TID afunguka kiasi alicholipwa kwenye movie ya girlfriend

TID afunguka kiasi alicholipwa kwenye movie ya girlfriend

TID anachamba hicho sio kipaji Tena labda huko kwenye taarabu ndio mnaona kipaji
Mtu anaweza akawa na kipaji ila akashindwa kukitumia vizuri na kuna wengine hawana kabisa hata akiwa na resources kias gan, anyways huo ni mtazamo wako not the majority's. Kumbuka watu wengi tunamkubali ila wewe peke ako
 
Mtu anaweza akawa na kipaji ila akashindwa kukitumia vizuri na kuna wengine hawana kabisa hata akiwa na resources kias gan, anyways huo ni mtazamo wako not the majority's. Kumbuka watu wengi tunamkubali ila wewe peke ako
Unamkubali mume wa mtu?
 
Nina bro wangu mmoja alikuwa anapenda sana pale ay na gk wanapomtongoza demu wa tid....[emoji3][emoji3][emoji3] Its a very very long time
Pale club kile kipande AY na GK wanatongoza kila msichana wanayemuona. AY alikuwa amevaa Kofia fulani hivi, Dem mmoja akamchamba AY we vipi muone Kwanza Kofia Kama muuza Madafu. Yani Hilo neno I'll never forget [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom