Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu samahani, sijaelewa inakuwaje matembo kukusanyiwa hela za vituoni, yeye anawapa nini?? Unga? Au??Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.
Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).
Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
Acha ujinga wewewatanzania wanakurupuka sana kama mkuu wao
Kuna mahali nimesoma kuwa kabla ya umauti Mashali alikuwa na Francis ChekaAisee, yaani watu wamemtoa mtu roho kirahisi rahisi hivo. Hata kama alikuwa analeta ubabe hakustahili kufanyiwa hivo, hao watu wa bar wakamatwe. Nakumbuka Mara ya mwisho Mashali alimdunda Cheka, r.I.p bro
Sana....ubabe aliokuwa anafanya Ni wa kizamani sahv Huwezi kumpora mtu Mali yake na akakuangalia tu Lazima siku raia watakufanyia kitu mbaya......Tandale na Manzese Kamaliza sana watu.
Apumzike kwa Amani, Mungu amfutie dhambi zake zote.
Njoo Dsm ujioneeMkuu samahani, sijaelewa inakuwaje matembo kukusanyiwa hela za vituoni, yeye anawapa nini?? Unga? Au??
Kwa nyongeza mkuu bado upande mwingine tunasikia mara kapigwa risasi na mwili kuokotwa kichakani!!Lakini pia nimesikia redioniii kwamba marehemu alipanga kuwalipua watu flani wenye mchezo wa kuvusha watu wao kupeleka mizigo yao njee kupitia mgongo wa mabondia..so hapo mtu lazima utumie akili ya ziada kuelewa kifo hiki.Rest in peace thomasKuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.
Nimepata kusikia tuhuma kama hizi kumuhusu kijana huyu..Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.
Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).
Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
Kwa watu wasiomjua Mashali wataongea maneno mengi sana,Mimi nimekaa magomeni maskani yetu ni km kadhaa na sehemu aliyokuwa anafanyia mazoezi Mashali na pia Tandale alikuwa na sehemu pia ya kufanyia mazoezi.Tatizo la Celebrities wengi wa Tanzania hawajui kuishi kistaa..kuna vitu kama Staa hutakiwi kuvifanya,kuna sehemu hutakiwi kwenda....kuna Bar za kwenda kunywa,za watu wenye pesa zao...hata akitokea Chizi mmoja na mawivu yake akakupigia kelele basi watu watakukamata wakupeleke Polisi,Sio Unaingia Bar za Kiswahili kama hizo mapanga yako karibu,sio kila bar unaingia kunywa.
Usipojua thamani yako utaondoka hapa duniani mapema sana!!
R.I.P Thomas Mashali,nilikuwa nakukubali sana..pengo lako kubwa sana
Duh!!hatari sana aiseeKwa watu wasiomjua Mashali wataongea maneno mengi sana,Mimi nimekaa magomeni maskani yetu ni km kadhaa na sehemu aliyokuwa anafanyia mazoezi Mashali na pia Tandale alikuwa na sehemu pia ya kufanyia mazoezi.
Mashali alikuwa mtemi tena utemi wa kipuuzi kabisa alikuwa na uwezo wa kula chakula kwa Mama ntilie halafu halipi akidaiwa anadai yeye ni Mashali hawezi kulipa since yeye ni Mtemi wa DSM,Hiyo yote ilianza baada ya kumpiga Muddy Dame jela(Mtemi mwingine huyu) basi Mashali akaona kaikamata DSM na raia waliposikia kamuangusha Dame jela wakamnyooshea mikono.Mashali alikuwa mlevi wa kutupwa,kuna pambano alishinda i think alimpiga Maugo,alikuja hadi maskani na belt yake tukapiga naye picha tukamuuliza inakuwaje kuhusu Cheka akasema atamlaza hospitali kwa kuapa akachukua sandals ya mwana mmoja wa maskani halafu akailamba kule chini kwa kukanyagia(just imagine) hapo yupo chwiiiiii.Siwezi kummaliza because watoto wa Tandale Migo tunamjua sana alikuwa anakaba na kukaba asipokuwa na hela
KARMA IS THE BITCH
Mkuu sina cha kuongezea ,ubabe wake wote kwa mizozo alikuwa mdogoKwa watu wasiomjua Mashali wataongea maneno mengi sana,Mimi nimekaa magomeni maskani yetu ni km kadhaa na sehemu aliyokuwa anafanyia mazoezi Mashali na pia Tandale alikuwa na sehemu pia ya kufanyia mazoezi.
Mashali alikuwa mtemi tena utemi wa kipuuzi kabisa alikuwa na uwezo wa kula chakula kwa Mama ntilie halafu halipi akidaiwa anadai yeye ni Mashali hawezi kulipa since yeye ni Mtemi wa DSM,Hiyo yote ilianza baada ya kumpiga Muddy Dame jela(Mtemi mwingine huyu) basi Mashali akaona kaikamata DSM na raia waliposikia kamuangusha Dame jela wakamnyooshea mikono.Mashali alikuwa mlevi wa kutupwa,kuna pambano alishinda i think alimpiga Maugo,alikuja hadi maskani na belt yake tukapiga naye picha tukamuuliza inakuwaje kuhusu Cheka akasema atamlaza hospitali kwa kuapa akachukua sandals ya mwana mmoja wa maskani halafu akailamba kule chini kwa kukanyagia(just imagine) hapo yupo chwiiiiii.Siwezi kummaliza because watoto wa Tandale Migo tunamjua sana alikuwa anakaba na kukaba asipokuwa na hela
KARMA IS THE BITCH
Mwengne anaitwa Andrew Mashalli kwenye chandmu tulikua tunanuitwa Andrew ColeMimi binafsi namfahamu Thomas Mashali enzi hizo nilikuwa naishi Tandale.Mashali alikuwa anaishi Tandale Muembeni karibu na makaburi ya kwa Bi Mtumwa,alikuwa mtemi na m'babe maarufu sana mitaani.Ukikutana nae tu,jua umekutana na dhoruba.Maana akitaka kufanya chochote kwako anafanya tena mchana kweupe.Na hata mchezo wa ngumi ameanza siku nyingi ila alitumia kipaji chake vibaya.
Kuna wadogo zake wawili wa kiume mmoja anaitwa Charles mashali,yeye alikuwa anacheza sana mpira enzi hizo mpira wa 'chandimu'
Mshahara wa dhambi ni mauti.