and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Asante JPM kwa kuunganisha baadhi ya wizara, japo kwenye makatibu wakuu nako umejaza wengi mno. Sasa hamia katika kupeleka muswada bungeni kuunganisha baadhi ya taasisi/wakala/mamlaka, mfano;TanTRADE, TIC, EPZA & TTB (wanafanya kazi almost zinafanana) na pia TACAIDS & National AIDS Program.