MASHALI ALIKUWA MTU MBAYA.....
Mtetee tu kwa sababu ulikuwa unakutana naye hapo
PROMOTA WAKE ameiambia Clouds360 kwamba MASHALI akilewa huwa "MBABE" jana alipgiwa cm na rafk yake kwenda kimara,baada ya kufika huko wakawa wanakula MVINYO,baada ya kulewa wakaznguanana na mtu mwingn,MASHALI akamtandika[NGUMI KALI] huyo jamaa baada ya kupewa kichapo akaanza kupiga kelele za mwiz,,,Wakatokea wananchi wenye hasira na silaha wakamchakaza[bila kujua kama ni Mashali] baadhi ya watu wakasema sio mwizi huyu ni mashali raia wakamuacha lakini alikua tayar ashaumia sana na kumwaga damu nyingi...BODABODA wa hapo kimara wakamchukua na kumpeleka hospital then wakaanza kutoa taarifa kwa WANAOMJUA.