Mwaka huu kidogo naona mambo yamekuwa poa kwa upande wake: anacheza filamu, Jugde, anaandaa Nyota 21.Hilo halina ubishi. Now anaigiz na mastaa wenzake katika tamthilia ya JUAKALI inayorushwa na DSTV. Kuna mastaa kibao sana humo
Karibu sanaah.Naomba nije tuangalie pamoja wikiendi
Wako makwao mkuuBangi na dawa zinapoteza wengi Sana, ivi wakina benzino, chilla, na wengine wapo wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ngoma yake moja inaitwa waiper/wiper naipenda sana sichoki kuiskiliza jamaa anaimba sana aisee.Dah mwanangu kama upo akilin mwangu, kina Qchillah kipaji sana yule mwana tena sana tu.
Mawazo yako ni ya OvyooYeah wameteseka sana na kama sio Chibu bongofleva mpaka sasa ingekua burudani tu ila si sehemu ya kutengeneza maisha
True talent never dies, it only gets better with time.Tid ni msanii kabisa sema nahisi time yao tu imeisha
yeah sure bt to this lengend i dont thnk so.. as days goes Tid anashuka we nambie wimbo wake wa mwsho unaitwaje note: me ni shabiki mkubwa wa tid
Sana tu, kuna ile mdogo mdogo nayo ilikuwa poaKuna ngoma yake moja inaitwa waiper/wiper naipenda sana sichoki kuiskiliza jamaa anaimba sana aisee.
Ngoja niitafute hiyoSana tu, kuna ile mdogo mdogo nayo ilikuwa poa
Ni kweli ameshikwa tu na mambo yaki ulimwengu..... but there is no denying his talent. I can tell kwamba wewe ni shabiki.yeah sure bt to this lengend i dont thnk so.. as days goes Tid anashuka we nambie wimbo wake wa mwsho unaitwaje note: me ni shabiki mkubwa wa tid
Ni $625, dola moja ilikuwa shs 800Ilikuwa around 500 USD
Fafanua zaidi kiongoziMawazo yako ni ya Ovyoo
Poa man, afu kumbuka huyu mwamba ni bonge moja la role model wa Diamond japokuwa juz alimdiss kinoma!Ngoja niitafute hiyo
Ngoma as Donald Ngoma? Or what?Kuna ngoma yake moja inaitwa waiper/wiper naipenda sana sichoki kuiskiliza jamaa anaimba sana aisee.
Nina bro wangu mmoja alikuwa anapenda sana pale ay na gk wanapomtongoza demu wa tid....[emoji3][emoji3][emoji3] Its a very very long timeMsanii mkali kama anavyojiita TID mnyama ,ameweka wazi kiasi alicholipwa kwenye movie mahiri miaka ya nyuma "Girlfriend"
'Walinilipa laki 5 kwenye movie ,ni pesa nyingi kwa kweli wakati huo, lakini walinichezesha main actor bila Mimi kujua"
Amefunguka Mnyama huyo hatari zaidi ya simba
Girlfriend ni moja ya movie iliyoleta mapinduzi makubwa nchini hapa ..
Madenge ni mdogo wangu"
Unakumbuka dollar moja ilikuwa tshs 1000 mpaka, vocha za buku zikaitwa dola?!Ni $625, dola moja ilikuwa shs 800
Zeze ni hatari sana, huwa haichuji.Hajasema alibwia unga wa shingapi? Kutoka kwenye hio 500000?ila TID anabaki kuwa msaniii wangu mkali kupita wote
Talent bila pesa?Jana alipiga remix ya Amapiano moja hivi Live niliikubali kinoma..True talent