Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Babake zuchu anaitwa nan
 
Oooh!basi leo tuiangalie youtube,kuna mtu nimeona huko juu anasema inapatikana huko
Joanah Hiyo show ipo YouTube nenda kaangalie alafu njoo ulete mrejesho hapa alafu usisahau kunitag ndio utajua baadhi ya watu Wana chuki, huyo huyo jamaa anakasirika siku ukiisifia WCB Kama wamefanya Jambo zuri lakini ukimsifia Alikiba anapata amani ya moyo.
 
Kabisaaaaaaah yaani
 
Umemalizaaaaaaah kabisaaaaaah Zuchu n mweupeeeeh tyuuh, wala hana lolote afadhari hata Kareni, [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cjamwita malikia na pia hata nandy mwenyewe umalikia atauckia kwenye bomba c kiwepesi ivyo apewe cheo hiko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaaaaah weeeeee khaaaaaaah
 
Nimeangalia hiyo show kiukweli alichemka sana, performance mbaya, hajui kucheza, kasimama kama mti mkavu, lol

Nasikia Sallam akajigeuza Mondi na Ray akaperform jukwaani.
[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeeeeh plz nakufa hukuuuuuh, naamini hata mkewe huko aliko alikuwa anacheka vituko show vya talle jana
 
ZUCHU ANA SURA NZITO SANA JAMANI. YAANI KILA NIKIMUANGALIA NAPATA KICHEFUCHEFU. MSURA MZITO KAMA UJI WA TOGWA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani mieeeh hapa sina mbavuuuh uwiiiiiiiiih
 
Nimetoka tena kumuangalia, aisee nani alimwambia aimbe live maana sauti inakwama kwama kama gari bovu,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaaaaan tena land rover, zile za parokiani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
WCB sio kwa moto huu.inamaa baada kiingilio kuna wadau tena walienda kutunza.tena kuna wengine walibaki nje kwa kukosa ticket!!.
bongo pesa ipo bana ni juhudi tu yakuzitafuta.
Mambo mazuri kama haya yanapatikana usafini tu, wale wenzangu na mimi wasijaribu kuiga maana watachanika msamba.
 
Mawazo ya kipumbavu zaidi kuwahi kutokea.
Rayvan naye ni muislamu sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…