Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani kijana,unaweza niunganisha na hao wahuni?? Nami nipige hizo michongoMkuu utaona unachoma kama unaingiza laki 5 kwa mwez.. Naongelea watu wanaingiza hyo 5M kwa saa Hadi siku..huez sema anachoma wakat kwa mwez anapiga ndefu..na hiyo 5m per day sio vibopa hao unawaita mapapaa..ni wahun tu wapo zao mtaan wanapiga hizo hela
We unadhani kuna watu watanunua ticket kwa mil 5,wameongeza tu sifuri nyingi we huwafahamu hao majamaa,wanabahatisha atakayetokea,wakipata wawili washukuruNi ujinga na utaaira wa kiwango cha HD
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri shoo za King kiba za Buku 5.maana najua hawezi kufanya shoo ya kiingilio cha laki 5.
Hizi nyingine waachie wenyewe.
Mkuu,kuingiza pesa,halafu ukazichome zaidi ya 5M per day,hizo mishe tuwaachie wenye madeal makubwa,kina Papaa na wengineo,vijana kama sisi ukichoma 5M per day,ni shida,unaweza toa machozi ya mamba
Pesa ya mtu unampangia matumizi?Aiseee kwa muziki gani. Kama ni kushukuru makanisa na misikiti ipo wakator hizo sadaka au mahospitalin kuna wahitaji wengi tu
Walidai ni mtu mmoja mzeeMilioni Tano unakuwa umelipia Meza ya watu 10, hivyo ni laki Tano kila mmoja.
Acha uoga, mkiamua kujichanga mbona kawaida tu!
Nigawie basi kidogoMimi binafsi na mihela yangu siwezi kufanya upimbi huo asilani!
[emoji23][emoji23]Mil 5 naweza kuwachukua ZUCHU, NANDY NA LULUDIVA nikawalaza room nawapika miti.. Mil 5 sio kwenda kumuona zuchu tu ni pesa ya Kumla 065....
Walidai ni mtu mmoja mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwan ww ulivopata mtoto wa kwanza mbona ulienda kanisani na ukatoa ela ya kushukuru kwani hukuona bar au ilikuwaje???kila mtu anapenda kufanya anachopenda mkuu
usilazimishe tango liwe tikitiki maji
mkuu Mimi ni bahiri wapare wakasomeNigawie basi kidogo
Samahani kijana,unaweza niunganisha na hao wahuni?? Nami nipige hizo michongo