This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Magu ndo anapenda viongozi wa namna iyo, ukiwa msimamia haki au mtetezi wa wananchi we kwake ni sawa na mpinzani na atatengua uteuzi wako kama kina NAPE
 
Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.
Ni kipi kinachokuzuia kuamini kuwa anayeteua anavutiwa na vigezo na sifa hizo alizonazo mteuliwa ambazo wewe unazoziona kuwa hazifai?

Hizi njia zako za 'deduction' siku hizi hazina ushawishi wa kuaminisha tena.
 
Huyu ni psycopath Pascal.Ila sishangai viongozi wetu wengi wana tabia zinazofanana na hiyo.It is actually a demonic behaviour.View the following:









View all

Psychopathy is traditionally a personality disorder characterized by persistent antisocial behavior, impaired empathy and remorse, and bold, disinhibited, and egotistical traits.
 
Msishangae hao mnaowaona hawastahili kuwa viongozi wakiendelea kudunda. Kosa moja linalofanyika mitandaoni ni kuwajadili hao watu lengo la kuonyesha jinsi wasivyofaa. Mamlaka yao ya uteuzi ilishasema wazi kuwa mnapojaribu kushinikiza waondolewe ndiyo hawataondolewa!
 
umewai kuibiwa
Yes nimeshawahi kuibiwa vitu vya thamani kubwa lakini sijawahi kuchukua sheria mkononi,nilifuata taratibu za kisheria kuchukua RB kisha kuchunguza na kuwarahisishia polisi kuchukua watuhumiwa na kuwaweka sehemu salama.
 
Kuna mambo mawili either ni addicted wa vilevi vikali/moshi au aliathilika katika malezi yake ya utotoni.
Kuondolewa au kutokuondolewa kwao sio funzo kwa wengine maana tabia ni kama ngozi.
 
Nilifikiri pia unge refer ile aliyosema "wanyang'anywe silaha harakaharaka"
 
Mkuu Pascal, upo vizuri mno ktk analytical skills, you are an exemplary contributor, Indeed it is one of many other issues you always share and in turn the forum could start focusing on it. Hii hoja yako naomba nijipange vizuri niipe shavu zaidi.
 
Wanabodi, This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea? Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi
Tatizo letu Watanzania ni unafiki na mimi sipendi unafiki kwani naamini hakuna adui hatari kama mnafiki. Pascal Mayalla, bila shaka umeshuhudia jinsi huyo unayemwita sadist anavyoshangiliwa kila akitamka hayo ambayo huamini unayasikia kutoka kwake. Lakini kwa upande wangu nimepigwa butwaa na huko kutokuaimini kwako? Huko kutoamini kwako kumenishtua zaidi kuliko yanayotamkwa na huyo kiongozi. Kwa sasa nitaachia hapo!
 
pascal pascal kwa heshima naomba ujibu comment yangu tafadhari!

ni swali yule mkurugenzi aliye ua mtu kanisan kafanywa nini? kumbuka ww ni mwandishi wa habari za kiuchunguz japo siku hizi umeacha umeamua kuunga juhudi kimya kimya naomba hili tuu unijibu kiufasaha!

tuliambiwa yupo jera! lakn cheo chake ameenda nacho, means anayeendelea kulipwa.

sasa kwa matukio haya mwenye matatizo ni nani kati ya watendaji wauaji na mwajiri wao??

PASCAL TAFADHARI NJOO UNIJIBU!
 
Tatizo kubwa ktk jamvi letu, mtu anaweza kujenga hoja zake, tena vizuri tu. Lakini ona maoni ya wachangiaji, tena kwa maneno machache tu. Mimi nafikiri tuwe na constructive criticisms pale mtu anapohisi kutokukubaliana na mtoa hoja. Hili ni jukwaa lenye hadhi kubwa ktk kuelimishana, kutokukubaliana kimsimamo na kuhabarishana. Sentiments zipo lkn ni kwa kutokupania ama kuudhi wengine kwa makusudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…