This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Usishangae mzee, tunaongozwa na Saddist in Chief

1. Kupiga mpaka mashangazi Mtwara
2. Serikali haijaleta tetemeko Kagera
3. Dawa wa wasaliti Ikulu
4. Mapolisi wakiua wapandishwe vyeo
5. Nusu ya walioimba "tuna imani na Lowassa" wangepotea
 
Huyu sijui alipatikana vipi aiseee.. Katibu Mkuu wetu CCM, alisema anatakiwa kwenda shule, yaani atolewe uongozini, alafu aende shule huyu.. Hafai kabisa, anamharibia sana Mkuu wa nchi.. Ni aibu kubwa

Ndio wamejifunzia,kama baba yao alishatamka wazi walazwe chini majambazi wanyang'anye silaha haraka, atapiga shangazi za watu,watawasimulia wanaowatuma,iwish I kuldu bi igp wangewasimulia waliowatuma,kaka zao nao wakatamka watawapiga kipigo cha mbwa koko hadi wachakae hadi wabunge wa USA wakalaani kauli hio,unategemea nini toka Kwa wadogo zao si ajabu maneno kama hayo,ndio maana ya ukosefu wa utawala wa Sheria huo.Hayo madogo hizo ni Salamu Kwa upinzani. Watoto uiga tabia za wazazi wao.
 
Watu wanapotetea utawala wa Sheria huwa na maana yao.Hawa sura pana ndio watatuvurugia Amani yetu.We umuulie MTU ndugu yake nao wakiamua kulipa kisasi kutakalika?
 
umewai kuibiwa mkuu
 
umewai kuibiwa mkuu then what if mwizi kaja na panga ile unatoka kwenda kupambana nae kakukata bapa pwaaaa utamuangalia tu kisa unataka demokrasia na utawala wa sheria
 
sio kigezo wewe haujawahi kuiba?
so tuendelee kuibiana au sio ha ha ha ha ha iba nikuibie basi nyumba yako usiweke ma grill manake tunaambiana tanzania ni nchi ya amani wakati nyumba tunaweka mageti na magrill acha unafiki uende mbinguni komredi
 
Kwa hapa umeamua kumsema hivi ili wanajukwaa tuone hauko biased ila nafahamu nyuma ya ubongo wako unajutia kuandika kitu kama hiki kwa kuwa inakuletea doa kwenye safari yako ya matumaini ya kutafuta uteuzi,kama mteuzi wake hajasema chochote kufuatia kauli hiyo,je vipi kuhusu wewe msaka uteuzi?
 
Acha ujinga, sasa mfungwa kulala siku nzima unaona sawa, yaani afanye uhalifu halafu kodi zetu zimlishe, duniani kote wafungwa hufsnyishwa kazi sana tu, wengine mnawaona wanatujengea mabrabara
Acha uongo duniani kote wapi huko? Wamarekani wafungwa wanafanya kazi kwa kulipwa wakiwa huko kifungoni japo ni in cents and a dollar or two an hour lakini sio kazi za bure za kushurutishwa..point ni extrajudicial beatings or killings ndio zinakemewa hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…