Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaa.. na bado pia tuna waongezea na mahakama ya mafisadi ilihali mahakama kuu ipo na mahakama zingine za makosa ya jinai.tufike mahala serikali ipunguze hizi gharama za kuwa taaasisi lukuki za kufyonza pesa za mlipa kodi na tija ikiwa ndogo mno