Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Duccati zipo labda jina la hiyo ModelKwa nini kibongo bongo Ducat Diavel hazipo!?View attachment 2164498
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duccati zipo labda jina la hiyo ModelKwa nini kibongo bongo Ducat Diavel hazipo!?View attachment 2164498
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Ina tatizo ganiMungu anijaalie vichenji nifufue hii. View attachment 2180836View attachment 2180837
CarburetorIna tatizo gani
Nenda Polisi Ufundi pale Kilwa Road unaweza ukapataCarburetor
Nimekosa pale.Nenda Polisi Ufundi pale Kilwa Road unaweza ukapata
Ulienda Kwa yule fundi pikipiki wa nje au uliingia ndani Kwenye karakana ya Polisi.Nimekosa pale.
Sijajua, aliyeenda ni mjomba wangu fundi pikipiki huwa anaenda kutengeneza mapikipiki ya pale, yeye mdio aliniambia mpaka pale amekosa carburetor yake.Ulienda Kwa yule fundi pikipiki wa nje au uliingia ndani Kwenye karakana ya Polisi.
Ok, Huwa anatengeneza Zile za polisi. Jaribu kumtafuta Masoud Khamis au Juma wale ni mafundi Bike au Kinondoni Kuna Fundi anaitwa Panya watakusaidia kuipata.Sijajua, aliyeenda ni mjomba wangu fundi pikipiki huwa anaenda kutengeneza mapikipiki ya pale, yeye mdio aliniambia mpaka pale amekosa carburetor yake.
Shukrani kaka.Ok, Huwa anatengeneza Zile za polisi. Jaribu kumtafuta Masoud Khamis au Juma wale ni mafundi Bike au Kinondoni Kuna Fundi anaitwa Panya watakusaidia kuipata.
Au uagize bondeni South Africa
Hii chombo ukiifufua ukiirudisha kwa road hakuna cha boxer,tvs wala haojueMungu anijaalie vichenji nifufue hii. View attachment 2180836View attachment 2180837
Naombeni maelezo ya hii pikipiki hapa chini,je bongo zipo? Nazipataje fasta? Mahitaji ya cc 200,ukiweza nipe actual bei.
View attachment 2148817
View attachment 2148818
View attachment 2148819
Sahihi kabisa.Pamoja na mambo mengine raha ya pikipiki ni ile sauti yake nzito
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Aisee niuzie hii mselaaMungu anijaalie vichenji nifufue hii. View attachment 2180836View attachment 2180837