Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kuna toleo la kawaida na cafe race. Engine yake Ina power sana,. Kuanzia 2005 Kuja juu Zina muonekano mzurilakini design yke imekaa kma kinyonge hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna toleo la kawaida na cafe race. Engine yake Ina power sana,. Kuanzia 2005 Kuja juu Zina muonekano mzurilakini design yke imekaa kma kinyonge hivi
Hii ni chuma nimepanga kuinunua hata ya mtumba, mpya hii inakwenda mpaka $19 elfu [emoji848]Basi leo nimeiona laivu Mbeya huku hii kitu Tenere700
Ebhana na ule mg;ao wake wa bluubluu na viindiketa kama vimacho vya panzi alikuwa nayo mzungu mmoja na kipensi hivi. Kidogo nishuke kwenye daladala nimwambie 'Sir niwekee to be mtumba uniuzie mimi ukitaka kuondoka bongolandi mwaka 2033[emoji23][emoji23][emoji23]'
Mi CC kubwa sana sizikubali napenda uportable fulani hivii
View attachment 2311012
Duuh parefuu milioni 44+ huko parefuuu. Lakini unanunua tu.Hii ni chuma nimepanga kuinunua hata ya mtumba, mpya hii inakwenda mpaka $19 elfu [emoji848]
kiukweli mimi hili dude napenda show yke tuMoto uliokataa kuzimika. View attachment 2489369View attachment 2489371
Kuna siku mimi ntanunua kati ya pikipiki hiziDuuh parefuu milioni 44+ huko parefuuu. Lakini unanunua tu.
Picha tafadhali...Sinoray 180cc
Yani dola mil 11 Ni 25mil tzs?Ukiongelea pikipiki inayouzwa bei ghali duniani kwa sasa ni hii hapa chini pengine wadau wameweka picha zake ila hawaielezea kiundani zaidi... haya hizi apa sifa zake[emoji116]
Model name-Neiman marcus limited fighter
Price in usd[emoji117]11millions
In tsh[emoji117]25,535,125,000.00 millions[emoji16][emoji21]
Engine-v-twin
Top speed-300km/h
Displacement-1966.55cc
No. Of cylinders 2
Valves per cylinder 4
Transmission-6-speed
Final drive-chain
0-100 3.0sec aproxx
Battery-v12
Kerb weight-200+kg
View attachment 2285218View attachment 2285219View attachment 2285221
Soma vizuriYani dola mil 11 Ni 25mil tzs?
Kaandika milions Soma na weweSoma vizuri
Million 5 hupati mkuu labda mil 8Nakapenda sana haka kadude, CBR600. Nimekuta haka kanauzwa sema bei ya moto.
View attachment 2578679
View attachment 2578681
Hivi nikienda Zanzibar naweza pata kwa chini ya Million 5? Ikabaki ya kuisafirisha na kuisajiri Dar?