Wew ni boban yuleyule wa Simba au mwingne? Mnafanana kifikra na jinsi mnavochanganua mamboAfu kuna wanawake watu wazima wanalalama kwa kushindwa kufanywa wakojoe
Viroba hivyoTayari....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Unaichomeka kunakotokea mkojoPole sana Mkuu!! Kuna cku nilikuwa wilaya ya Namtumbo kikaz, xo kuna cku ilo tatizo lako kuna jamaa akawa anatuambia dawa yake alituambia ni Ndizi Mbichi bt nashindwa kukumbuka unaitumiaje iyo ndiz kama dawa
Duu!!Unaichomeka kunakotokea mkojo
Labda ndio mtoto wake wa kwanza huyoDawa ni wewe kuhakikisha unamwamsha kila baada ya dakika kadhaa akojoe. Inaonyesha ni mvivu kulea
Tatizo kubwa ni hii fasheni ya dada zetu kuzaa bila kuwa tayari kulea. Kuzaa si kazi kazi ni kulea. Unakuta mdada anazaa mtoto na bado usichana anaupenda, anamwacha mtoto katika ulezi wa housegirl masaa yote. Yeye kutwa kuchwa kukimbizana na madushe, madisko n.k.Labda ndio mtoto wake wa kwanza huyo
Wengi wanawaachia mama zao watoto...yaani watoto wanaishi na bibi zao.Tatizo kubwa ni hii fasheni ya dada zetu kuzaa bila kuwa tayari kulea. Kuzaa si kazi kazi ni kulea. Unakuta mdada anazaa mtoto na bado usichana anaupenda, anamwacha mtoto katika ulezi wa housegirl masaa yote. Yeye kutwa kuchwa kukimbizana na madushe, madisko n.k.
Mtoto akilelewa na bibi yake lazima kudeka kuwe kwake na matokeo unayajuaWengi wanawaachia mama zao watoto...yaani watoto wanaishi na bibi zao.
Duuh 14? Pole mkuu..!Pole mkuu watu wanaona ni tatizo dogo ila linaumiza sana sijajua specific dawa ila itafika umri ataacha
Dogo mimi aliacha akiwa na 14 ila inaweza kua chini ya hapo
Mkuu asipo pona kukojow akitandani nitafute mimi nitaweza kumtibia mtoto wako ana akapona kabisa ukiweza kunitafuta bonyeza hapa.MawasilianoHabari za jioni,
Nisiwachoshe ngoja nielekee kwenye mada, nina mtoto wangu wa miaka 3, amekuwa akikojoa kitandani wakati akiwa amelala iwe mchana au usiku.
Mwanzo nilifkiri labda ni utoto tu lakini hadi kufikia umri wa miaka mi 3 nafikiri ilibidi awe ameacha.
Hivyo kwa anayefahamu namna ya kumdhibiti ili aache kukojoa maana magodoro yanaharibika sana.
Natanguliza shukrani