Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Nimecheka hadi machozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaaan weee acha tyuuuh, mie tumbo limeuma had baaas.
 
Umeeona kimombo cha professor Zuwena kutoka Harvard? Mbunge mtarajiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka hadi tumbo limeuma.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hatareeeee
 
Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.

Ruby is the best TZ hana mpinzani, vocal lake kawaacha mbali sana wengine

Tatizo Ruby ana kiburi, mgomvi, mjuaji, gubu na kijicho
 
Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
Acha udini, na pia zuchu Ana miezi mitatu tu unamtolea povu, tuulia dawa ikuingie,. Rayvanny ujue nae alikaa miaka minne je na yeye unamzungumziaje..?
 
Unazungumzia mama zuchu na Ivyone chakachaka mke wa daktari balozi wa UNICEF na mama wa watoto watano? Ushetani ni tabia zako tu na tabia hutangulia na malezi .

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
She is right bro, Zuchu alizingua jana, show mbovu. Sema kwa vile ilikua ni shughuli yake ya kwanza tangu aanze muziki basi tumpe muda anaweza kujifunza na kubadilika kwenye shows zijazo.
Mbali na kile alichokifanya pale jukwaani siku ya tukio, binafsi ulitarajia nini cha ziada kutoka kwa Zuchu ambaye ni upcoming artist?
 
Acha udini, na pia zuchu Ana miezi mitatu tu unamtolea povu, tuulia dawa ikuingie,. Rayvanny ujue nae alikaa miaka minne je na yeye unamzungumziaje..?

Zuchu bado

Wala usitumie nguvu sana


Diamond ana shine mpaka kwenu nyie
 
Ama kweli hisabati ni majanga Bongo. Common sense inasema fedha isingezidi 150M
Sasa 2B zitoke wapi kwa kiingilio cha huku 50?
Meza za 5 na 1M hazikuweza kuingiza zaidi ya 50M

Kupata 2B inahitaji watu 40,000 walipie elfu 50 kila mtu.
Hahaha tz nzima hakuna watu waongo was kumfikia diamond platinum na jiwe

Hao jamaa wana PHD ya uongo
 
Naona mmekazania tu 'waache waache' sijaona sehemu mkisema 'tuache' kwahiyo tufunge mzozo tu kama hapa hao watu hawapo basi na huko duniani hawapo pia


Hiyo hela si bora nishushe pornstar bongo nimdinye wiki nzima
Haha ha haahahaaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatareeeee
Yaaaan kuna mtu nmemuonesha hii clip kacheka hadi sauti imekata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbali na kile alichokifanya pale jukwaani siku ya tukio, binafsi ulitarajia nini cha ziada kutoka kwa Zuchu ambaye ni upcoming artist?

Hilo swali jinsi ulivyouliza kama unanifanyia interview ya kipindi 😂.

Zuchu tumpe muda kwa sababu ndo anaanza, haitoshi kusema anahitaji rehersals nyingi zaidi ili azoee na ajijue anatakiwa kufanya nini kwenye stage. Ajifunze kwa jide alichokifanya siku ile.
 
Mkuu million 5 unaona ni nying? Kwa mtu mweny pesa hiyo ni hela mbuzi tu

Alaf kwa Mo mbna umeenda mbal..naongelea madogo tu wa mtaan hizo million 5 wapo wanaingiza kwa lisaa na wanskiza bongo flavour vzr tu... Mkuu Dunia ya sasa sio Kama ya zaman..hiyo 5M nying kama unasubr mshahara
• Wait please....

Hebu kuwa serious kijana, Hata sisi tunaishi mitaani kama wewe, labda kama wewe upo mitaa ya Paris, Milan, Shanghai au Newyork

Hakuna Mtanzania, awe tajiri au Masikini anayeona M5 ni kama elfu 5, never

Na Matajiri ndio wapo sensitive zaidi na pesa na wana uchungu hata na jero

Nimeishi mitaa mingi ya mikoa ya Tanzania, sijaona hao vijana unaosema kutoa Million 5 ni sawa na Elfu 5

Million 5 ni mtaji mkubwa sana

Tena kwa awamu hii sio Mimi tu ila hata wadau hapa hawaoni watu wa hivyo

Please mention their names and streets, ni akina nani hao?

Unaishi nao mtaa upi?

Ding.....Dong...
 
• Wait please....

Hebu kuwa serious kijana, Hata sisi tunaishi mitaani kama wewe, labda kama wewe upo mitaa ya Paris, Milan, Shanghai au Newyork

Hakuna Mtanzania, awe tajiri au Masikini anayeona M5 ni kama elfu 5, never

Na Matajiri ndio wapo sensitive zaidi na pesa na wana uchungu hata na jero

Nimeishi mitaa mingi ya mikoa ya Tanzania, sijaona hao vijana unaosema kutoa Million 5 ni sawa na Elfu 5

Million 5 ni mtaji mkubwa sana

Tena kwa awamu hii sio Mimi tu ila hata wadau hapa hawaoni watu wa hivyo

Please mention their names and streets, ni akina nani hao?

Unaishi nao mtaa upi?

Ding.....Dong...
Mkuu kama unaona milion 5 nyingi sana, niamin kuna watu million hiyo kwao sio kitu...labda tuweke kweny usd ndio utaona million 5 sio kitu..hizo ni usd 2160 tu

Kama hutak kuamin hilo wala sikulazimish mkuu...ila jua hali si mbaya kama ilivyo kwako na kwangu...

Alafu kuhusu mitaa unafkr ni masaki basi,wala pengine hata mtaan kwako wapo ila huwez jua...go dipper and dipper utakuja ona hizi hela kuna watu wanaingiza kwa saa..kuna siku utakuja kuamin haya...endelea kujiongeza mkuu
 
Back
Top Bottom