jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hii inchi ina mambo ya hovyo sana..hizo taasisi zingekuwa merged iwe moja tu...kupunguza mzigo wa uendeshaji...kodi itumike kufanya mambo mengine.Embu watazame hawa
1. Anayetoa kitambulisho cha taifa
2. Anayetoa kitambulisho cha kupigia kura
3. Anayetoa passport
4. Anayetoa driving license
Hawa si wanapewa taarifa zinazofanana..!!!
Umesahau TBA wanajenga nyumbaKuna NHC wanajenga nyumba..
Nssf wanajenga nyumba
Watumishi housing wanajenga nyumba..
BRELA itoe hapoNimekaa nikafikiri hapa TZ tuna taasisi nyingi za Serikali kuanzia
1. Tanzania Investment Centre (TIC) vs EPZA vs BRELA,
2.Tanzania Tourist Board (TTB) Vs TANTRADE,
3. Tanzania Employment Services Agency (TaESA) vs Public Service Recruitment Secretariat
Nyingi ya hizi taasisi zinafanya kazi almost sawa na sioni logic ya kuwa nazo zote. Ningependekeza zipunguzwe katika kubana matumizi na kuongeza ufanisi. Vinginevyo kuifanya Tanzania Middle Income country by 2025 itakuwa ni ndoto.
Ipelekwe wapi?BRELA itoe hapo
Monopoly has long ago proven not to work so so well, kuwepo kwa taasis nyingi mfano vyuo inaleta ushindani wenye afya na pia mazingira ya ubunifi na benchmarking.We will not go far leaving this situation to continue. To have a better higher learning Institutions there should be a differentiation between Degree awarding and Teaching Institution. For instance, Dar es Salaam University should be a degree awarding to all business related degrees taught by IFM, CBE, MUCoBS, IAA, TIA etc; Sokoine University should be degree awarding institution for all Agriculture related degrees taught by various Institution and Mandela University should be degree awarding for all Science & Technology degrees taught by various Institutions. By do so, the quality of University Education will be higher because (i) The Teaching Universities have to meet conditions set by degree awarding to be allowed to teach their courses and (ii) There will be double marking i.e. course works and examinations marked by teaching Institutions will independently be marked by Degree Awarding University.
Kimbiji.Ipelekwe wapi?
Una ongea ushuzi Sasa na weeDar es Salaam Institute of Technology, Arusha Techinical College, National Institute of Transport, Mbeya Tech (sijui sasa inaitwaje) nazo hizi zinafanya kazi inayofanana zingefanywa taasisi moja
Usisahau pspf wanajenga nyumba [emoji23][emoji23]Kuna NHC wanajenga nyumba..
Nssf wanajenga nyumba
Watumishi housing wanajenga nyumba..
Ongeza na TBAUsisahau pspf wanajenga nyumba [emoji23][emoji23]
Bei zao sasa mpaka nyumba zinawadodea
[emoji23][emoji23] bado zinawadodea na bado halmashauri nazo zinajenga nyumba zao za watumishi, watauana mbonaOngeza na TBA
Mayanga nao walikua wanajenga[emoji23][emoji23] bado zinawadodea na bado halmashauri nazo zinajenga nyumba zao za watumishi, watauana mbona
MSD, maabara juu etc nao wamo.andreakalima
Tanzania ni mwendo wa kuchuma, baadae ndo wanavutagana wenyewe kila mmoja anataka awe juuvya mwingine!
Kuna TFDA, TBS, Mkemia mkuu, pharmacist association nini sijui nao walishakuwa na mgogoro na TFDA kwa mwingiliano wa kazi. kuna mwingiliano wa kimaslahi kati ya Shirika la petrol na Eruwa hiii nayo ilitakiwa kuunganishwa na kuongeza idara badala ya sasa kuwa na mrundikano wa taasisi ambao mwisho wa siku ni mzigo tu.