TID afunguka kiasi alicholipwa kwenye movie ya girlfriend

Hilo halina ubishi. Now anaigiz na mastaa wenzake katika tamthilia ya JUAKALI inayorushwa na DSTV. Kuna mastaa kibao sana humo
Mwaka huu kidogo naona mambo yamekuwa poa kwa upande wake: anacheza filamu, Jugde, anaandaa Nyota 21.
 
Nina bro wangu mmoja alikuwa anapenda sana pale ay na gk wanapomtongoza demu wa tid....[emoji3][emoji3][emoji3] Its a very very long time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…