mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
habari zinasema jamaa alijingiziza kwenye biashara ya kukaba watu na alitumia skils zake za ndondi vizur hasa akiwa bar na mkiwa mshalewa na ana RB nyingi tu ....so far ukiangalia hilo tukio ni kama ilikuwa inatafutwa sababu tu ..haiwezekani mumpige mtu mnaye mjua kabisa