TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

Hayo makusanyo yanaenda kwa hap matembo na isitoshe polisi wanafahamu haya mambo lakin wamekaa kimya km unaweza kufanya tafiti nenda ubungo stendi ya magari ya mlandiz na mbezi kote uko kuna matembo,
Unafikiri manjagu wanaweza kukaa kimya bure tu,mahali wanapojua watu wanaingiza hela kwa njia haramu?Ukiona wanajua halafu wako kimya ujue.......jiongeze mkuu.Mitaani kuna mengi sana.
 
jamaa mbona alikuwa mtu poa sana dah pole sana kwa familia yake, jamaa mara ya mwisho kumuona ilikuwa alipokuja Moro kupambana na cheka..Mungu amlaze mahali pema inshallah.
Inasemeka akilewa anageuka kuleta utemi.
 
Jambo hili la watu kujichukulia sheria mkononi linazidi kuota mizizi na likiachwa liendelee ipo siku litasababisha janga kubwa.

Kama serikali imeweza kuzuia mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi inashindwa nini kuzuia vitendo hivi. Imeshakuwa kama fasheni watu maeneo mbali mbali wanashindana kuua watu wasio na hatia kwa visingizio visivyo na tija.

Tunataka kuona Polisi ikichukua jukumu lake ktk hili. Mahali anapouawa mtu watu wa eneo hilo watiwe msukosuko ukweli ujulikane nani aliyeua.
 
hawa "wananchi wenye hasira kali" huwa nawatafuta sana ila sijui pa kuwapata! nilitaka wanisaidie kutatua matatizo fulani hivi kwenye hii serikali yetu tukufu na tulivu isiyojaribiwa.
daah R.I.P Tom,pumzika kwa amani mwanangu.nitaku miss sana man man


Mkuu hata mimi na hasira sana na hawa watu wanaojichukulia sheria mikononi bila kujua chanzo-chake ni nini...eti wakisikia tu neno mwizii wanakurupuka kumvamia' inaudhi sana...yani basi tu huu unyama sijui utaisha lini...so very sad kwakweli
 
Unafikiri manjagu wanaweza kukaa kimya bure tu,mahali wanapojua watu wanaingiza hela kwa njia haramu?Ukiona wanajua halafu wako kimya ujue.......jiongeze mkuu.Mitaani kuna mengi sana.
sana mkuu kwa mm niliyekulia uswazi na kujimix na wahuni kuna mambo mengi sana ya kihuni yanafanyika ktk jamii zetu
 
WATU KAMA HAWA WAKINA MASHALI AMBAO KWENYE JAMII WALIKUWA WATUKUTU HAKIJUANZA LEO WALA JANA NI WENGI WALIOKUWA KAMA MASHALI NA WAO YALIWAKUTA HIVYO,WATU AMBAO WANAISHI MAISHA HAYO MWISHO WAO UNAKUWAGA NI MBAYA NA MARA NYINGI SANA HUANGUKIA MIKONONI MWA RAIA..
SIKU ZOTE KIFO HUWA NA,SABABU KUTOKANA MAZINGIRA ANAYOISHI AU MAMBO ANAYOJIHUSISHA HUYO MTU.
MASHALI ALIKUWA MKABAJI,MPORAJI KABLA HATA HAJAINGIA KWENYE NGUMI,KWA SISI TULIYOKULIA MITAA YA KIHUNI NA KUWAFAHAMU BAADHI YA WABABE WAKATI HUO AMBAO MPAKA LEO HII WENGINE HAWAPO DUNIA NA KAMA WAPO BASI RAIA WALIWATIA KILEMA..
SIKU ZOTE KTK MAISHA UTAVUNA ULICHOKIPANDA.

OVA
Jambo hili la watu kujichukulia sheria mkononi linazidi kuota mizizi na likiachwa liendelee ipo siku litasababisha janga kubwa.

Kama serikali imeweza kuzuia mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi inashindwa nini kuzuia vitendo hivi. Imeshakuwa kama fasheni watu maeneo mbali mbali wanashindana kuua watu wasio na hatia kwa visingizio visivyo na tija.

Tunataka kuona Polisi ikichukua jukumu lake ktk hili. Mahali anapouawa mtu watu wa eneo hilo watiwe msukosuko ukweli ujulikane nani aliyeua.
 
NI KWELI KABLA HAJAWA BONDIA MASHALI ALIKUWA ANA KABA NA ALIKUWA NA KIKUNDI CHAKE HUKO TANDIKA....TMK WALIOKUWA WANA SHIGULISHA NA UPORAJI HUKU WAKICHEZA NGUMI ....KWA WALE WALIYOFIKA MITAA YA KEKO WATAELEWA NINI NACHOSEMA...
KWA KIFUPI MASHALI ALIKUWA MSELA MAV---

PUMZIKA PANAPO KUSTAHILI T.MASHALI

OVA
Mkuu wewe ukitoa info huwa nazikubali. Na inaelekea hivyo kwa huyu jamaa.
 
WATU KAMA HAWA WAKINA MASHALI AMBAO KWENYE JAMII WALIKUWA WATUKUTU HAKIJUANZA LEO WALA JANA NI WENGI WALIOKUWA KAMA MASHALI NA WAO YALIWAKUTA HIVYO,WATU AMBAO WANAISHI MAISHA HAYO MWISHO WAO UNAKUWAGA NI MBAYA NA MARA NYINGI SANA HUANGUKIA MIKONONI MWA RAIA..
SIKU ZOTE KIFO HUWA NA,SABABU KUTOKANA MAZINGIRA ANAYOISHI AU MAMBO ANAYOJIHUSISHA HUYO MTU.
MASHALI ALIKUWA MKABAJI,MPORAJI KABLA HATA HAJAINGIA KWENYE NGUMI,KWA SISI TULIYOKULIA MITAA YA KIHUNI NA KUWAFAHAMU BAADHI YA WABABE WAKATI HUO AMBAO MPAKA LEO HII WENGINE HAWAPO DUNIA NA KAMA WAPO BASI RAIA WALIWATIA KILEMA..
SIKU ZOTE KTK MAISHA UTAVUNA ULICHOKIPANDA.

OVA
Mkuu mrangi. Una info zozote kuhusu Scorpion? Una undani wowote wa ni nini kilitokea?
 
MKABAJI MSELA MAV TU....ALIKUWA,
SEMA WATU NAMNA HII HAWAJIFUNZI KIPINDI CHA NYUMA KUKIKUWA NA BONDIA KMJA ANAITWA PAULO SIZA ALIJUWA ANACHEZA NGUMI UZITO WA JUU,ALIKUWA NAYE ANAKABA......WAKATI ULE PALE LANGATA SOCIAL HALL WATU CHOONI WAKIENDA KUJISAIDIA WALIKUTANA NA VITASA,JAMAA ALIKUWA NA MCHEZO HUO SANA KUWAVIZIA WATU NA KUWAKABA NA KUWACHUKULIA VITU KAMA CHENI,SAA,HELAAA...
ILA NAYE AKIYAKANYAGA KWA RAIAA NAO WALIMALIZAAA HAPO HAPO....

OVA
Mkuu umenikumbusha mbali. Huyo Paul Sizya alikuwa mbabe na mkorofi.
 
RIP lakini hili la kusikia mwiz tu mtu akapigwa, fikra hazitofautiani na wale walio ua watafiti kwa Lisinde......
 
Mkuu umenikumbusha mbali. Huyo Paul Sizya alikuwa mbabe na mkorofi.
PAULO SIZA WAKATI HUO WASAFIRI TUMETOKA SAFARI....CHENI KUBWA AH PAUL SIZA MIMACHOO KODO KUNA SIKU ALITAKA NKABAA KUNIONAAA AH AKABAKIa ah KUMBE MJOMBA....NKASEMA DAH KANIKOSA....
PAUL SIZA ALIKABAKABA MWISHOWE ALIJIFANYA AJIPANDISHE DARAJA AKAINGIA KWENYE UJAMBAZI ....KUNA SEHEMU WALIENDA KUFANYA TUKIO WENZAKE BAADA YA KUFURUMUSHWA WAKAMUACHAA MAANA SIZA KUKIMBIAA AKISHINDWA,NDIYO AKABAKI MIKONONI MWA RAIA WENYE HASIRA WACHA WAPIGE HADI KUUAAA...

OVA
 
Yani haya mambo ya kujifanya mtemi huwa ni yakipuuzi saaana..kipindi flan dodoma pia yalikuwepo Chang'ombe kule lakin sikuhizi hamna yeyote anaye jifanya ni mbabe.. Yani watu wakikuchoka mtaani ni hatari kuliko, yani bora polisi wakikuchoka utakufa vizuri tuu .. Utakuta labda unatundu la risasi kwa nyuma na wanatoa maelezo tuu lilikua likijaribu kupambana na askari wetu na kutaka kukimbia, Kesi imeisha hiyo .. Lakin hawa raia wa mtaani wakikuchoka duuu yani utakamatika tuu.

Yote kwa yote, huyu Bwana nilikua namkubali saana kwenye uwezo wake wa ngumi ndiye aliweza kumtandika Cheka pale kwao Morogoro. Lakini kumbe upande wa shilingi nae alikua ni msela mavi tu mshenzi wa kutaka watu walale sa mbili tuu..lazima wakuwaishe tu huko juu.. Upumzike tuuu Mashali
 
Za chini chini huku mitaani ni kwamba huyo jamaa watu walikuwa wanamtafutia sababu tu aingie kwenye kumi na nane!Walishamchoka kwa matendo yake.
Huenda wanaume wa Dar ndio wameanza rasmi operesheni "tokomeza" kwa kuangusha tembo.Ila beware na revenge,manake huyo bwana alikuwa na makundi mengi ya wahuni,from Manzese,Tandale to Kimara.
Tahadhari ichukuliwe.
sio kweli simba asiyefugika (mashali)alikuwa mtetezi wa wanyonge na alipokuwa jela aliwasaidia sana wanyonge labda ungeniambia mada maugo au said mbelwa ningekuelewa ila sio mashali
 
Wababe dizain kama hii Arusha walishauliwa mpaka wakaisha, leo Arusha ni shwari, ila navomfaham ni mtu mkorofi, kama mambo flani, so if u love violence ,violence will kill you.
 
Back
Top Bottom