Hapo ndipo pabaya....Hahahaa mwambie sina nguo ya christmas
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hapo ndipo pabaya....
Akirudisha majeshi tu....atapumzika mwakani January
Ameen mkuu wetu.Merry xmass and prosperous 2024 in advance kwa wale wote ambao hatutatajwa humu. Mungu atupe faraja nasi tujione kama wao. JF ni familia moja.
Heri ya Christmas na furaha za mwaka mpya zikufikie na wewe popote ulipo mwana familia wetu bora wa JF.Nawatakia kheri ya Krismasi ja Mwaka Mpya wana@jamiiforums wote
Popote mlipo huko mnikumbuke
Shukran sana mkuu, tuko pamoja hatua kwa hatua.Asnte san ndugu yangu.
Na wewe pia ubarikiwe, popote pale ulipo mambo yako yakuendee vizuri, na mwaka ujao uwe wa mafanikio makubwa kwako.Merry Christmas all JF members!
...jamani, njoo nikukumbatie.JF I got nobody, Still no friends just alone Merry Christmas to myself and everyone
Pia naomba mkeka usichanikei Nile sikukuu!
Hii X mas mmeitoa wapi? Naona mnaiga bila hata kujua maana yake, wakristu wanayo Christmas ambayo itakuwa wiki ijayo.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Leo nimeona bora nije na thread ya pamoja kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass.
Lakini pia kila mtu atakuwa huru ku share picha za jinsi watu walivyo celebrity, na kusherehekea mkesha wa mwaka mpya huko atapokuwa, au kuandika matukio yote yatakayotokea katika siku hizo mbili.
Binafsi napenda kutumia nafasi hii kuwatakia heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass wanaJF wote waliopo humu, haswa wale ambao wapo tayari kwa ajili ya kusherehekea sikuu hizo.
Najua kwa baadhi ya nchi (ikiwemo hii niliyopo mimi), hiki ni kipindi kigumu kwetu kuumaliza mwaka salama, lkn kwa uwezo wa Mungu wetu alie mwema, mwenye upendo na huruma ya kweli kwetu, basi tutaumaliza salama salmin.. Ameen.
Mjumbe hauwawi....
Shougaaa Evelyn Salt ex wako anaomba msamaha huku, unaitwa na kaka kelphin
........[emoji126][emoji126][emoji126]
Nawapamba mr na mrs . Leta hesabu kabla ya trh za bethidei[emoji3]Pesa yenyewe anayo sasa?!! Zote kachunwa na coca [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Eeee. Kumbe Madame B sio kina cha kupima kwa mguu[emoji23][emoji23]Uliyatindinganya, mwenyewe ukarudi kwa ex wako.
Kuanza penzi jipya ni karaha sana, mnaanza kufundishana kanuni.
Wakati kwa ex wako, anajua mpaka kuta za uke wako zipoje...
Ndio maana wanasema wanawake/wanaume wengine ving'ang'anizi.
Sio ving'ang'anizi,ni ile mazoea na mtu wako.
Penzi jipya karaha sana.
Rudi kwa zimwi wako bhanan...kwan sh ngapppp!!!!
Dah..!! We mamdogo weweeee..!!! Mbona umeandika kama washabiki wa Mandonga..!!??? Maana walishawahi sema wapo naye mpaka wamuuwe ulingoni...!!nawatakia heri ya christmas na mwaka mpya singles wote humu jukwaaniππππMungu awatie nguvu
na mnaoteswa na mapenzi mwaka huu ikawe mwisho mwakani mapenzi yawauwe kabisa
Ulipotelea wapi we mwana JLW..!!??Uliyatindinganya, mwenyewe ukarudi kwa ex wako.
Kuanza penzi jipya ni karaha sana, mnaanza kufundishana kanuni.
Wakati kwa ex wako, anajua mpaka kuta za uke wako zipoje...
Ndio maana wanasema wanawake/wanaume wengine ving'ang'anizi.
Sio ving'ang'anizi,ni ile mazoea na mtu wako.
Penzi jipya karaha sana.
Rudi kwa zimwi wako bhanan...kwan sh ngapppp!!!!
Ukiona manyoya..!!πππ Inawezekana.....
Unajua ktka mahusiano ambayo yamedumu kwa muda mrefu, huwa kuna baadhi ya mambo ni lazima mtakumbukana tu ambayo mlikuwa mmefanyiana...haijalishi mlikuwa na tofauti gani.
.... ngoja niishie hapa...
πππππ€£π€£π€£
Kataa ndoaAmiin mimi ni m1 wa waliokwama kuowa mwaka huu kutokana na ukata wa fedha.
I hope next year mambo yatajiset na nitaweka jiko ndani tho..
Dah..!! We mamdogo weweeee..!!! Mbona umeandika kama washabiki wa Mandonga..!!??? Maana walishawahi sema wapo naye mpaka wamuuwe ulingoni...!!