Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I meant Loyal..... all in all I do not care about kibibi faiza!Edit this boss..royal= Loyal...bibi faiza asije akakuuliza lile swali lake..😀😀
Kathibitisha kwamba katibu mkuu alikuwa sahihi kusema wanatakiwa warudi vyuo wakasome namna ya kuongoza.
Cc Unforgetable
Kwa nchi za wenzetu, na hata kwenye nchi yetu endapo sheria zingefuatwa inavyopaswa, Rais akionesha mental instability au ugonjwa wa akili kama sadism, anaondolewa madarakani ili kuepusha nchi kuendeshwa na mwendawazimu!This Guy is Sadistic,
Lakini sishangai kwani Ukisikia hotuba za viongozi wetu utagudua kuwa Uongozi mzima wa Tanzania, kuanzia Raisi ni Sadist..
SADIST ni watu wanaopenda maumivu, watu wanaoona maovu ni kitu cha kawaida, wakiona mtu kafanyiwa maovu wao hufurahia, Akili zao zinaamini Maumivu ndio RAHA kwao..
Inashangaza kuwa Bunge la nchi hii mpaka leo wanarumbana kuhusu watoto wachapwe au wasichapwe viboko Mashuleni!!!, Wanaamini vitisho ndio maendeleo ya mtoto..
Hapa ndio utajua Watanzania WANAONGOZWA na watu wa aina gani..
Mungu ibariki Tanzania
Wewe unajua sheria za nacho zote dunia na majimbo?! Wacha kujenga hoja kwa hisia!Acha ujinga, sasa mfungwa kulala siku nzima unaona sawa, yaani afanye uhalifu halafu kodi zetu zimlishe, duniani kote wafungwa hufsnyishwa kazi sana tu, wengine mnawaona wanatujengea mabrabara
Hukuelewa Chochote,labda wewe ni mke wa Chalamila ama mwanaye...kauli ya kuua mtuhumiwa ikichukuliwa serious nawe siku moja utajikuta ahera kwa kosa ambalo kama sheria ingefuatwa ungepaswa kulipa fine isiyozidi shilingi elfu moja!
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.
Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.
Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa
Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.
Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.
Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.
Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.
P
Mtu kama huyo anasoma nini tena?Kathibitisha kwamba katibu mkuu alikuwa sahihi kusema wanatakiwa warudi vyuo wakasome namna ya kuongoza.
Cc Unforgetable
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.
Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.
Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa
Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.
Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.
Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.
Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.
P
yani uje kuniibia nikukute ndani then unipe buku nikusamehe are you seriousHukuelewa Chochote,labda wewe ni mke wa Chalamila ama mwanaye...kauli ya kuua mtuhumiwa ikichukuliwa serious nawe siku moja utajikuta ahera kwa kosa ambalo kama sheria ingefuatwa ungepaswa kulipa fine isiyozidi shilingi elfu moja!
we jamaa umewai kuibiwaAwamu hii imeokota watu jalalani na kuwapa madaraka,huyo ukimuangalia sura yake tu unajua ni taahira kabisa