This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hii style ilianzia juu ndio mana muanzilishi kauchuna tu, huko chini ni muendelezo tu kwa hisani ya mteuaji
 
Huo ni muendelezo wa style iliyoanzia juu,nyoka uzaa nyoka.Hawa huwa awatumbuliwi kwani umkuna mkunaji.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-08-29-19-02-06.png
    Screenshot_2019-08-29-19-02-06.png
    286.6 KB · Views: 11
This Guy is Sadistic,

Lakini sishangai kwani Ukisikia hotuba za viongozi wetu utagudua kuwa Uongozi mzima wa Tanzania, kuanzia Raisi ni Sadist..

SADIST ni watu wanaopenda maumivu, watu wanaoona maovu ni kitu cha kawaida, wakiona mtu kafanyiwa maovu wao hufurahia, Akili zao zinaamini Maumivu ndio RAHA kwao..

Inashangaza kuwa Bunge la nchi hii mpaka leo wanarumbana kuhusu watoto wachapwe au wasichapwe viboko Mashuleni!!!, Wanaamini vitisho ndio maendeleo ya mtoto..

Hapa ndio utajua Watanzania WANAONGOZWA na watu wa aina gani..

Mungu ibariki Tanzania
 
Wataalamu wa akili wakimchunguza vizuri huyo Chalamila watabaini ana Post traumatic stress disorder (PTSD).

Si mara yake ya kwanza kuropoka "maneno ya uchungu".....

He is sick!
 
This Guy is Sadistic,

Lakini sishangai kwani Ukisikia hotuba za viongozi wetu utagudua kuwa Uongozi mzima wa Tanzania, kuanzia Raisi ni Sadist..

SADIST ni watu wanaopenda maumivu, watu wanaoona maovu ni kitu cha kawaida, wakiona mtu kafanyiwa maovu wao hufurahia, Akili zao zinaamini Maumivu ndio RAHA kwao..

Inashangaza kuwa Bunge la nchi hii mpaka leo wanarumbana kuhusu watoto wachapwe au wasichapwe viboko Mashuleni!!!, Wanaamini vitisho ndio maendeleo ya mtoto..

Hapa ndio utajua Watanzania WANAONGOZWA na watu wa aina gani..

Mungu ibariki Tanzania
Kwa nchi za wenzetu, na hata kwenye nchi yetu endapo sheria zingefuatwa inavyopaswa, Rais akionesha mental instability au ugonjwa wa akili kama sadism, anaondolewa madarakani ili kuepusha nchi kuendeshwa na mwendawazimu!

Sadism ni ugonjwa mbaya sana ndio maana si ajabu ananyima watu ajira, anawafukuza makazini, anawafunga, na kutoa matamko yanayoashiria ana uchungu moyoni.

Mtu huanza kujichukia na kujiumiza yeye mwenyewe kabla hajawachukia na kuwaumiza wengine!

He has nightmares, na wakimchunguza vizuri watabaini ana historia ya kutaka kujinyonga au huwa anatamani kujinyonga.

Ndio maana amejaa mihasira na maneno ya maumivu!
 
Niliipenda hii
The Cumulative number of errors lead to Mistake
Numerous mistakes happened henceforth Blunders
A panel of Blunders ndio inawaleta Vimeo na Mafamba ambao wengi wapo kwenye kundi hilo ambapo hata wasipojisema ila utawajua tu
 
Acha ujinga, sasa mfungwa kulala siku nzima unaona sawa, yaani afanye uhalifu halafu kodi zetu zimlishe, duniani kote wafungwa hufsnyishwa kazi sana tu, wengine mnawaona wanatujengea mabrabara
Wewe unajua sheria za nacho zote dunia na majimbo?! Wacha kujenga hoja kwa hisia!
Well, embu nitajie nchi tatu za Western Europe zinazotumia wafungwa kwenye kuongeza pato?
 
Hukuelewa Chochote,labda wewe ni mke wa Chalamila ama mwanaye...kauli ya kuua mtuhumiwa ikichukuliwa serious nawe siku moja utajikuta ahera kwa kosa ambalo kama sheria ingefuatwa ungepaswa kulipa fine isiyozidi shilingi elfu moja!

Lengo La kuzuia watu kuuwa lilikuwa kupunguza kuuwawa Kwa wasio na hatia,tumeshuhudiwa waliouwa hali si vibaka wala wezi wapo waliokuwa wakifanya jogging alfajiri wakaunganishwa wakauwa,wapo waliofumania wapenzi wao vyuoni,majumbani kujihami wakaitiwa mwizi na wapenzi wao wakauwawa ,wapi waliokwenda fatilia madeni yao wakaitwa mwizi wakauwawa.Hivi huyu Mzee wa kuhonga michepuko naye ni kiongozi kweli?. Nchi za nje wenzetu wanatuona vipi INA maana tumekosa watu wa maana hadi tunaokota watu wasiofaa.Uwezo wa kufikiri wa mtu upimwa kwa kimtokacho mtu.Mtu aliyeelimika hawezi sema maneno hayo na dunia ikisikia.Ila nyoka huzaa nyoka yalianzia Kwa baba yao.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-08-29-19-02-06.png
    Screenshot_2019-08-29-19-02-06.png
    286.6 KB · Views: 14
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.

Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.
Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa
Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.
Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.
Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.
Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.
P

Tumekuwa tukisikia mwizi akiiba akipigwa na kuuwawa na wananchi wenye hasira kali jeshi la polisi linatoa onyo kuwa si vyema kujichukulia sheria mkononi.
Je, kwa kauli ya huyo kiongozi kusema kwamba alitimiza ombi la tatu kwa mwizi aliyeingia nyumbani kwake polisi hawaoni kwamba alijichukulia sheria mkononi hivyo anafaa kuwa chini ya ulinzi?
Kama ni ushahidi katoa yeye mwenyewe bila kuuliza na ameamua kujishitaki.
Kitu nilichogundua huyu kiongozi aliua lakini marehemu alikufa na akili yake(alibadilishana akili na marehemu aliyekuwa mwizi)
 
Mpuuzi kama huyo hajajiweka kwenye hiyo ofisi, aliyemkabidhi hiyo ofisi ndio wa kulaumiwa. Mbona hatujawahi kua na wapuuzi kama hawa katika awamu zingine zilizopita??? Jaribu kufikiri mpuuzi kama huyo eti anateuliwa na Mkapa kua hata mpishi, haiwezekani!
 
Huyu sijui alipatikana vipi aiseee.. Katibu Mkuu wetu CCM, alisema anatakiwa kwenda shule, yaani atolewe uongozini, alafu aende shule huyu.. Hafai kabisa, anamharibia sana Mkuu wa nchi.. Ni aibu kubwa
 
MTU chapombe amkumbuki hata mama yake atakuwa vipi na Upendo wa kuwajali na kuwathamini wengine, Asili asili
 
Ila humu kuna wanafiki sana leo hii unafurahia wezi waendelee kutuibia ha ha ha ha watanzania kwa unafiki siwawezi
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P

Poti kuna siku zingine unaweka bandiko lililotulia.
 
Hukuelewa Chochote,labda wewe ni mke wa Chalamila ama mwanaye...kauli ya kuua mtuhumiwa ikichukuliwa serious nawe siku moja utajikuta ahera kwa kosa ambalo kama sheria ingefuatwa ungepaswa kulipa fine isiyozidi shilingi elfu moja!
yani uje kuniibia nikukute ndani then unipe buku nikusamehe are you serious
 
Back
Top Bottom