Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Anaongea yeye aibu wanapata wengine,kuna watu mishipa ya aibu imepotea kabisa kama huyu
 
Kupanga ni kuchagua mzee

Muangalia Kiba,Khadija kopa na wengine wengi ukituonesha picha zao za uchi na ushetani wa kugombana na ndugu. hoja zako zotaanza kupata mashiko

Kupanga ni kuchagua.
 
Dunia ni mapito tu,bora mtu utafute riziki yako ya halali inayompendeza Mungu na kuishi kwa amani.
 
Umeongea fact sema shida wakina zuchu wapo humu kuteteana

Sijui hata wanaanzaje kubisha sasa
Yaan busy unamtetea shetani
Hiyo ni sector ya shetan 100%
Au mnataka kuniambia wanamtukuza mwenyez mungu hao
Usihalalishe ubaya Kisa umeshindwa kuutenda wema
 
All I know is the world is the world of physics
Usipofanya kazi hauli na unapaswa kuishi wewe kama wewe. Mawazo yako ni mawazo ya kimaskini na maskini tu ndio hufikiri hivyo.
Mzee Yusuph kaacha muziki kasema anarejea kwa muumba wake,njaa imempiga huko anarudi tena kwenye mziki.
Eti unasema mondi bora angekuwa anauza mitumba na wakati hao wauza mitumba nao wanatamani kuwa kama mondi.
Dini yenyewe ni biashara siku hizi
Mambo yote ni yale yale tu inabadilika tu lugha uwe mtu wa dini au lah.

Mafanikio yanaitwa baraka,
Matatizo yanaitwa majaribu,
Msaada unaitwa sadaka,
Na sote tunakufa kifo kimoja tu.

My take; do anything that is right for you as long as you don't steal from anyone and God will bless you.
 
Last Saturday Zuchu alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa Muziki. Huu ni ulimwengu uliojaa vitimbwi na vioja vya kila aina ya ushetani. Huwezi kupata unachokitaka bila kukubali kuishi maisha ya kumtumikia shetani.

Ni lazima ukubali yafuatayo:- Kudhalilisha mwili wako kwa kuvaa nusu uchi, kujirekodi picha za utupu, kutukanana na wenzako mitandaoni, kuishi na mabeef,kufeki maisha ya uongo na kurogana.

Kuimba mziki mzuri pekee havijawahi kumsaidia msanii kudumu kwenye hicho mnachokiita "Game". Ukiingia kwenye fani ya mziki ni kuchagua moja kwa moja kumtumikia shetani. Najua wengi hawapendi kusikia haya lakini huo ndo ukweli. Sawa utamiliki magari,majumba,n.k ila kwa gharama ya kuuza nafsi na utu wako.

Jiulize kwanini V- Money kakimbia huko, huku akikiri wazi Secular music imejaa ushetani! The likes of Ray C, na Mzee Yusufu. Umaarufu wa kimuziki kamwe hautompa mtu furaha zaidi ya msongo wa mawazo na majuto.Shetani ni mjanja sana. Anajua mwanadamu anatamani vitu vya thamani km majumba na pesa. Naye amevitanguliza vitu hivyo machoni kama beit or Trap . Ni kama anakuambia," Take these and serve me". Ila hakuonyesha maumivu yaliyo nyuma ya hivo vitu anavyokupa.

Wengi wanazani wasanii wakubwa wana furaha na kuinjoy maisha si kweli!! Mfano Diamondi mi naona mziki umempa majanga mengi zaidi kuliko kabla ya kuwa mwanamziki.Ni heri angeendelea kuuza mitumba angeishi kwa amani kuliko ilivyo sasa. Mnazani anapenda kuishi na uadui na baba yake? No! That is a Satanic attack which he doesn't know!. Very sad to say that.

Sipo hapa kueleza majanga ya Diamondi ila kwa ufupi thamani ya chozi la furaha ulilolitoa Zuchu wakati ukikabidhiwa gari ya kutembelea, ni mwanzo wa maumivu makubwa ya kiroho na kifikra utakayoyapitia japo kimwili utaonekana umenona. Kama huamini muulize Rachel aliyezaniwa kuwa Ray C mpya bongo atakuambia.Mikel Jackson pamoja na mapesa yake alikufa akiwa hana furaha, Whitney Huston vile vile. Muziki uliharibu kabisa maisha yao.

Muziki ni nyenzo muhimu kwa Shetani kuharibu maisha ya vijana. Kwa watoto wa kike mziki umepelekea wengi kuzalishwa na kushindwa kuolewa. Wengi wameingizwa kwenye utumwa wa ngono na madawa ya kulevya bila kupenda na pindi umaarufu unapoisha ndio hugundua kuwa wamepotea. Wachache sana wanaobahatika kutoka salama.

Ni mbinu hiyo hiyo ndio iliyowasambaratisha Bongo movie na sasa wamechoka hata hawajulikani walipo.Wengi mnawajua si vema kuwataja.

Karibu sana mdogo wangu Zuchu kwenye ulimwengu wa wasanii uliojaa ushetani.
Tutoleee utopolo wako hapa zabibu kiba
 
Umeongea fact sema shida wakina zuchu wapo humu kuteteana

Sijui hata wanaanzaje kubisha sasa
Yaan busy unamtetea shetani
Hiyo ni sector ya shetan 100%
Au mnataka kuniambia wanamtukuza mwenyez mungu hao
Usihalalishe ubaya Kisa umeshindwa kuutenda wema
Vitu vingi alivyoviongea mtoa mada havina ushahidi Bali Ni hisia zake binafsi Hana tofauti na wale wanaosema matajili wengi wanafanya biashara ya madawa ya kulevya au ile kauli tulioaminishwa kwamba Ridhiwani kila Mali anamiliki yeye Mara tukaambiwa ana miliki station za mafuta hapa town, Mara ana miliki makampuni ya madini n.k
 
Mtoa mada ni kama maskini mmoja anayeamini Bakhressa ataenda motoni kwa sababu ya utajiri wake anasahau kuwa yeye anamiliki simu ya laki mbili huku kuna watu wengi tu wameshindwa wanalala njaa. So funny
 
Vitu vingi alivyoviongea mtoa mada havina ushahidi Bali Ni hisia zake binafsi Hana tofauti na wale wanaosema matajili wengi wanafanya biashara ya madawa ya kulevya au ile kauli tulioaminishwa kwamba Ridhiwani kila Mali anamiliki yeye Mara tukaambiwa ana miliki station za mafuta hapa town, Mara ana miliki makampuni ya madini n.k
Nuru na giza havijawahi kaa pamoja.I expected this kind of reaction. I think critical people have grasped something from I said.
 
Last Saturday Zuchu alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa Muziki. Huu ni ulimwengu uliojaa vitimbwi na vioja vya kila aina ya ushetani. Huwezi kupata unachokitaka bila kukubali kuishi maisha ya kumtumikia shetani.

Ni lazima ukubali yafuatayo:- Kudhalilisha mwili wako kwa kuvaa nusu uchi, kujirekodi picha za utupu, kutukanana na wenzako mitandaoni, kuishi na mabeef,kufeki maisha ya uongo na kurogana.

Kuimba mziki mzuri pekee havijawahi kumsaidia msanii kudumu kwenye hicho mnachokiita "Game". Ukiingia kwenye fani ya mziki ni kuchagua moja kwa moja kumtumikia shetani. Najua wengi hawapendi kusikia haya lakini huo ndo ukweli. Sawa utamiliki magari,majumba,n.k ila kwa gharama ya kuuza nafsi na utu wako.

Jiulize kwanini V- Money kakimbia huko, huku akikiri wazi Secular music imejaa ushetani! The likes of Ray C, na Mzee Yusufu. Umaarufu wa kimuziki kamwe hautompa mtu furaha zaidi ya msongo wa mawazo na majuto.Shetani ni mjanja sana. Anajua mwanadamu anatamani vitu vya thamani km majumba na pesa. Naye amevitanguliza vitu hivyo machoni kama beit or Trap . Ni kama anakuambia," Take these and serve me". Ila hakuonyesha maumivu yaliyo nyuma ya hivo vitu anavyokupa.

Wengi wanazani wasanii wakubwa wana furaha na kuinjoy maisha si kweli!! Mfano Diamondi mi naona mziki umempa majanga mengi zaidi kuliko kabla ya kuwa mwanamziki.Ni heri angeendelea kuuza mitumba angeishi kwa amani kuliko ilivyo sasa. Mnazani anapenda kuishi na uadui na baba yake? No! That is a Satanic attack which he doesn't know!. Very sad to say that.

Sipo hapa kueleza majanga ya Diamondi ila kwa ufupi thamani ya chozi la furaha ulilolitoa Zuchu wakati ukikabidhiwa gari ya kutembelea, ni mwanzo wa maumivu makubwa ya kiroho na kifikra utakayoyapitia japo kimwili utaonekana umenona. Kama huamini muulize Rachel aliyezaniwa kuwa Ray C mpya bongo atakuambia.Mikel Jackson pamoja na mapesa yake alikufa akiwa hana furaha, Whitney Huston vile vile. Muziki uliharibu kabisa maisha yao.

Muziki ni nyenzo muhimu kwa Shetani kuharibu maisha ya vijana. Kwa watoto wa kike mziki umepelekea wengi kuzalishwa na kushindwa kuolewa. Wengi wameingizwa kwenye utumwa wa ngono na madawa ya kulevya bila kupenda na pindi umaarufu unapoisha ndio hugundua kuwa wamepotea. Wachache sana wanaobahatika kutoka salama.

Ni mbinu hiyo hiyo ndio iliyowasambaratisha Bongo movie na sasa wamechoka hata hawajulikani walipo.Wengi mnawajua si vema kuwataja.

Karibu sana mdogo wangu Zuchu kwenye ulimwengu wa wasanii uliojaa ushetani.
Mawazo ya kimasikini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shishi maconfidence
Umeeona kimombo cha professor Zuwena kutoka Harvard? Mbunge mtarajiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka hadi tumbo limeuma.
 
Back
Top Bottom