Thomson safaris: Sodoma na Gomola (This American company is so sick)

nimemuona bi judy akiuza sura star tv.nadhani wanajikosha dhidi ya shutuma ndani ya jf
 
member since dec 2012 post 21. gender male (ila nashangaa umesema we ni mwanamke!!!??? Mhhhh sio bure

Acha ujinga wewe.... Kama hunacha kuchangia pitaaa.. Sio unaanza majungu.. Jitambue, acha kuwa na tabia za kike
 
Wizi mtupu nyie Oriflame!!!! Acheni kuwatapeli watu! Biashara gani ya kuuza perfume feki!!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

mkuu hayo ya darasa la 3 na la nne na kuamini uchawi ametushika pabaya

inasemekana ikulu kwenyewe wanaamini kwenye ushirikina
kuna bibi mtwara ndio mwenye funguo za gesi
babu wa samunge
maunga-unga yaliyomwagwa bungeni enzi za sitta
novie zetu za kibongo.... you name it

Na hao mashoga wapo sana tu tena na vijana wetu wameanza kushobokea huo ungese

sipendi hawa wazungu wanavyotu-treat, lakini tunawapa sana nafasi ya kutufanya hivyo; we let them walk over our asses..
 

HAPO NDIPO TULIPOTOFAUTIANA NDUGU JAFFERY. Kwa kutumia vigezo vipi umesema hivyo?
 
member since dec 2012 post 21. gender male (ila nashangaa umesema we ni mwanamke!!!??? Mhhhh sio bure

Umeona eeh,,halafu yuko so sensitive na mada hii,,,anatia shaka fulani hivi
 
Umeona eeh,,halafu yuko so sensitive na mada hii,,,anatia shaka fulani hivi

Yupo sensitive sana halafu kadanganya yeye demu kumbe lijidume! Mweee, kwa kweli mi nina mashaka sana #chakla
 
umenikumbusha last week NOMAD lamai walikuwa wanahao jamaa kumi na sita wamewarusha uwanja wa kogatende.NA WALIKUWA WAAMERIKA.HABARI NDIYO HIYO KAKA........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…