Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

JIHADHARI WAMI DARAJANI MRADI WA TRAFIKI

Kwa wale wenye mpango wa kusafiri kwa magari binafsi kwenda kaskazini kupitia daraja la Wami, chukua tahadhari zote. Jamaa wa nguo nyeupe wameweka kamera yao mara tu unapomaliza daraja. Kuna kibao cha kuterminate 50. Jamaa wanapiga magari tochi ni balaa tupu, wao wanakusubiria Mbwewe. Huna hili wala like, unapigwa mkono na kuonyeshwa picha yako.

Msimu huu jamaa watavuna. Ni vigumu sana kuvuka darajani kwa speed 50 maana barabara pale inaita sana. Sasa ndugu zangu msiseme hamkujua. Jamaa wameamka wanatafuta pesa. Yaani hizi 50 zitatutoa kamasi. Wami Darajani ni mradi mwingine wa kujinufaisha. Kuwa makini. C&P
 
JIHADHARI WAMI DARAJANI MRADI WA TRAFIKI

Kwa wale wenye mpango wa kusafiri kwa magari binafsi kwenda kaskazini kupitia daraja la Wami, chukua tahadhari zote. Jamaa wa nguo nyeupe wameweka kamera yao mara tu unapomaliza daraja. Kuna kibao cha kuterminate 50. Jamaa wanapiga magari tochi ni balaa tupu, wao wanakusubiria Mbwewe. Huna hili wala like, unapigwa mkono na kuonyeshwa picha yako.

Msimu huu jamaa watavuna. Ni vigumu sana kuvuka darajani kwa speed 50 maana barabara pale inaita sana. Sasa ndugu zangu msiseme hamkujua. Jamaa wameamka wanatafuta pesa. Yaani hizi 50 zitatutoa kamasi. Wami Darajani ni mradi mwingine wa kujinufaisha. Kuwa makini. C&P
Lakini ni mwisho wa mwaka huu. Huenda wanajitahidi kuhakikisha ajali, na vifo vinavyosababishwa na speed za magari hazitokei mkuu.

Muda mungine hatuwapendi hao jamaa wawepo barabarani, lkn ajali ikitokea lawama nyingi tunawaangushia wao kuwa hawakuwa barabarani kufanya kazi zao ipasavyo.
 
Mungu akujaalie ndoa yako iwe na amani, upendo na mshikamano wa hali ya juu. Hapa kuna kitu nimejifunza kupitia comment yako, na nataka nilifanyie kazi haraka iwezekanavyo before ya kuwa too late.

Asant my brother
Pamoja sana bro,,,mchakato unahitaji Total Decision coz along the way wengi watakukatisha tamaa.Lakini make sure unakuwa kitu kimoja na shemeji. Hauta shindwa kamwe. Just take risk, you will bring back your testimony as I did.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Leo nimeona bora nije na thread ya pamoja kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass.

Lakini pia kila mtu atakuwa huru ku share picha za jinsi watu walivyo celebrity, na kusherehekea mkesha wa mwaka mpya huko atapokuwa, au kuandika matukio yote yatakayotokea katika siku hizo mbili.

Binafsi napenda kutumia nafasi hii kuwatakia heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass wanaJF wote waliopo humu, haswa wale ambao wapo tayari kwa ajili ya kusherehekea sikuu hizo.

Najua kwa baadhi ya nchi (ikiwemo hii niliyopo mimi), hiki ni kipindi kigumu kwetu kuumaliza mwaka salama, lkn kwa uwezo wa Mungu wetu alie mwema, mwenye upendo na huruma ya kweli kwetu, basi tutaumaliza salama salmin.. Ameen.

Update 👇

Wakuu kama thread ilivyojieleza hapo juu, kwamba mbali na kutakiana heri ya mwaka mpya na sikuu ya Christmas, lkn pia tutakuwa tukileta picha, video au masimulizi mbali mbali yanayohusiana na sikuu hizi, pamoja na matukio mbali mbali ya mwisho wa mwaka yanayotokea katika nchi, au maeneo mbali mbali hapa duniani.

Mchana huu nilipokuwa nikipita maeneo ya kitongoji cha Bertram jijini Johannesburg, nilikumbana na mkasa fulan wa kutisha na kushtua, ambao umefanyika saa chache tu kabla ya mimi kupita eneo husika.

Inasemekana wazee wa "tupe chetu ubaki na roho yako" walivamia katika ofisi ya betting na kuchukua kila kitu, kisha kutokomea kusikujulikana. Ila kabla ya kufanya operation walimuomba meneja wa ofisi hiyo (muethiopia) awape chao mapema wasepe, yeye akajifanya kuleta ngonjera, ndo wazee wa "tupe chetu ubaki na roho yako" wakampa njugu kadhaa mwilini mwake (sina uhakika kama alikufa au hakufa) kisha wakachukua kwa nguvu kilichowaleta na kupotea.

Kwa mbali, ni picha ikionesha askari kadhaa na gari yao wakiwa katika eneo la tukio. Hakuna gari iliyokuwa inaruhusiwa kusogelea au kupita eneo la tukio (ukizoom utauona utepe wa askari) hivyo nlichukua hiyo 4to kwa mbali na kuendelea na mishe zangu zilizonifanya nipite eneo hilo.

Pliz msikose kuwa mnatupia picha na matukio yote yanayotokea na kufanyika sehem mbali mbali za dunia.

Asanteni
X- MASS ndo nini?
 
Back
Top Bottom