Thomson safaris: Sodoma na Gomola (This American company is so sick)

Thomson safaris: Sodoma na Gomola (This American company is so sick)

nimemuona bi judy akiuza sura star tv.nadhani wanajikosha dhidi ya shutuma ndani ya jf
 
member since dec 2012 post 21. gender male (ila nashangaa umesema we ni mwanamke!!!??? Mhhhh sio bure

Acha ujinga wewe.... Kama hunacha kuchangia pitaaa.. Sio unaanza majungu.. Jitambue, acha kuwa na tabia za kike
 
Wizi mtupu nyie Oriflame!!!! Acheni kuwatapeli watu! Biashara gani ya kuuza perfume feki!!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Dada Preta, sijakataa kama watu wa aina hiyo wanakuja,,,swala ninalolitafakari hapa ni 'moral ethics' za haya makampuni ya kigeni.. Sababu wanavunja sheria makusudi,,then wanasema haya,,'' I know that this is a culture where people still believe in witch doctors, and education often stops after 3[SUP]rd[/SUP] or 4[SUP]th[/SUP] grade. I think it is a much safer bet that we carry on as we have done with so many past gay Thomson guests.''.

Wanatakiwa waheshimu tamaduni zetu,,na sio kutubeza kwamba tunaamini kwenye witch doctors,,na elimu zetu ni za darasa la 3 na la nne. Hawa ni matapeli wa kimarekani ambao hawajali utu wa mtu wala nchi wanayofanya biashara.Imagine wewe ndo huyo tour guide unawapeleka majamaa katikati ya serengeti kufanya uchafu huo,,,hata kama ni kazi,,,utu uko wapi? si waende kwao huko sheria zinaporuhusu madudu hayo,,sababu ya kuja kuleta laana huku ni nini?

Nikikaona hako kadada kalichoandika hivyo,,kweli kabisa naweza nikakatandika japo tuvibao vinne tu


mkuu hayo ya darasa la 3 na la nne na kuamini uchawi ametushika pabaya

inasemekana ikulu kwenyewe wanaamini kwenye ushirikina
kuna bibi mtwara ndio mwenye funguo za gesi
babu wa samunge
maunga-unga yaliyomwagwa bungeni enzi za sitta
novie zetu za kibongo.... you name it

Na hao mashoga wapo sana tu tena na vijana wetu wameanza kushobokea huo ungese

sipendi hawa wazungu wanavyotu-treat, lakini tunawapa sana nafasi ya kutufanya hivyo; we let them walk over our asses..
 
hiyo ishu uliosema hapo juu ni ya kawaida sana hasa ktk hii industry ya tourism kwa sababu lesbian au gays wanakuja sana ila kama ulivyosema hawa wanaomiliki makampuni huwa wanawalinda sana kwa kuwapa briefing mbovu kama walivyoanisha hapo juu kuwa watanzania ni primitive bado tupo kwenye stone age kwa hiyo hatujui mambo yanaendaje ulimwenguni,ila kwa kuwa ni biashara huria hakuna wakuwazuia tatizo ni huyo mtu anayefanya nae mawasiliano kutumia mbinu ya kututukana sisi watanzania ili aweze kuwin biashara yake hiyo haikubaliki japokuwa hatujaendelea kama wao lakini wasitumae umaskini wetu kutudhalilisha,THOMSON SAFARI IS ONE OF RESPECTABLE TOUR COMPANY LAKINI KWA HAPO WAMEANGUKA.

HAPO NDIPO TULIPOTOFAUTIANA NDUGU JAFFERY. Kwa kutumia vigezo vipi umesema hivyo?
 
member since dec 2012 post 21. gender male (ila nashangaa umesema we ni mwanamke!!!??? Mhhhh sio bure

Umeona eeh,,halafu yuko so sensitive na mada hii,,,anatia shaka fulani hivi
 
Umeona eeh,,halafu yuko so sensitive na mada hii,,,anatia shaka fulani hivi

Yupo sensitive sana halafu kadanganya yeye demu kumbe lijidume! Mweee, kwa kweli mi nina mashaka sana #chakla
 
umenikumbusha last week NOMAD lamai walikuwa wanahao jamaa kumi na sita wamewarusha uwanja wa kogatende.NA WALIKUWA WAAMERIKA.HABARI NDIYO HIYO KAKA........
 
Back
Top Bottom