Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Mwaka huu kidogo naona mambo yamekuwa poa kwa upande wake: anacheza filamu, Jugde, anaandaa Nyota 21.Hilo halina ubishi. Now anaigiz na mastaa wenzake katika tamthilia ya JUAKALI inayorushwa na DSTV. Kuna mastaa kibao sana humo