TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

habari zinasema jamaa alijingiziza kwenye biashara ya kukaba watu na alitumia skils zake za ndondi vizur hasa akiwa bar na mkiwa mshalewa na ana RB nyingi tu ....so far ukiangalia hilo tukio ni kama ilikuwa inatafutwa sababu tu ..haiwezekani mumpige mtu mnaye mjua kabisa
 
Alikuwa na usela mavi... Flani hivi akikukuta una simu kali... Anachukua ukibisha unapigwa 1.two.... Haya picha limetoka maandishi.
 
Duh, wanaume wa Dar wana Ma Tembo yao,Kin.a.na ana Habari?
 
HAAA Kifo ni kawaida but vifo hivi dah!?Alazwe anapostahili...
 
Nakumbuka kuna mchezaji mmoja alichezea yanga ,stars na saiz yupo timu moja hv kabla alikuwa mkabaji hatari lkn tokea aajiriwe kwenye mpira kabadilika sana na imekuwa history tu saizi .

Lkn ndugu yetu Bado aliendekeza ujinga na maskani yao ya wapiga nguki manzese ,kagera ndio walivyo,.unaambiwa toa simu na mwenyewe unatoa mchana kweupe ,.ukiingia kwenye anga hutoki utakabwa ngumi utakula

Japo ni jambo la kuhuzunisha lkn iwe fundisho kwa wengine ,.tuacheni kujihusisha na masuala ya kijinga kila jambo lina mwanzo na mwisho

Na unachosema mkuu ni kweli kabisa watu wa manzese ,kagera nk wanamjua vilivyo . .maisha aliyojichagulia siyo kabisa
God Taita
 
Mimi binafsi namfahamu Thomas Mashali enzi hizo nilikuwa naishi Tandale.Mashali alikuwa anaishi Tandale Muembeni karibu na makaburi ya kwa Bi Mtumwa,alikuwa mtemi na m'babe maarufu sana mitaani.Ukikutana nae tu,jua umekutana na dhoruba.Maana akitaka kufanya chochote kwako anafanya tena mchana kweupe.Na hata mchezo wa ngumi ameanza siku nyingi ila alitumia kipaji chake vibaya.

Kuna wadogo zake wawili wa kiume mmoja anaitwa Charles mashali,yeye alikuwa anacheza sana mpira enzi hizo mpira wa 'chandimu'

Mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Bongo tunatia aibu sana.

Yani wanamichezo tunaowategemea ndio wanaongoza kuwa na njaa.
 
Mimi binafsi namfahamu Thomas Mashali enzi hizo nilikuwa naishi Tandale.Mashali alikuwa anaishi Tandale Muembeni karibu na makaburi ya kwa Bi Mtumwa,alikuwa mtemi na m'babe maarufu sana mitaani.Ukikutana nae tu,jua umekutana na dhoruba.Maana akitaka kufanya chochote kwako anafanya tena mchana kweupe.Na hata mchezo wa ngumi ameanza siku nyingi ila alitumia kipaji chake vibaya.

Kuna wadogo zake wawili wa kiume mmoja anaitwa Charles mashali,yeye alikuwa anacheza sana mpira enzi hizo mpira wa 'chandimu'

Mshahara wa dhambi ni mauti.
Hata kama ndo ujichukulie sheria mkononi?
 
Tabia ya ukabaji ina matokeo mabaya saana maana nafsi nyingi zinalia kwa kudhulumiwa Mali zao na kupata na kipigo. Pamoja na majeraha na vilema vya milele.

Si ajabu kwa sasa baadhi ya wakazi wa Tandale na manzese waliokuwa wahanga wakubwa wa makonde ya marehemu wanakula na kunywa wakifurahia kung'olewa kwa kisiki kilichowakosesha raha usiku na mchana.

Pole kwa wafiwa na mungu ampe kulingana na mapenzi yake marehemu mwanamasumbwi.
 
Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.

Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).

Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
Sawa. Sasa hii ina uhusiano gani na kifo chake.
 
Jamaa eti alikuwa akikupata na simu kali anaichukua ukileta kiburi unakula ngumi la shingo haha jamaa kma ni kweli alikuwa mtemi ila kakutana na watemi
 
Huyu mashali habari ya Jana ITV alikuwa anazungumzia suala la cosmas cheka
 
Back
Top Bottom