Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Very simplistic. Marekani kuna maamuzi ya Rais (executive) ambayo ni kwa muda mfupi wa dharura na ya Legislative (bunge-congress/senate) ambayo ni ya kudumu. Rais akitaka kufanya mabadiliko ya uhakika lazima serikali yake iwasilishe na kutetea mapendekezo yake mbele ya wawakilishi wa wananchi.

Rais anaweza kubadilisha maamuzi ya Rais aliyetangulia (executive) lakini sio yaliyopitishwa na congress/senate au mahakama. Ndio taasisi imara zinavyofanya kazi.

Tanzania ni Rais pekee ndiye mwenye maamuzi yote jinsi anavyotaka na anavyojisikia kutegemea ameamkaje.
Kama huyo rais bado anaweza kuamua maamuzi yake na hakuna wa kumuzuia ni yaleyale tu.

Yaani anaamua kujenga ukuta kwa gharama kubwa kipindi Cha miaka 4,anaamua mataifa Fulani wasikanyage USA kwa chuki zake binafsi,ndo taasisi imara?
Au ikifanyika kwa wazungu sawa?
 
Wewe ndio hujaelewa
Wewe hujaelewa kwamba kusema "wewe hujaelewa" bilq kuonesha sijaelewa wapi ni dai lisilo na uthibitisho.

Thibitisha sijaelewa, wapi, kivipi na wewe unayeelewa sijaelewa unajuaje umeelewa na hujalewa.
 
Wameshindwa kupambana. Mgao wa umeme na maji ambao haujatokea miaka mitano iliyopita. Hatukuwa kusikia mgao wa maji kufika hadi Mbezi beach na Mikocheni. Hapo ujue hali ni tata. Kupanda kwa bei za mafuta ya kula, vifaa vya ujenzi, gesi na leo tumetangaziwa kwamba ukiwa na shs elfu 10 hutapata hata lita 4 za petrol.
alikuwa na weaknesses zake, ila tunamkumbuka kwa mazuri
Si vizuri kuiponda awamu ya 6.
 
Hata shetani ni maarufu mana misa zote kanisani haziishi bila kutajwa. Ishu ni je huko kutajwa anatajwa kwa yapi?

ni shobo zao tu,maana siku ya mwisho kila mtu atachomwa kwa dhambi zake wala hakuna sehemu shetani atachomwa kwa niaba ya kima.
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
wewe ni dunderhead! hakuna proof inayohitajika kwani hapa sio mahakamani wala darasani kwamba wanaandika mtihani! kwanza jitu lishajifia linateketea Jehanamu! basi watu wanaoffload pentup frustrations zao na kushukuru divine intervention iliyoliondoa mapema: period.
 
Kila mwanadamu ana mazuri yake na mabaya yake sasa ukiamua kuangalia moja tu mgogoro ndio unaanzia hapo.....

Duniani tunafanya vitu kwa mazoea hivyo akija mtu kutambulisha utaratibu mpya lazima tumtafutie njia ya kumtoa....

Watu wenye nia njema mara nyingi humalizwa mapema ili mazoea yaendelee....
 
wewe ni dunderhead! hakuna proof inayohitajika kwani hapa sio mahakamani wala darasani kwamba wanaandika mtihani! kwanza jitu lishajifia linateketea Jehanamu! basi watu wanaoffload pentup frustrations zao na kushukuru divine intervention iliyoliondoa mapema: period.
Kati ya watoto wanaofia tumboni na huyo mwenye 60yrs nan kafa mapema?
Acha kufantasize jehanam ni imagination kwenye kichwa chako tu.
 
Wewe hujaelewa kwamba kusema "wewe hujaelewa" bilq kuonesha sijaelewa wapi ni dai lisilo na uthibitisho.

Thibitisha sijaelewa, wapi, kivipi na wewe unayeelewa sijaelewa unajuaje umeelewa na hujalewa.
Usijaribu kufanya mambo yaoenake complex,
Maelezo yako bayana.
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.

Si umfuate huko aliko. Hivi wewe hujakwapuliwa account yako Benki?
 
Kama huyo rais bado anaweza kuamua maamuzi yake na hakuna wa kumuzuia ni yaleyale tu.

Yaani anaamua kujenga ukuta kwa gharama kubwa kipindi Cha miaka 4,anaamua mataifa Fulani wasikanyage USA kwa chuki zake binafsi,ndo taasisi imara?
Au ikifanyika kwa wazungu sawa?
Kwa hiyo uonavyo Marekani na Tz ni sawa tu! Taasisi ovyo kama huku.
 
Usilazimishe hoja.

Maelezo gani yako bayana? Kivipi? Kipimo cha kuwa bayana ni kipi?
It seems you prefer logical argument and that is the good news.
The bad news is that you don't know the scope of logical thinking.
Unapaswa uelewe mtoto anaelewa kabla ya kujifunza uelewa.
 
It seems you prefer logical argument and that is the good news.
The bad news is that you don't no the scope of logical thinking.
Unapaswa uelewe mtoto anaelewa kabla ya kujifunza uelewa.
Wewe kwanza jifunze tofauti ya "don't know" and "don't no" kabla ya kujitutumua kubishana nami.

Magufuli was a country bumpkin.

 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Na ushahidi wa hio fact hawataupata kwasababu alishachomoa file lake kule mirembe, ata Dialo anajua!
 
Back
Top Bottom