TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

Kwa huyo mzee hali ni tofauti. Hakupenda tabia za ajabu za mtoto wake
yap nimekusikia ila mtaa ninaoishi kuna vijana ndo kila siku wanatukaba wanajulikana ila ukiwaweka polise hao wamama watakusema maneno kibao juzikati tumemtia moto mmoja baada ya kukuta mwanamke anakaanga zake mihogo na kisimu chake akamwambia maliza kuongea unipatie simu yanu kwa kumtolea bisu butu yule mama akaairushia simu yake juu ya bati na kumtishia kumwagia mafuta ya moto huku anapiga mayowe ........ kilichofwata polisi walikuja kukusanya maiti uake ikiwa kama mbuzi aliyebanikwa .... sahizi tunapitta kwa furaha tele vichochoroni mamake katuachia laana na kusema wote tulioshiriki hilo zoezi tutakiona mwanawe ndo walikuwa wanamtegemea mchewww
 
yap nimekusikia ila mtaa ninaoishi kuna vijana ndo kila siku wanatukaba wanajulikana ila ukiwaweka polise hao wamama watakusema maneno kibao juzikati tumemtia moto mmoja baada ya kukuta mwanamke anakaanga zake mihogo na kisimu chake akamwambia maliza kuongea unipatie simu yanu kwa kumtolea bisu butu yule mama akaairushia simu yake juu ya bati na kumtishia kumwagia mafuta ya moto huku anapiga mayowe ........ kilichofwata polisi walikuja kukusanya maiti uake ikiwa kama mbuzi aliyebanikwa .... sahizi tunapitta kwa furaha tele vichochoroni mamake katuachia laana na kusema wote tulioshiriki hilo zoezi tutakiona mwanawe ndo walikuwa wanamtegemea mchewww
Mzee nakumbuka jinsi JW walivyomaliza vibaka wa Tabora kwa kuwaua hadharani mmoja baada ya mwingine. Hivi sasa unafika Tabora unatembea bila wasiwasi!
Hili suala tukilichekea ili kumuogopa mtu, tunakosea sana. Dawa ya kibaka ni kupiga kiberiti ili wazazi wajifunze kuwaonya vijana wao kuacha tabia za ajabuajabu.
 
Mzee nakumbuka jinsi JW walivyomaliza vibaka wa Tabora kwa kuwaua hadharani mmoja baada ya mwingine. Hivi sasa unafika Tabora unatembea bila wasiwasi!
Hili suala tukilichekea ili kumuogopa mtu, tunakosea sana. Dawa ya kibaka ni kupiga kiberiti ili wazazi wajifunze kuwaonya vijana wao kuacha tabia za ajabuajabu.
aisee ilikuwa saa 12 jion unyanganywa wamama zao wakiwa wanakenyua meno mabaradhuli kabisa
 
Pombe ni ibilisi tuachane nayo

Mkuu Anold..pombe ni ibilisi, pombe inakutuma ufanye vitu vya ajabu sana,mtu akiwa kalewa ni rahisi sana kumpoteza! Kwakweli Inasikitisha sana ,kama walikua wanalijua hilo wasingempiga, labda walikua na bifu-nae wakaamua kumtegea one dayakiwa kwenye hali hiyo....God Knows
 
leo kuna bint video queen sijui nyimbo ya diamond kafariki tunaambiwa "watanzania" tumepata msiba kweli ? mashujaaa kama hawa wanadondoka watu kimya
 
Ifike mahali tuwe tunasema ukwel... Watu maarufu wakifanya kitu cha aibu majanga yakiwakuta tunaficha ukwel.. Yametokea sana mambo kama haya. Tunasahau kwamba tunazid kukuza tatizo.
All in all kumuua haikuwa suluhu. Apumzike kwa aman
 
Kwa watu wasiomjua Mashali wataongea maneno mengi sana,Mimi nimekaa magomeni maskani yetu ni km kadhaa na sehemu aliyokuwa anafanyia mazoezi Mashali na pia Tandale alikuwa na sehemu pia ya kufanyia mazoezi.
Mashali alikuwa mtemi tena utemi wa kipuuzi kabisa alikuwa na uwezo wa kula chakula kwa Mama ntilie halafu halipi akidaiwa anadai yeye ni Mashali hawezi kulipa since yeye ni Mtemi wa DSM,Hiyo yote ilianza baada ya kumpiga Muddy Dame jela(Mtemi mwingine huyu) basi Mashali akaona kaikamata DSM na raia waliposikia kamuangusha Dame jela wakamnyooshea mikono.Mashali alikuwa mlevi wa kutupwa,kuna pambano alishinda i think alimpiga Maugo,alikuja hadi maskani na belt yake tukapiga naye picha tukamuuliza inakuwaje kuhusu Cheka akasema atamlaza hospitali kwa kuapa akachukua sandals ya mwana mmoja wa maskani halafu akailamba kule chini kwa kukanyagia(just imagine) hapo yupo chwiiiiii.Siwezi kummaliza because watoto wa Tandale Migo tunamjua sana alikuwa anakaba na kukaba asipokuwa na hela

KARMA IS THE BITCH
dah kumbe mchizi alikuwa anazingua hivi
 
Back
Top Bottom