Hapana, usiweke kwenye US $, weka tu kwny sh. za kibongo Million 5 sio hela kidogo hata kwa tajiri.Mkuu kama unaona milion 5 nyingi sana, niamin kuna watu million hiyo kwao sio kitu...labda tuweke kweny usd ndio utaona million 5 sio kitu..hizo ni usd 2160 tu
Kama hutak kuamin hilo wala sikulazimish mkuu...ila jua hali si mbaya kama ilivyo kwako na kwangu...
Alafu kuhusu mitaa unafkr ni masaki basi,wala pengine hata mtaan kwako wapo ila huwez jua...go dipper and dipper utakuja ona hizi hela kuna watu wanaingiza kwa saa..kuna siku utakuja kuamin haya...endelea kujiongeza mkuu
Nimeweka kweny usd coz kweny Tsh naona unashangaa sana mkuu...narudia hiyo hela kubwa kama huna hela mkuu...kama haumin mkuu.. basi tuishie hapaHapana, usiweke kwenye US $, weka tu kwny sh. za kibongo Million 5 sio hela kidogo hata kwa tajiri.
Naona wengi walikuwa ni waalikwa,kwa pesa hio nahisi hapa kuna dalili ya kauchafu flani.Dalili zote za kutakatisha fedha ziko wazi wazi.Hata Yesu hatutoi hela ndefu hivyo.
Yesu mwenyewe kumuona Ni bure, Sasa hicho kimdoli ndo nitoe mil5??
Matajiri wanasikiliza bongo flavor acha uboyaYule Mo ana hela ya urithi...Waliotafuta wenyewe hawana muda huo..Rostam au Bakhresa watasikiliza nachomeka kwenye tope kuwa serious kidogo
Huko Buza unapokaa hakuna watu kama hao....lakini huku Kino hiyo ni hela mbuziβ’ Wait please....
Hebu kuwa serious kijana, Hata sisi tunaishi mitaani kama wewe, labda kama wewe upo mitaa ya Paris, Milan, Shanghai au Newyork
Hakuna Mtanzania, awe tajiri au Masikini anayeona M5 ni kama elfu 5, never
Na Matajiri ndio wapo sensitive zaidi na pesa na wana uchungu hata na jero
Nimeishi mitaa mingi ya mikoa ya Tanzania, sijaona hao vijana unaosema kutoa Million 5 ni sawa na Elfu 5
Million 5 ni mtaji mkubwa sana
Tena kwa awamu hii sio Mimi tu ila hata wadau hapa hawaoni watu wa hivyo
Please mention their names and streets, ni akina nani hao?
Unaishi nao mtaa upi?
Ding.....Dong...
Hivi Jide kafanya nini cha ziada pale alipoimba na zuchu? Mi cjaona km zuchu kapishana chochote materially na huyo jide kwenye performance ile...kila mtu kaimba verse moja tn kwa kurelax tu.Hilo swali jinsi ulivyouliza kama unanifanyia interview ya kipindi π.
Zuchu tumpe muda kwa sababu ndo anaanza, haitoshi kusema anahitaji rehersals nyingi zaidi ili azoee na ajijue anatakiwa kufanya nini kwenye stage. Ajifunze kwa jide alichokifanya siku ile.
Huyo Zuchu amekua YESU?
Hawa wanakusanya hela za wajinga
Wakiwa kwenye matamasha yao wanaishia
Kusema tu piga kelele
Wajinga waliwao
Ova
HahahaKila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Kuna wengine na degree zao wanapigwa mchana kweupee, wanaambiwa lipa pesa Yesu anakuja. Yaani maisha haya baba we yaache tu.
dah! punguza ukorofi mkuu.Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Kuna wengine na degree zao wanapigwa mchana kweupee, wanaambiwa lipa pesa Yesu anakuja. Yaani maisha haya baba we yaache tu.
wapo hiyo hela ni ndogo sana.Elf 50 au laki 1 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaeleweka, ila million 5 aise kwani naenda kumuona Niki Minaj au?
Zuchu yuko overpriced
Mauzo ya Ticket
Mapato kutokana na Mauzo ya Ticket
Tathmini ya Show
Mahudhurio ya Wasanii tofauti tofauti
Unalipia kiingilio hafu wewe ndio unaimba.Hawa wanakusanya hela za wajinga
Wakiwa kwenye matamasha yao wanaishia
Kusema tu piga kelele
Wajinga waliwao
Ova
Waache watu mahaba yanawafanya kuwa vipofu huyo anayesema ni sawa na buku 5 yeye mwenyewe hajawahi kuishika hiyo 5mβ’ Wait please....
Hebu kuwa serious kijana, Hata sisi tunaishi mitaani kama wewe, labda kama wewe upo mitaa ya Paris, Milan, Shanghai au Newyork
Hakuna Mtanzania, awe tajiri au Masikini anayeona M5 ni kama elfu 5, never
Na Matajiri ndio wapo sensitive zaidi na pesa na wana uchungu hata na jero
Nimeishi mitaa mingi ya mikoa ya Tanzania, sijaona hao vijana unaosema kutoa Million 5 ni sawa na Elfu 5
Million 5 ni mtaji mkubwa sana
Tena kwa awamu hii sio Mimi tu ila hata wadau hapa hawaoni watu wa hivyo
Please mention their names and streets, ni akina nani hao?
Unaishi nao mtaa upi?
Ding.....Dong...
ππππUnalipia kiingilio hafu wewe ndio unaimba.
Mkuu matumizi yanaendana na kipato hapa hupaswi kubisha. Kuna tofauti kati ya kuingiza pesa nyingi na namna ya kutumia hiyo pesa nyingi unayoipata. Kuna watu wanaspend aisee unaweza hisi hamna kesho. Kama mitoko tu ya kawaida ya starehe kuna raia zinamaliza milioni kwa siku how comes m5 kwa show kiwe kitu cha ajabu?β’ Wait please....
Hebu kuwa serious kijana, Hata sisi tunaishi mitaani kama wewe, labda kama wewe upo mitaa ya Paris, Milan, Shanghai au Newyork
Hakuna Mtanzania, awe tajiri au Masikini anayeona M5 ni kama elfu 5, never
Na Matajiri ndio wapo sensitive zaidi na pesa na wana uchungu hata na jero
Nimeishi mitaa mingi ya mikoa ya Tanzania, sijaona hao vijana unaosema kutoa Million 5 ni sawa na Elfu 5
Million 5 ni mtaji mkubwa sana
Tena kwa awamu hii sio Mimi tu ila hata wadau hapa hawaoni watu wa hivyo
Please mention their names and streets, ni akina nani hao?
Unaishi nao mtaa upi?
Ding.....Dong...