Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wala sina haja ya kujua mi nikitaka ticket naenda kwa agent
Umesahau na wale watu wanaojisaidia (kunya) katika mifuko pale [emoji267] Nairobi KenyaHahahaa umefanya nikakumbuka mama ntilie wa Kenya unafungiwa maharage yamechemshwa kwenye mfuko wa nylon eti take away lol!
Jambazi kila siku anaona ujambazi ni haki yake, ule ujambazi mlio fanya EA airways mkaiba ndege na kuwaburuza mapilot wa Tanzania at the GUN POINT to Namaga border, mnaona ni jambo la kifahari. Ujambazi wa Kenya airways kuwalipisha abiria gharama zisizo eleweka itawaumiza Kenya airways kuliko abiria. There more option's now when it comes to air travel. SHAPE UP OR SHAPE OUT.Duuuh, blah blah nyingi tu lakini hamjiwezi, mtanzania hawezi akaongea mambo ya air travel akaskizwa na yeyote mwenye akil timamu!. Air tanzania na mapanga boi yao wamekua hoi toka shirika lianze, hio ni aibu na laana jamani. Tulishasema humu wanyarwanda wakitoa point humu tutawaskiza, wanajaribu sana, nyie na burundi kapu moja la wasiojiweza[emoji90]
Katika biashara kuna kupanda na Kushuka, Shirika la KQ sio eti lili filisika, ila kuna upanuzi ulioliletea hasara, twaita "Mawingu Projects" But soon we will fix things as usual. Mawingu project involved purchase of 10 Boeng 787 and several Airbuses this was costly. But we still win international awards in travel awards year in year out!!!! We compete with the likes of Qatar, Lufthansa and Royal Air. TZ😉Jambazi kila siku anaona ujambazi ni haki yake, ule ujambazi mlio fanya EA airways mkaiba ndege na kuwaburuza mapilot wa Tanzania at the GUN POINT to Namaga border, mnaona ni jambo la kifahari. Ujambazi wa Kenya airways kuwalipisha abiria gharama zisizo eleweka itawaumiza Kenya airways kuliko abiria. There more option's now when it comes to air travel. SHAPE UP OR SHAPE OUT.
Wajua Dar hadi Nairobi ni sawa tu na Dar hadi Ulaya, Kwani Watanzania wakitoka kule kwa vitongojini wakija nairobi hivi wanaenda ugaibuni, ng'ambo. Ndo maana hiyo pesa ni sawa.
Umesahau na wale watu wanaojisaidia (kunya) katika mifuko pale [emoji267] Nairobi Kenya
Shida yako huelewi, Wajua Mkenya akienda kufurther studies huenda America, England ama, Japan, Nyinyi ni hapa hapa Kenya tu, ......alienda ng'ambo kuongeza masomo..... kwenuu maanake Nairobi!!U meant ughaibuni right?...Hata zanzibar ni ng'ambo ujue, Sio kenya tu.Watu wanalalamikia distance vs cost of travel, sio location, wala competition between other areas of travel na Kenya a.k.a Ughaibuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..grow up!
You do know that there are other airlines in kenya smaller than KQ but still bigger than your ATL even after you buy those two jets, right? Obviously your not aware because you wouldn't be saying this....a reason why KQ dies and believe me next year when JPM buys two jets tutabanana nao kwenye routes naskia plan ni kuwa na frequency kama KQ iliyonayo kwa routes za Tanzania!
kabsa..Nadhani nimekuelewa.... juzi huku kenya nilikua nimechelewa kufika offisi ya bus ya kwenda pwani, nilikua na mizigo mingi, nikaona afadhali nchukue taxi nipite na 'bypass' nipate basi mbelembele ikiwa imefika barabara ya mombasa-road maana nilijua kutakua na ka-jam ndani ya jiji..... Taxi ilinilipisha KSH 1,500 kwa kilometer kama 20 hivi wakati bus ya kwenda pwani km kama 500 nililipa nauli ya 1,300Yep texi town tripu mwanza buku tatu. Ila kwenda magu kilo mita 60 ni 2000 . Nadhani utakua umeelewa
Hahaha!!!!Aisee Ulaya hamna watu wanajisaidia kwenye mifuko ya plastic!