Magu ndo anapenda viongozi wa namna iyo, ukiwa msimamia haki au mtetezi wa wananchi we kwake ni sawa na mpinzani na atatengua uteuzi wako kama kina NAPEHawa ni watu ambao watakapoondolewa madarakani na kutupwa nje.. wataanza kuelezea kuwa "walipotea tu". Labda anafikiri kwa vile ni Mkuu wa Mkoa basi yuko juu ya sheria. Sasa polisi na mahakama zina kazi gani? Lengo zima la kuwa na sheria na vyombo vya dola ni kwa sababu jamii imeendelea na haitaki kila mtu kuwa mshtaki, jaji na mnyongaji! Huyu ni kiongozi mbovu. Ila asipoangalia anaweza kuishia kama Ditopile.
Hivi hii kitu bingwa bado ipo kwelihebu ngoja kwanza nikapate bia moja tena bingwa ya moto huenda nitapata uwezo wa kufikiri kama huyu RC japo kwa sekunde 5 tu.
Ni kipi kinachokuzuia kuamini kuwa anayeteua anavutiwa na vigezo na sifa hizo alizonazo mteuliwa ambazo wewe unazoziona kuwa hazifai?Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Huyu ni psycopath Pascal.Ila sishangai viongozi wetu wengi wana tabia zinazofanana na hiyo.It is actually a demonic behaviour.View the following:Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi
Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.
Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa
Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.
Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.
Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.
Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.
Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo a
Yes nimeshawahi kuibiwa vitu vya thamani kubwa lakini sijawahi kuchukua sheria mkononi,nilifuata taratibu za kisheria kuchukua RB kisha kuchunguza na kuwarahisishia polisi kuchukua watuhumiwa na kuwaweka sehemu salama.umewai kuibiwa
Kumbe huyu mhehe mwendawazimu ameshaua ndio maana muda wote anaongea kutoa toa roho za watu.
Hahahaa.......!hapa tayari umeshapanic.
Kathibitisha kwamba katibu mkuu alikuwa sahihi kusema wanatakiwa warudi vyuo wakasome namna ya kuongoza.
Cc Unforgetable
List ya wauaji!K
Katika vitu ambavyo tunatakiwa tumpongeza Jiwe ni kuteuawa baadhi ya wakuu wa Mikoa na wilaya anaofanana nao ki maneno na vitendo, Ali Hapi, Makonda, Mnyeti, Muro, Gambo, Sabaya, Komanya kutaja kwa uchache.
Nilifikiri pia unge refer ile aliyosema "wanyang'anywe silaha harakaharaka"Mkuu Pascal Mayalla huyu Mtu hajaanza leo na kauli zake za ajabu ajabu..
Mimi wanaonishangaza ni hao Wanaccm wanaomshangilia kwa vigelegele.
Mwenyekiti wao alishawahi kutoa kauli "Wafungwa wafanyishwe kazi ikibidi wapigwe na Mateke "
Huyu anaendeleza tu.
Tatizo letu Watanzania ni unafiki na mimi sipendi unafiki kwani naamini hakuna adui hatari kama mnafiki. Pascal Mayalla, bila shaka umeshuhudia jinsi huyo unayemwita sadist anavyoshangiliwa kila akitamka hayo ambayo huamini unayasikia kutoka kwake. Lakini kwa upande wangu nimepigwa butwaa na huko kutokuaimini kwako? Huko kutoamini kwako kumenishtua zaidi kuliko yanayotamkwa na huyo kiongozi. Kwa sasa nitaachia hapo!Wanabodi, This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea? Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi
Mkuu Pascal Mayalla huyu Mtu hajaanza leo na kauli zake za ajabu ajabu..
Mimi wanaonishangaza ni hao Wanaccm wanaomshangilia kwa vigelegele.
Mwenyekiti wao alishawahi kutoa kauli "Wafungwa wafanyishwe kazi ikibidi wapigwe na Mateke "
Huyu anaendeleza tu.