py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Mkuu hatuna ufahamu huo lkn huku kitaa kila mtu niliye naye hawajashangaa sabb ya rekodi na matukio ykeHaitoi uhalali wa kujichukulia sheria mkononi. Mpaka mauti yanamkuta kuna ushahidi wowote kuwa kweli alimuibia huyo aliyemuita mwizi.
Mm siyo muumini wa kuua mwizi na sipendi kuona hata mwizi kweli anauliwa sabb syo haki lkn jamaa maisha aliyojichagulia na title aliyokuwa nayo ni vitu 2 tofauti ana record mbaya ila syo vzr kutoa sifa mby za marehemu ila kwa record yke watu wengi hawajashangaa
Ndio maana watu wa huku hawajaweka doubt yeyote ,naamn kifo chake kingeepukika lkn kwa record yke aah alizidisha -ve things nyingi
Ila c halali kuua na watu waepuke kufanya au kujihusisha na -ves things hutokumbana na masaibu mjini hata siku ukikumbana na masaibu watu wastuke ,lkn cyo unakumbana na masaibu watu hawana doubt na ww sabb ya record yko