Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo Madenge ni mdogo wangu alifunguka yeyeMsanii mkali kama anavyojiita TID mnyama ,ameweka wazi kiasi alicholipwa kwenye movie mahiri miaka ya nyuma "Girlfriend"
'Walinilipa laki 5 kwenye movie ,ni pesa nyingi kwa kweli wakati huo, lakini walinichezesha main actor bila Mimi kujua"
Amefunguka Mnyama huyo hatari zaidi ya simba
Girlfriend ni moja ya movie iliyoleta mapinduzi makubwa nchini hapa ..
Madenge ni mdogo wangu"
Tumuombee[emoji2969]Huyu mnyama namkubali sana nadhani kuliko hata wasanii wote hapa bongo na uzuri ana kaelimu kidogo kichwani..Tatizo lake ni ulevi uliokithiri.
kwakweliT.I.D ni msanii mzuri Sana
Huyuu
Issue nyingine ni monopoly ya soko. Unakuta manager wapo 2 kila msanii anamtaka huyo huyo sasa kwanini manager asijidraftoe mkataba anavyotaka.Kinachowaumiza hawa mikataba wananegoshieti wenyewe, ndiyo maana wanapigwa, kuwa na mwanasheria wanaona atamwibia, Acha wapigwe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mjinga huwa ana vimaneno vya kijinga jinga sana. kuna jamaa yangu ni mlokole wa kutupwa ila anamkubali T.I.D hadi kesho aliacha mkesha wa maombi tukaenda kwenye shoo ya warioba
Naomba nije tuangalie pamoja wikiendiMovie ya "girlfriend " yupo TID, MONALISA,
Naipenda sana hadi leo.
Vipi viazi, mihogo na ndizi?Unga umepoteza wengi sana
Mbwembwe zake za kuongea kingereza kila wakati na kuwa hyper vinanitiaga kichefuchefu ila namkubali sana kwenye kuimba tena sana, tuseme kuna watu wamezaliwa na vipaji tu duniani.Hajasema alibwia unga wa shingapi? Kutoka kwenye hio 500000?ila TID anabaki kuwa msaniii wangu mkali kupita wote
Dah mwanangu kama upo akilin mwangu, kina Qchillah kipaji sana yule mwana tena sana tu.Yes, kuna watu wana vipaji halisi. Siyo tiamaji tiamaji.
Kina Ferooz, QChilla, Daz baba, Ngwair (RIP) n.k
Hilo halina ubishi. Now anaigiz na mastaa wenzake katika tamthilia ya JUAKALI inayorushwa na DSTV. Kuna mastaa kibao sana humoT.I.D ni msanii mzuri Sana