waandishi ni kama police investigators, hatufanyi kazi kwa hisia, bali on facts and evidence, if you have facts and evidence za uhusika wake, bring them up, tutaandika.
P
Uandishi wa habari ni professional, yenye misingi ya professionalism yake, msingi mkuu ni "tell nothing but the truth" with truthfulness, objectivity, impartiality and balance, hakuna uthibitisho wowote wa uhusika wake kwenye hayo. Waandishi ni kama police investigators, hatufanyi kazi kwa hisia, bali on facts and evidence, if you have facts and evidence za uhusika wake, bring them up, tutaandika.
P
Mkuu Mmawia , asante kwa hoja hii ya nidhamu ya woga.“Heshima iliyokuzwa ni ya woga
heshima inayotakiwa iwe ya moyoni.
---
Kumbe zile sifa za ooo nchi imerudisha heshima kwenye sehemu za kazi ilikuwa ni nidhamu ya uoga tu.
Magufuli alikuwa anawatishia watu na wakawa wanaonyesha heshima ya uoga.
Hatukuishia Kwa Number 1 tuu,Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", zikijikita kwenye uzalendo Kwa taifa Letu huku nikisisitiza ukweli na uwazi, ( truthfulness and transparency)
ukiwa mkweli na muwazi,
, ukweli utakuweka huru!. Hili ni swali, "Jee hizi terorizing ziara za kushtukiza, hakutajenga nidhamu ya woga?!. Jee, kutasaidia?!.
Paskali
Pascally umeeleweka sana ila sema tu wana jf tulio wengi mara nyingi mazoea ndiyo huwa yanatugharimu sana lkn ukweli huwa unausema.Mkuu Mmawia , asante kwa hoja hii ya nidhamu ya woga.
Kuna watu humu hili la nidhamu ya woga ndio wamelijua Leo baada ya kusemwa na Mama Samia.
If you have time, angalia tarehe ya bandiko hili na hoja yake muone sisi wengine tulilisema lini.
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!.
Wanabodi, Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", zikijikita kwenye uzalendo Kwa taifa Letu huku nikisisitiza ukweli na uwazi, ( truthfulness and transparency) ukiwa mkweli na muwazi, , ukweli utakuweka huru!. Hili ni swali, "Jee hizi terorizing ziara za kushtukiza, hakutajenga...www.jamiiforums.com
Kwa wavivu wa kufollow links, hapo niliuliza
Hatukuishia Kwa Number 1 tuu,
ila pia niliendesha somo humu namna ya kutofautisha kuongea Kwa ukali na kufoka foka
Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni asili tuu ya wasukuma, sio udikteta!
Wanabodi Declaration of Interest. Mimi Paskali Mayalla, au kwa jina maarufu humu, Pasco wa JF ni Musukuma wa Mujini, aliyezaliwa mujini, kukulia mujini, kusomea mujini na kuishi mujini, ila nature ni ili ile ya Wasukuma, roho nzuri, kupenda sana, ukarimu mwingi, kujituma sana, uchapakazi...www.jamiiforums.com
hata number 3, yule Kiranja Mkuu wa viranja pia tuliwahi kumshauri
Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!
Wanabodi, Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kassim Majaliwa, sio!. Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomng'oa...www.jamiiforums.com
Hata baadhi ya Mawaziri walipokosa utu, akina sisi tuliwasema...
Awamu ya tano: Kuweni Wakali, msionee! Tangulizeni utu na ubinaadamu kwanza!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali lilioandama na pongezi kwa viongozi wa awamu ya tano ya " Hapa Kazi Tuu" kwa kuchapa kazi kweli. Kiukweli kabisa hiki kikosi kazi cha serikali hii ya awamu ya 5 chini ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kinachapa kazi, kinafanya kazi nzuri, ya kutuletea...www.jamiiforums.com
Na hatukuishia viongozi wakuu na Mawaziri pekee, hata ma RC tuliwamulika
Wito: Magesa Mulongo afukuzwe Kazi kwa Bullying. Dr. Faisal was acting under Provocation!
Wanabodi, Tangu baada ya Nyerere, na mtindo ule wa vitendo bila kuchelewa na utoaji wa maamuzi magumu, Watanzania walimisi sana maamuzi ya aina hii kwenye utawala wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete, hivyo sasa wanashangilia sana kila maamuzi ya utumbuaji wa majipu wa papo kwa papo ya rais wetu, Dr...www.jamiiforums.com
Huyu pia
This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?
Wanabodi, Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili. Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako...www.jamiiforums.com
Hivyo hili la nidhamu ya woga lilikuwepo sana kwa JPM, lakini twende nyuma na kurudi mbele,
Kwa hali hii, mfano Mama naye ni binadamu, anaweza kukosea, jee akikosea kibinaadamu, kuna kiongozi yoyote ndani ya serikali anaweza kum correct, au kuna any main stream media that would dare criticize or correct her, or the epitome of cowardice inaendelea?!.
Nasisitiza Mama naye she is a human being, anahitaji kusapotiwa, kusaidiwa, kushauriwa, na akikosea akosolewe kistaarabu kwa lugha ya heshima na staha huku akishauriwa the right thing to do, ushauri wangu wa kwanza, ni Tanzania tunaweza kabisa kusonga mbele na kufanya mazuri bila kunyoosheana vidole and calling names kama "Simba wa Yuda".
Nashauri tufanye tuu mambo tofauti bila kumtaja taja Kwa ubaya!
Aachwe Apumzike!.
Jumapili Njema
Paskali.
Wanabodi,
Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.
Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a psychopath or a sadist!.
Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza to take its toll kwa ma psychopath kama hawa kwa kumshungulikia, mkumbuke kuna watu humu tulisema kabla.
Psychoanalysis ya ma psychopath, na ma sadist, kwa kadri anavyofanya sadism na kuachwa, ndivyo blood thirsty inavyozidi, hivyo atafanya tukio kubwa zaidi na zaidi ndipo watu watashituka!.
It's only a matter of time.
Paskali
Duh...!.
Mimi ni mwanahabari wa IJ, sijawatwishwa wanahabari wenzangu wowote, but it's a collective responsibility ya sisi media, mimi nikiwa inclusive.Hii kazi uliyokuwa umewatwisha wanahabari wenzako ya 'kuwabaini wasiojulikana' ilikuwa ni kuwachonganisha na ule mhimili mkubwa.
...Sio poa kabisa....
Watu wanashangaa tukio la Gekul kwasababu mtuhumiwa lived to tell, ndio Rais Samia akashtuka na kuchukua hatua. Ma psychopath kama hawa wako wengi, mhanga wa tukio hili was not fortunate enough to live to tell!.Wanabodi,
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a psychopath or a sadist!.
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi, hivyo nina amini kabisa alipoteuliwa, mteuzi hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.
Paskali
Inasikitisha sanaWatu wanashangaa tukio la Gekul kwasababu mtuhumiwa lived to tell, ndio Rais Samia akashtuka na kuchukua hatua. Ma psychopath kama hawa wako wengi, mhanga wa tukio hili was not fortunate enough to live to tell!.
P
Viongozi my psychopath, wapo!, wengine ndio hawa wanaibuliwa sasa, na watu hawaamini!.Inasikitisha sana